
Wasemaji wa Kisekta
@actbarazakivuli
Official Account of the @actwazalendo Shadow Cabinet Research Office (SCaRO) under the office of the Party Leader @SemuDorothy and shadow PM @MchinjitaIR
ID: 1495511708860915714
http://www.actwazalendo.or.tz 20-02-2022 21:33:34
2,2K Tweet
2,2K Followers
197 Following

"Tunasisitiza kwamba watumishi wote wanaohusika na kuwezesha kuwepo na kushamiri kwa vitendo vya ubadhirifu na upotevu wa mapato wakamatwe na hatua kali za kisheria na kiutawala zichukuliwe." Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita #MaduduNiYaleyale ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta



"Kama mataifa ya Ethiopia kupitia Ethiopian Airlines au China kupitia Huawei wameweza kuyaendesha mashirika yao ya umma kwa mafanikio na weledi, Tanzania pia inaweza. Kinachotakiwa ni uongozi makini, na si CCM iliyofilisika kisera na kifikra.” Waziri Kivuli wa Fedha Kiza Mayeye.


"Tunataka serikali iwaheshimu watumishi na wastaafu kwa kuwatendea haki, iwalipe malimbikizo na stahiki zao zote kwa wakati na ipeleke fedha za watumishi zinazokwenda kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii haraka." Waziri Kivuli wa Fedha Kiza Mayeye. #MaduduNiYaleyale ACTWazalendo


"Bilioni 403 zapotea kwenye Mashirika ya Umma kwa uzembe na ufisadi wa Serikali ya CCM." Waziri Kivuli wa Fedha, Kiza Mayeye. #MaduduNiYaleyale #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Leo Mei 11, 2025 Naibu Katibu Idara ya Fedha Ngome ya vijana_Official Taifa ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Ndugu Rahuuuum amechukua fomu kuomba Ubunge Jimbo la Kinondoni. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia ACTWazalendo



"Serikali inapaswa kuzingatia mipango yake na kujiepushia na mienendo ya ulafi wa mikopo isiyokuwa na mipangilio." Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita #MaduduNiYaleyale #TaifaLaWote #MaslahiYaWote ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta


Leo Mei 12, 2025 Naibu Waziri Kivuli wa Wizara Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Ndugu Juster Denis Celestine, amechukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo la Shinyanga Mjini. Amekabidhiwa fomu na Mwenyekiti wa ACTWazalendo jimbo la Shinyanga Mjini, Ndugu


"Serikali inapaswa kuzingatia mipango yake na kujiepushia na mienendo ya ulafi wa mikopo isiyokuwa na mipangilio." Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita #MaduduNiYaleyale #TaifaLaWote #MaslahiYaWote ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta


"Serikali inapaswa kuzingatia mipango yake na kujiepushia na mienendo ya ulafi wa mikopo isiyokuwa na mipangilio." Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita #MaduduNiYaleyale #TaifaLaWote #MaslahiYaWote ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta


"Serikali inapaswa kuzingatia mipango yake na kujiepushia na mienendo ya ulafi wa mikopo isiyokuwa na mipangilio." Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita #MaduduNiYaleyale #TaifaLaWote #MaslahiYaWote ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta


"Serikali inapaswa kuzingatia mipango yake na kujiepushia na mienendo ya ulafi wa mikopo isiyokuwa na mipangilio." Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita #MaduduNiYaleyale #TaifaLaWote #MaslahiYaWote ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta



Chama cha ACT Wazalendo ACTWazalendo kimetoa uchambuzi mkali wa bajeti ya Wizara ya Kilimo iliyowasilishwa na Waziri Hussein Bashe, kikieleza kuwa bajeti hiyo ni ishara ya wazi kwamba Serikali haina dhamira ya dhati ya kuendeleza sekta ya kilimo na kuwaondoa wakulima katika


Leo Mei 29, 2025 Waziri Kivuli wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Ndugu Janeth Rithe amealaani ukatili dhidi ya raia wa Afrika Mashariki nchini Tanzania! Hii ni baada ya matukio ya hivi karibuni ya kuzuiwa Uwanja wa Ndege bila sababu Kiongozi wa


Waziri Kivuli wa Miundombinu, Mhandisi Eng Mohamed Mtambo, amechangia Shilingi Milioni 2 kufanikisha Mkutano Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Julai. Mkutano Mkuu ni hatua muhimu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia


"Unapoona Serikali inashindwa kushughulikia wizi wa fedha za umma tafsiri yake Serikali nzima ni genge la wizi." Waziri Mkuu Kivuli wa ACTWazalendo Isihaka Mchinjita #AjiraKwaWoteMaslahiYaWote
