ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile
ACTWazalendo

@actwazalendo

ACT Wazalendo ni Chama cha Siasa Nchini Tanzania kinachoahidi kuleta |ZanzibarMpya |ZanzibarMoja |MamlakaKamili |TaifaLaWote |MaslahiYaWote

ID: 1053666023277281280

linkhttp://www.actwazalendo.or.tz calendar_today20-10-2018 15:15:30

23,23K Tweet

16,16K Followers

348 Following

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Ahsante sana Makamu Mwenyekiti wa Ngome ya vijana_Official Taifa, Ndugu Nassor Mahrun kwa kuchangia Tsh 700,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Ahsante sana Makamu Mwenyekiti wa <a href="/NgomeyaVijana/">Ngome ya vijana_Official</a> Taifa, Ndugu Nassor Mahrun kwa kuchangia Tsh 700,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Leo! Ni kumbukumbu ya kuzaliwa Katibu Mkuu wa chama chetu cha ACTWazalendo, Ndugu Ado Shaibu. Sote tunamtakia kila heri na baraka anapoadhimisha siku hii adhimu kwake.

Leo! Ni kumbukumbu ya kuzaliwa Katibu Mkuu wa chama chetu cha <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>. 

Sote tunamtakia kila heri na baraka anapoadhimisha siku hii adhimu kwake.
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Leo inazinduliwa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Shabaha ya Dira ni kuwa na Pato la Taifa la USD 1 trillion ambapo pato la mtu mmoja liwe wastani wa USD 7,000 kwa mwaka kutoka USD 1,200 za sasa. Hii maana yake ni kuwa Uchumi wetu (GDP) inapaswa kukua mara 13. Inawezekana,

Leo inazinduliwa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Shabaha ya Dira ni kuwa na Pato la Taifa la USD 1 trillion ambapo pato la mtu mmoja liwe wastani wa USD 7,000 kwa mwaka kutoka USD 1,200 za sasa. 

Hii maana yake ni kuwa Uchumi wetu (GDP) inapaswa kukua mara 13. Inawezekana,
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

"Tunapata Uhuru, Tanga ilikuwa na viwanda 119, leo Tanga haina viwanda. CCM waliikuta Bandari ya Tanga inafanya vizuri, leo bandarini Tanga hakuna shughuli nyingi. Sasa nchi inategemea mikopo." Makamu Mwenyekiti Bara Isihaka Mchinjita Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

TAARIFA KWA UMMA Chama cha ACTWazalendo kinaitaka Tume ya Uchaguzi Zanzibar kurejea utaratibu wa uliozoeleka wa kuwapatia wapiga kura vitambulisho kupitia shehia zao badala ya Ofisi za Tume ya Uchaguzi Wilaya. Imetolewa Katibu Mwenezi Taifa, Salim Bimani Oktoba #LindaKura

TAARIFA KWA UMMA

Chama cha <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> kinaitaka Tume ya Uchaguzi Zanzibar kurejea utaratibu wa uliozoeleka wa kuwapatia wapiga kura vitambulisho kupitia shehia zao badala ya Ofisi za Tume ya Uchaguzi Wilaya.

Imetolewa
Katibu Mwenezi Taifa,
<a href="/salimbimani2/">Salim Bimani</a> 

Oktoba #LindaKura
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Leo Julai 17, 2025 Kiongozi wa ACTWazalendo Ndugu Dorothy Semu ameongoza Kikao cha Kamati Uongozi kilichofanyika katika Ukumbi Juma Duni Haji Makao Makuu DSM. Waliohudhuria kikao hicho ni pamoja na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Ndugu Othman Masoud Othman na Katibu Mkuu, Ndugu @AdoShaib

Leo Julai 17, 2025 Kiongozi wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>  Ndugu <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> ameongoza Kikao cha Kamati Uongozi kilichofanyika katika Ukumbi Juma Duni Haji Makao Makuu DSM.

Waliohudhuria kikao hicho ni pamoja na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Ndugu <a href="/othmasoud/">Othman Masoud Othman</a> na Katibu Mkuu, Ndugu @AdoShaib
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Ahsante sana Ndugu Paulo Ndalo kwa kuchangia Tsh 10,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Ahsante sana Ndugu Paulo Ndalo kwa kuchangia Tsh 10,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

"Leo ukimtazama kijana wa miaka 25, anaonekana kama ana miaka 45. Sababu vyuma vimekaza. Hakuna ajira!" Waziri Kivuli wa Fedha na Mwenyekiti wa ACTWazalendo Kigoma Kiza Mayeye. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Ahsante sana Ndugu Arafa Uledi kwa kuchangia Tsh 50,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Ahsante sana Ndugu Arafa Uledi kwa kuchangia Tsh 50,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Ahsante sana Mjumbe wa Kamati ya Uongozi Mkoa wa Kigoma, Ndugu Zakia Jumanne kwa kuchangia Tsh 20,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Ahsante sana Mjumbe wa Kamati ya Uongozi Mkoa wa Kigoma, Ndugu Zakia Jumanne kwa kuchangia Tsh 20,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

"Mwaka wa jana, korosho imeingiza zaidi ya Trilioni moja na Bilioni 300. lakini mkoa wa Mtwara wilaya zake zote hazijaunganishwa kwa lami. CCM haiwataki watu wa Mtwara. CCM haiwataki watu wa Kusini." KC Mstaafu wa ACTWazalendo Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Isihaka Mchinjita (@mchinjitair) 's Twitter Profile Photo

Ulnzi na usalama ni jukumu la kila raia. ⁦Police Force TZ⁩ kujitokeza hadharani kukataa raia kushiriki ulinzi wa kura katikati ya tuhuma za polisi kushiriki wizi wa kura na kushindwa kuwachukulia hatua wezi wa kura waliofikishwa mikononi mwa polisi ni wazo la kihalifu. #LindaKura

Isihaka Mchinjita (@mchinjitair) 's Twitter Profile Photo

Matukio haya yanaibua maswali juu ya uwezo wa jeshi letu la polisi kushughulika na wahalifu. Maelezo ya kamanda wa polisi yanatoa picha kuwa askari wetu hawawezi kumdhibiti mhalifu mwenye fimbo ila kwa kutumia risasi. Huu ni uvunjifu wa haki za binaadamu na matumizi ya nguvu

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa Katibu wa Idara ya Fedha ya ACTWazalendo, Ndugu Rachel Kimambo. Tunamtakia umri mrefu, afya njema na mafanikio katika shughuli zake za kila siku.πŸ™πŸΏ

Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa Katibu wa Idara ya Fedha ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/RachelKimambo/">Rachel Kimambo</a>. Tunamtakia umri mrefu, afya njema na mafanikio katika shughuli zake za kila siku.πŸ™πŸΏ
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Ahsante sana Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Ndugu Ismail Jussa kwa kuchangia Tsh 10,000,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Ahsante sana Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Ndugu <a href="/IsmailJussa/">Ismail Jussa</a> kwa kuchangia Tsh 10,000,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

πŸ“Shinyanga "Tunajua, mmejazwa woga; na huu woga ndio mtaji wa Chama Cha Mapinduzi. Wamegundua, ili waendelee kuwa madarakani lazima nyie muwe waoga." Naibu Katibu Mwenezi shangwe Ayo Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Ahsante sana Mwanasheria Mkuu wa Chama, Ndugu Omar Said Shaaban kwa kuchangia Tsh 10,000,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum. OKTOBA #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Ahsante sana Mwanasheria Mkuu wa Chama, Ndugu <a href="/omarshaaban80/">Omar Said Shaaban</a> kwa kuchangia Tsh 10,000,000/= kwa ajili ya kufanikisha Mkutano Mkuu Maalum.

OKTOBA #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

πŸ“ Bariadi Simiyu "Tunakwenda kushiriki uchaguzi; kutumia jukwaa la uchaguzi kuleta mabadiliko." KC Dorothy Semu Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo