Ģaddåfì_ØĢ💥🇰🇪 (@abuumusa_m27) 's Twitter Profile
Ģaddåfì_ØĢ💥🇰🇪

@abuumusa_m27

Sailor🚢🫀 #maisha bila ya ibada ni maisha chini ya kiwango🥀

ID: 1424992654509723648

calendar_today10-08-2021 07:15:20

26,26K Tweet

5,5K Followers

3,3K Following

Genious✍️ (@chibelube) 's Twitter Profile Photo

Ukweli ni kwamba kila mtu yuko busy na maisha yake yuko busy na shida zake, Ukiona mtu anafanya juhudi ili utabasamu. Ukishindwa kumshukuru Basi Umsimuoneshe Dharau.

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#Michezo: Gwiji wa soka wa Brazil na mshindi wa tuzo ya Ballon D’Or mwaka 2005 Ronaldinho Gaucho ataungana na magwiji wengine wa soka wa Brazil kucheza mechi ya kirafiki na Kikosi Maalum cha Zanzibar mchezo uliopewa jina la Match of tha Legends utachezwa Julai 27, 2025. Mchezo

#Michezo: Gwiji wa soka wa Brazil na mshindi wa tuzo ya Ballon D’Or mwaka 2005 Ronaldinho Gaucho ataungana na magwiji wengine wa soka wa Brazil kucheza mechi ya kirafiki na Kikosi Maalum cha Zanzibar mchezo uliopewa jina la Match of tha Legends utachezwa Julai 27, 2025.

Mchezo
James Munisi (@njiwaflow) 's Twitter Profile Photo

#UZI 💨NJIA ZA KUFANYIA SIMU YAKO DIAGNOSIS SIMU YAKO KUTAMBUA TATIZO KABLA YA KUPELEKA KWA FUNDI. Namna ya Kufanya Diagnosis ya Simu Yako Mwenyewe – kabla hujapeleka kwa fundi au kuanza kutumia hela bila sababu. Shuka 🧵👇 Usisahau🔄

#UZI

💨NJIA ZA KUFANYIA SIMU YAKO DIAGNOSIS SIMU YAKO KUTAMBUA TATIZO KABLA YA KUPELEKA  KWA FUNDI.

Namna ya Kufanya Diagnosis ya Simu Yako Mwenyewe – kabla hujapeleka kwa fundi au kuanza kutumia hela bila sababu.

Shuka 🧵👇

Usisahau🔄
جمعة يحيى محمد (@officialjouma) 's Twitter Profile Photo

▫️Shahada (Degree) kubwa ambayo mwanamke anaweza kuipata kwenye maisha yake yote ni yeye kuitwa: "Mama wa watoto wema". ▫️Asili ya mwanamke ameumbwa kwa ajili ya kumuabudu Allah, kisha kwa lengo kubwa la yeye kuwa Mama na kutengeneza vizazi. ▫️أعظم شهادة قد تحصل عليها المرأة في

▫️Shahada (Degree) kubwa ambayo mwanamke anaweza kuipata kwenye maisha yake yote ni yeye kuitwa: "Mama wa watoto wema".
▫️Asili ya mwanamke ameumbwa kwa ajili ya kumuabudu Allah, kisha kwa lengo kubwa la yeye kuwa Mama na kutengeneza vizazi.

▫️أعظم شهادة قد تحصل عليها المرأة في
Daktari Wa Manesi 💉💊 (@mcinikawalamar) 's Twitter Profile Photo

Kuna majeraha yasiyoonekana kwa macho, hayatoi damu wala alama ya kovu juu ya ngozi lakini ni ya ndani zaidi yakichoma kila siku kimya kimya ni maumivu ambayo hata machozi hayawezi kueleza.

Ahmad (@rajuquire) 's Twitter Profile Photo

Siku utakapomzika baba yako, ndio utagundua kuwa umepoteza mwanaume pekee ambaye alitaka kukuona unakuwa bora kuliko yeye.

JIGA📌📌 (@eddyaman5) 's Twitter Profile Photo

Usije Ukafanya kosa la kumuacha Mtu ambae Uko nae anaekupenda wewe Ukakimbilia kwa yule ambae Unampenda wewe hicho Unachokifanya ndicho Utakacho enda kufanyiwa Amini hivyo 📌

Zumbe Khan👑 (@zumbekhan) 's Twitter Profile Photo

Leo simba imetuangusha sana jamani bora tujipoze tu na nyege zetu 🙌 Nimeweka video za nyege hapo kwenye comment tujipoze kidogo usiku huu🙌⤵️

Leo simba imetuangusha sana jamani bora tujipoze tu na nyege zetu 🙌

Nimeweka video za nyege hapo kwenye comment tujipoze kidogo usiku huu🙌⤵️
جمعة يحيى محمد (@officialjouma) 's Twitter Profile Photo

الأشياء التي تكسر قلبك هي نفس الأشياء التي تفتح عينيك. الحسرة هي أن تبقي عينيك مغلقة حتى بعد كسر قلبك Vitu ambavyo vinauvunja moyo wako ndiyo vitu hivyohivyo vinayafungua macho yako. Majuto ni pale unapoendelea kuyafunga macho yako hata baada ya moyo wako kuvunjwa.

Tanzania Abroad TV (@abroadtanzania) 's Twitter Profile Photo

"Narudia tena kwa msisitizo: Sitashiriki kupiga kura katika nchi hii hadi pale tutakapokuwa na uwezo wa kupiga kura kwa njia ya kidijitali—njia ambayo itanihakikishia kura yangu inamfikia mhusika niliyemchagua. Kwa sasa, tunapiga kura, lakini hatuchaguani, WaTanzania

"Narudia tena kwa msisitizo: Sitashiriki kupiga kura katika nchi hii hadi pale tutakapokuwa na uwezo wa kupiga kura kwa njia ya kidijitali—njia ambayo itanihakikishia kura yangu inamfikia mhusika niliyemchagua. Kwa sasa, tunapiga kura, lakini hatuchaguani,  WaTanzania
Genious✍️ (@chibelube) 's Twitter Profile Photo

Maumivu ya yamaisha Yamenifanya kuwa kiumbe chenye Ukimya Mwingi na Historia ambazo Zitanifunza Hadi siku naondoka Hapa Duniani.

جمعة يحيى محمد (@officialjouma) 's Twitter Profile Photo

الثقة كالإنسان، سنوات لتكبر، وثوان لتموت Uaminifu ni kama binadamu, ili ukue basi unahitaji miaka mingi, na ili ufe unahitaji sekunde tu.