Ado Shaibu (@adoshaibu) 's Twitter Profile
Ado Shaibu

@adoshaibu

Secretary General, Alliance for Change & Transparency (ACT Wazalendo)

ID: 594493764

linkhttps://www.actwazalendo.or.tz/ calendar_today30-05-2012 08:10:05

28,28K Tweet

65,65K Followers

1,1K Following

Idd Mkanza (@mkanzaidd) 's Twitter Profile Photo

Leo Julai 6, 2025 KC Dorothy Semu amezindua Ofisi za ACTWazalendo Mkoa Shinyanga. Ofisi hizo zina Ukumbi wa Zitto Kabwe. Ukumbi huo umepewa jina hilo ili kuenzi kujitoa kwa KC wa Zamani Zitto MwamiRuyagwa Kabwe katika ujenzi wa chama. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Leo Julai 6, 2025 KC <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> amezindua Ofisi za <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Mkoa Shinyanga. Ofisi hizo zina Ukumbi wa Zitto Kabwe. Ukumbi huo umepewa jina hilo ili kuenzi kujitoa kwa KC wa Zamani <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> katika ujenzi wa chama.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
Ndolezi (@ndolezi_petro) 's Twitter Profile Photo

Ubaruku, Mbarali-Mbeya 06 Julai, 2025 Nimewakumbusha Jeshi la Polisi kwamba jukumu la Oktoba #LindaKura si la ACT Wazalendo tu ni la wote kwani kupata viongozi bora ni faida kwa wote. Pia nimewaeleza waache kutumika na CCM kwani wakistaafu CCM inawatupilia mbali

Ubaruku, Mbarali-Mbeya 06 Julai, 2025

Nimewakumbusha Jeshi la Polisi kwamba jukumu la Oktoba #LindaKura si la ACT Wazalendo tu ni la wote kwani kupata viongozi bora ni faida kwa wote. Pia nimewaeleza waache kutumika na CCM kwani wakistaafu CCM inawatupilia mbali
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

DISPATCHES FROM MAJI MAJI TOUR - 5 Reclaiming Land Justice in Mbarali and Beyond 7th July 2025 Mbarali, Mbeya Fellow Tanzanians, Last evening, I addressed a rally in Mbarali District, Mbeya Region, where the anguish of our people losing their land to CCM’s failed policies

DISPATCHES FROM MAJI MAJI TOUR - 5

Reclaiming Land Justice in Mbarali and Beyond 

7th July 2025
Mbarali, Mbeya

Fellow Tanzanians,
Last evening, I addressed a rally in Mbarali District, Mbeya Region, where the anguish of our people losing their land to CCM’s failed policies
NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Ukumbi wa Zitto Kabwe sasa upo rasmi ndani ya ofisi mpya za kisasa za ACTWazalendo Shinyanga, umepewa jina hilo na wanaShinyanga ili kuenzi mchango mkubwa wa Mhe. Zitto MwamiRuyagwa Kabwe katika kutetea wananchi wa Shinyanga, hasa kwenye sakata la madini (Buzwagi -July 2007) na maendeleo

Ukumbi wa Zitto Kabwe sasa upo rasmi ndani ya ofisi mpya za kisasa za <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Shinyanga, umepewa jina hilo na wanaShinyanga ili kuenzi mchango mkubwa wa Mhe. <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> katika kutetea wananchi wa Shinyanga, hasa kwenye sakata la madini (Buzwagi -July 2007) na maendeleo
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu wa ACTWazalendo Ndugu Ado Shaibu ameitaka Tume Huru ya Uchaguzi nchini kuongeza uwazi katika mchakato wa uzalishaji, usafirishaji na uhifadhi wa vifaa vya uchaguzi hasa karatasi za kupigia kura ili kuongeza imani ya wadau wa uchaguzi. Ndugu Ado Shaibu ametoa rai

Katibu Mkuu wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Ndugu Ado Shaibu ameitaka Tume Huru ya Uchaguzi nchini kuongeza uwazi katika mchakato wa uzalishaji, usafirishaji na uhifadhi wa vifaa vya uchaguzi hasa karatasi za kupigia kura ili kuongeza imani ya wadau wa uchaguzi.

Ndugu Ado Shaibu ametoa rai
Kipanga (@kipanga1986) 's Twitter Profile Photo

Sisi tulipokua tunasema nyinyi Chadema Tanzania sio chama cha watanzania wote wala shida zenu sio shida za vyama vyote vijana wenu walikuja na matusi Haya pambaneni na ACTWazalendo

Sisi tulipokua tunasema nyinyi <a href="/ChademaTZ2/">Chadema Tanzania</a> sio chama cha watanzania wote wala shida zenu sio shida za vyama vyote vijana wenu walikuja na matusi

Haya pambaneni na <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Kiongozi wa zamani wa chama cha ACT Wazalendo, Ndugu Zitto Kabwe, ameibua kumbukumbu ya kihistoria kuhusu mchango wake katika mapambano ya haki ya usimamizi wa rasilimali za taifa, hususan katika sekta ya madini, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Songea Mjini,

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Leo Julai 8, 2025 Katibu Mkuu wa ACTWazalendo, Ndugu Ado Shaibu ameshiriki kama mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigamboni ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Operesheni Majimaji inayolenga kuwahamasisha wanachama na wananchi kupiga na kulinda kura kwenye Uchaguzi Mkuu

Leo Julai 8, 2025 Katibu Mkuu wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>  ameshiriki kama mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigamboni ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Operesheni Majimaji inayolenga kuwahamasisha wanachama na wananchi kupiga na kulinda kura kwenye Uchaguzi Mkuu
Mwanaisha Mndeme (@mwanaishamndeme) 's Twitter Profile Photo

📌KIGAMBONI Leo Julai 8, 2025 Katibu Mkuu wa ACTWazalendo, Ndugu Ado Shaibu ameshiriki kama mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigamboni ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Operesheni Majimaji inayolenga kuwahamasisha wanachama na wananchi kupiga na kulinda kura kwenye

📌KIGAMBONI

Leo Julai 8, 2025 Katibu Mkuu wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>  ameshiriki kama mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigamboni ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Operesheni Majimaji inayolenga kuwahamasisha wanachama na wananchi kupiga na kulinda kura kwenye
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Wananchi wa Namtumbo wanalalamikia kukosa maeneo ya kulima baada ya Serikali kuwapa wakala wa mbegu (ASA) ardhi iliyokuwa ya NAFCO, 3,580ha. Wananchi wanakwenda maeneo ya mbali na wakati mwengine wanateswa na walinzi wa ASA. Serikali iwape Wananchi wa Namtumbo 2000ha katika ardhi

Wananchi wa Namtumbo wanalalamikia kukosa maeneo ya kulima baada ya Serikali kuwapa wakala wa mbegu (ASA) ardhi iliyokuwa ya NAFCO, 3,580ha. Wananchi wanakwenda maeneo ya mbali na wakati mwengine wanateswa na walinzi wa ASA. Serikali iwape Wananchi wa Namtumbo 2000ha katika ardhi