Paul Kisabo (@advocate_kisabo) 's Twitter Profile
Paul Kisabo

@advocate_kisabo

Advocate~ Nimble Person ~ Human Rights Defender ~Justice Ambassador

ID: 847143416727322626

linkhttp://www.thrdc.or.tz calendar_today29-03-2017 17:48:24

1,1K Tweet

11,11K Followers

179 Following

Paul Kisabo (@advocate_kisabo) 's Twitter Profile Photo

Polisi muachieni Tundu Antiphas Lissu amekuwa akifanya kazi ya kuwatetea nyie pamoja na wananchi, anatakiwa aendelee na kazi ya kuwatetea kupitia mikutano ya hadhara inayoendelea. Kufanya mikutano ya hadhara ni haki na haistahili kuzuiwa kwa kukamata viongozi.

Polisi muachieni <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> amekuwa akifanya kazi ya kuwatetea nyie pamoja na wananchi, anatakiwa aendelee na kazi ya kuwatetea kupitia mikutano ya hadhara inayoendelea. Kufanya mikutano ya hadhara ni haki na haistahili kuzuiwa kwa kukamata viongozi.
Paul Kisabo (@advocate_kisabo) 's Twitter Profile Photo

Polisi wanaogopa neno No Reforms No election kwasababu gani? Wao ni washiriki katika uchaguzi? Waliopaswa kuogopa ni sisiemu, Polisi mnapaswa kuwa newturol mnajiingiza kuzuia mambo yasiyowahusu

Polisi wanaogopa neno No Reforms No election kwasababu gani? Wao ni washiriki katika uchaguzi? Waliopaswa kuogopa ni sisiemu, Polisi mnapaswa kuwa newturol mnajiingiza kuzuia mambo yasiyowahusu
Paul Kisabo (@advocate_kisabo) 's Twitter Profile Photo

1. Amewahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM): 2. Amewahi kuwa Waziri wa Elimu (1985โ€“2000): 3. Amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani (2003โ€“2006): 4. Amewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini China (2006โ€“2012): Hii Tume unawezaje kusema ni huru?

1. Amewahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM):  

2. Amewahi kuwa Waziri wa Elimu (1985โ€“2000):  

3. Amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani (2003โ€“2006):  

4. Amewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini China (2006โ€“2012):  
Hii Tume unawezaje kusema ni huru?
Paul Kisabo (@advocate_kisabo) 's Twitter Profile Photo

Jumuiya za mawakili kanda ya Afrika na kimataifa zimelaani kukamatwa na kushtakiwa kwa uhaini kwa Mhe. Tundu Antiphas Lissu kwa mashtaka ya kupikwa ya uhaini, shambulio dhidi ya wakili Lissu ni shambulio dhidi ya demokrasia.

Jumuiya za mawakili kanda ya Afrika na kimataifa zimelaani kukamatwa na kushtakiwa kwa uhaini kwa Mhe. <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> kwa mashtaka ya kupikwa ya uhaini, shambulio dhidi ya wakili Lissu ni shambulio dhidi ya demokrasia.