AlbogastL✨📈 (@albogastl) 's Twitter Profile
AlbogastL✨📈

@albogastl

A mistake repeated more than once is a decision.

ID: 1609895764490158085

calendar_today02-01-2023 12:54:23

32,32K Tweet

4,4K Followers

4,4K Following

Darwin Núñez (@darwinn99) 's Twitter Profile Photo

Dream come true: my first Premier League title 🏆 Thank you to all the Liverpool fans for your incredible support! This league belongs to you ❤️

Dream come true: my first Premier League title 🏆

Thank you to all the Liverpool fans for your incredible support! This league belongs to you ❤️
Shekh Ponda Issa Ponda (@sheikhponda) 's Twitter Profile Photo

TUNALAANI MASHAMBULIZI DHIDI YA PADRI KITIMA. Ajabu Tanzania ni uwepo wa watu wanao teka, kutesa na kuuwa hata viongoz wa Dini lakini hawakamatwi. (Wanamiliki magari, silaha kubwa na ndogo). Tunajiuliza ni usalama na amani ipi vinayozungumzwa Tanzania. Taifa linaelekea wapi!

TUNALAANI MASHAMBULIZI DHIDI YA PADRI KITIMA. Ajabu Tanzania ni uwepo wa watu wanao teka, kutesa na kuuwa hata viongoz wa Dini lakini hawakamatwi. (Wanamiliki magari, silaha kubwa na ndogo). Tunajiuliza ni usalama na amani ipi vinayozungumzwa Tanzania. Taifa linaelekea wapi!
Chief Lumanyika (@chieflumanyika) 's Twitter Profile Photo

Martin Masese alikuwa akimnadi Mbowe wakati wa uchaguzi wa chama Wala hakujificha,Baada ya uchaguzi kumalizika aliendelea na kazi ya kupambana na CCM bila kuweka kinyongo,Leo hii wamehama waliokuwa na mapenzi na mbowe yeye amebaki Amechagua uhai wa chama tumpe retweet 1000

Martin Masese alikuwa akimnadi Mbowe wakati wa uchaguzi wa chama Wala hakujificha,Baada ya uchaguzi kumalizika aliendelea na kazi ya kupambana na CCM bila kuweka kinyongo,Leo hii wamehama waliokuwa na mapenzi na mbowe yeye amebaki Amechagua uhai wa chama

tumpe retweet 1000
Simba Sports Club (@simbasctanzania) 's Twitter Profile Photo

Tulianza msimu na Ubaya Ubwela, ikafata Hii Tunavuka na Hatuishii Hapa na kilele cha kauli mbiu yetu ya kimataifa msimu huu ni TUNABEBA. #Tunabeba #WenyeNchi #NguvuMoja

Tulianza msimu na Ubaya Ubwela, ikafata Hii Tunavuka na Hatuishii Hapa na kilele cha kauli mbiu yetu ya kimataifa msimu huu ni TUNABEBA. #Tunabeba #WenyeNchi #NguvuMoja