it's.26 (@arafat__9) 's Twitter Profile
it's.26

@arafat__9

|Electrical Installation ๐ŸŽ“ ||Zanzibar Electricity Corporation๐Ÿ“

ID: 1762930882342715392

calendar_today28-02-2024 20:04:06

50,50K Tweet

4,4K Followers

2,2K Following

BROTHER (@0101dubu) 's Twitter Profile Photo

POZI LA KOBRA (COBRA POSE) Na FAIDA ZAKE 5 KIAFYA:๐Ÿถ๐Ÿงต Hili Pozi linafahamika kama "Cobra pose" Hili Zoezi linafanywa kwa kulala kifudifudi kisha kuinua kifua juu kwa msaada wa mikono, huku kiuno na miguu vikiwa vimegusa ardhi. Ni mojawapo ya mazoezi rahisi lakini yenye

POZI LA KOBRA (COBRA POSE) Na FAIDA ZAKE 5 KIAFYA:๐Ÿถ๐Ÿงต

Hili Pozi linafahamika kama "Cobra pose"  

Hili Zoezi linafanywa kwa kulala kifudifudi kisha kuinua kifua juu kwa msaada wa mikono, huku kiuno na miguu vikiwa vimegusa ardhi. 

Ni mojawapo ya mazoezi rahisi lakini yenye
MAZABANGA๐Ÿšฆ (@calvinmazabanga) 's Twitter Profile Photo

Naitwa Kelvin Msimu Mwanafunzi wa CBE. Nimekumbwa na changamoto ya ada, ninadaiwa shilingi 500,000. Naomba msaada wowote kupitia control number 995420505379 au namba 0677757147. Nitashukuru sana. Msaada wako ni mwanga kwa ndoto zangu. Mungu akuzidishie.KIDUKU

DINGI (@dingi_1234) 's Twitter Profile Photo

KANUNI Mwanaume mfupi tongoza demu mrefuโœ… Mwanaume mrefu tongoza shortโœ… Mwanaume mweupe tongoza blackโœ… Mwanaume mweusi tongoza cheupe. โœ… Mwanaume mnene tongoza chembambaโœ… Mwanaume mwembamba (skin guy) tongoza kibonge โœ… Hautawai kukataliwaโœ…

Heis_ (@son_noeli) 's Twitter Profile Photo

โ€œMmoja aje hapaa ubaoni achore female reproductive systemโ€ Back-bencher ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿšฎ

โ€œMmoja aje hapaa ubaoni achore female reproductive systemโ€

Back-bencher ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿšฎ
Fundi viatu na mabegi ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@mshona_viatu) 's Twitter Profile Photo

Tukitaka nchi iwe imara inahataji wakuu wa vyombo vya dola na wasaidizi wake wote walindwe ili na wao wawe na ujasiri pia na uwezo wa kutulindia nchi yetu bila kupata matatizo kutoka kwa mabosi wao wa kisiasa wakiwa wanalinda nchi. Alirudia sana hii sentesi ili aeleweke vema

Tukitaka nchi iwe imara inahataji wakuu wa vyombo vya dola na wasaidizi wake wote walindwe ili na wao wawe na ujasiri pia na uwezo wa kutulindia nchi yetu bila kupata matatizo kutoka kwa mabosi wao wa kisiasa wakiwa wanalinda nchi.

Alirudia sana hii sentesi ili aeleweke vema