KING ASSENGA (@assengapn) 's Twitter Profile
KING ASSENGA

@assengapn

Mwanaharakati wa haki. ๐Ÿ“Œ

๐Ÿ“Œstudent Open University of Tanzania
๐Ÿ“Œ Enterpreneur and real fighter
๐Ÿ“ŒFrom chagga land Kilimanjaro

ID: 1513577215438557196

calendar_today11-04-2022 17:58:50

24,24K Tweet

6,6K Followers

6,6K Following

MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara John Heche, akizungumza leo tarehe 24 Juni 2025, kwenye Mahakama Kuu, ni mara baada ya kesi kuhairishwa kwasababu ya jaji Mwanga ambaye ndiye anaeendesha kesi kutokufika mahakamani.

SIASA SAFI (Nyegere Wa Afrika/Honey badger) (@ikindakani11826) 's Twitter Profile Photo

Nahitaji makamanda 10 wa #NoReformsNoElection wenye followers chini ya 500 wanifollow, wa repost post hii, halafu waweke handle zao kwenye comment ili kesho nipambane na kuwabustia akaunti zao, haiwezekeni kamanda kuwa na followers kiduchu ๐Ÿ‘‰ CHADEMA NI IMANIโค๏ธ(Nyegere Wa Afrika/Honey badger) CHADEMA NI IMANI โค๏ธ

Nahitaji makamanda 10 wa #NoReformsNoElection wenye followers chini ya 500 wanifollow, wa repost post hii, halafu waweke handle zao kwenye comment ili kesho nipambane na kuwabustia akaunti zao, haiwezekeni kamanda kuwa na followers kiduchu
๐Ÿ‘‰ <a href="/IkindaKani11826/">CHADEMA NI IMANIโค๏ธ(Nyegere Wa Afrika/Honey badger)</a> CHADEMA NI IMANI โค๏ธ
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Mwambieni Jasusi la Mbinguni Jumapili asalishe tu!๐Ÿ˜‚ Hii imetoka! Maana Gwajima alikemea utekaji mama yao akafura hadi alitaka kumtoa roho! Leo na yeye anajifanya anakemea utekaji! Kwishney! Tumekemea mapepo yametoka ๐Ÿ˜‚โœŠ๐Ÿฝ #TutaelewanaTu

Mwambieni Jasusi la Mbinguni Jumapili asalishe tu!๐Ÿ˜‚
Hii imetoka! Maana Gwajima alikemea utekaji mama yao akafura hadi alitaka kumtoa roho! Leo na yeye anajifanya anakemea utekaji!
Kwishney! Tumekemea mapepo yametoka ๐Ÿ˜‚โœŠ๐Ÿฝ
#TutaelewanaTu
KING ASSENGA (@assengapn) 's Twitter Profile Photo

kututetea kote . Kwa kila Hali hakukata tamaa Akapigwa Risasi zaidi ya 16. Wengi hakuna tulichofanya kumpa moyo Bado hakukata tamaa . Bado tena tumemwacha mikononi mwa magereza kama mhalifu bado hajakata tamaa . Hakika hili ndio Deni kubwa zaidi la Taifa ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

kututetea kote . Kwa kila Hali hakukata tamaa 
Akapigwa Risasi zaidi ya 16.
Wengi hakuna tulichofanya kumpa moyo Bado hakukata tamaa .  Bado tena tumemwacha  mikononi mwa magereza kama mhalifu bado hajakata  tamaa . Hakika hili ndio Deni kubwa zaidi la Taifa  ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Jebra Kambole (@advocate_jebra) 's Twitter Profile Photo

Sasa hapo kwa akili ya kawaida wakati huyu jamaa ndo mkurugenzi wa NEC unaamini kulikuwa na uchaguzi? Sasa huyu anatofauti gani na huyu wa sasa! No reforms No election! Sijui wanatuonaje hawa?

Sasa hapo kwa akili ya kawaida wakati huyu jamaa ndo mkurugenzi wa NEC unaamini kulikuwa na uchaguzi? Sasa huyu anatofauti gani na huyu wa sasa!

No reforms No election! 

Sijui wanatuonaje hawa?
KING ASSENGA (@assengapn) 's Twitter Profile Photo

Kiukweli njia pekee ya kunizuia ni simwabudu Mungu ninayemwamini nikiwa Duniani ni kunitoa Duniani pekee. Hongereni waumini wa kanisa la ufufuo na uzima kwa kuonesha thamani ya Imani Yenu ni kubwa kuliko mamlaka zote Duniani

Abdulkarim  Juma (@jumaabdukarim) 's Twitter Profile Photo

Tutashinda tukiwa mahakama kuu Mbeya kutafuta haki ya ndugu yetu Mdude Nyagali kauli mbiu yetu ni haki ya kuishi ya ndugu yetu haina mjadala tutaipambania Kwa wivu mkubwa.

Tutashinda tukiwa mahakama kuu Mbeya  kutafuta haki ya ndugu yetu <a href="/mdudenyagali/">Mdude Nyagali</a>  kauli mbiu yetu ni haki ya kuishi ya ndugu yetu haina mjadala tutaipambania Kwa wivu mkubwa.
KING ASSENGA (@assengapn) 's Twitter Profile Photo

Imani yangu haizuiwi na chochote Ina thamani kuliko mamlaka zote Duniani na kuliko chochote kile hakuna wa kunitenganisha na Imani yangu , kongole waumini wa kanisa la ufufuo na uzima

JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

Handsome La Kijiji Nimeshindana na nani? Kusema ukweli ni mashindano? Kukemea utekaji ni mashindano? Kukemea mauaji ni mashindano? KOSA LANGU NI LIPI NISTAHILI KUULIWA?

KING ASSENGA (@assengapn) 's Twitter Profile Photo

Haya mitano tena ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ Haya mitano tena ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ Haya mitano tena ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ Kura labda muipigishe maiti yangu Haya wapitisheni wazidi kuuwa ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Haya mitano tena ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Haya mitano tena ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Haya mitano tena ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ 
๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Kura labda muipigishe maiti yangu 
Haya wapitisheni wazidi kuuwa ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ