Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile
Babu Bomba

@babubomba4

ID: 890948026084282368

calendar_today28-07-2017 14:52:17

26,26K Tweet

4,4K Followers

2,2K Following

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Msanii anapo kuwa mdomoni mwa watu ndiyo management yenye kujua kumanage inafanya kumuandalia hata show angalau sio msanii yupo mdomoni halafu kajificha ficha yeye ana bang mtandaoni tuu. Paka Mchomvu akasema ajitokeze?

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Bongo hakuna presenter anaweza kumualika Duke Tachez. Kama kuna presenter angeona jinsi mashabiki tuna hamu ya kumsikiliza Duke akihojiwa wasenge chezea hiyo karata. Wanasema bro ana misimamo mikali ila sidhani kama anaweza kugomea Mahojiano. Mfano tumpendekeze presenter yupi?

👉Pharergy Ramson (@ramsonpharergy) 's Twitter Profile Photo

“Toka Rap clinic, mistari chafu clean it. Ass too fat niggaz wanna flat scene it. Unju back in it, Ukonga mechanics. Moto tuki-split bars hatu- grab penis”

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Kuna Mchizi mox moja ya ma story teller wazuri kabisa na wala hazungumziwi sana ila tunao mjua tunasema yule ni the best kabisa.

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Chapo ana mdogosha Mbosso kweli? Hata kama ndiyo uko team Wasafi unakata wakati mwingine. Mbosso mbaya kabla ajafika usafini et hizo ngoma aliandika akiwa usafini kauli ya ki wack.

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Bongo bhana yani Wakazi ana deal na Khalighaf jones na Khalighaf kama kala mnuno ila kuna wabongo wenzetu Wanajitokeza kumjibia Khalighaf. Tujifunze kuvunga mtu ana deal na mtu pake tena paka anamtag wewe inakuhusu nini? Acha Wasanii waoneshane usanii wao.

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Fredrick mulla 🔥🔥🔥🔥🔥 Kaachia diss track kwa Motra wenu . Bonge la kazi Kmmk link hii hapo. Inaitwa siulitaka noma haya noma umeletewa kazi kwako. youtu.be/mxw9BOwK4Tc?si…

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Fredrick mulla ndiyo Rapper pekee Bongo alianza kuimba kabla ya kurap. Ma rapper wenu sihuwa wanaanza nakurap ,badae wana switch wanaimba ila yeye Mulla akawa wakipekee kidogo. Kingine kwa Mulla ndiyo Rapper pekee ana inspiration na rapper yoyote bongo. Malkin wa nguvu bio link

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Kitu kingine nacho penda kwa Afande Sele ni mtu Smart sana . Msanii pekee anae weza kukubali Talent ya msanii mwenzake wazi wazi haijalishi alisha wayi kukwazana nae nyuma ila yeye Afande ana baki kwenye kumkubali. Respect kwa Afande Sele 🔥

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Diss track yenye ufundi mwingi unasikiliza una enjoy. Motra alimwambia Mwana Tanna ana sagana. Aysee ma Nigger wa kurap kumbe wambea wambea tuliaminishwa wanao fanya Bongo freva kumbe hata wao.

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

kama H baba wewe Ex wangu Frola mvungi. Naukitaka tifu karibu sivungi unajifanya mtakatifu Kanisa sifungi wanao sema wewe nimkali wamelewa Tungi . Motra hivi bado ana pumua huko.

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Future gani paka Sasa aujatoka Kuna ku rhymes na kuropoka nakutafuna nakutema kama bazoka . Sumu kama koboko navuma sitaki kutoka ,niende wapi? niko ndani nakunyoosha umejichochaa paka uniite papi tosha.

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Mara ooh Diamond anaiba nyota tulivyo kutana sikumpaga mkono sikugota Haujaibiwa nyota na unasota unaliliia Crown Alli kiba atakuposa Wena Demu wako wote mnahitaji sponsor.🙌 Couple gani choka mbaya mmechoka.

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Maturity ya hali ya juu kabisa kwa Bro Magokoro kizuri kina jiuza hakika. Napenda karamu yake na flow yake ana skika vizuri akichana 🔥🔥🔥🔥