Brilliant Boe@๐ŸŒŸ (@brilliantboe) 's Twitter Profile
Brilliant Boe@๐ŸŒŸ

@brilliantboe

Fast learner with ability to demonstrate learned competencies in the workplace. SUPERFLY โœˆ๏ธ @YoungAfricansSC| @ManUtd| @realmadrid

ID: 1257434925940211721

calendar_today04-05-2020 22:20:48

9,9K Tweet

3,3K Followers

2,2K Following

JAPHET MATARRA (@eng_matarra) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšจ TAARIFA Mtoto PRINCE JAMES KISILA, mwanafunzi wa Form One, (St. Francis) Tabora. Amepotea jana alfajiri akiwa safarini kutoka DOM kwenda shuleni. Aliachwa na basi la ABOOD waliposimama njiani. Kwa yeyote atakayemuona: Piga: 0715 372627 au 0756 984575 Tusaidiane kusambaza๐Ÿ™

๐Ÿšจ TAARIFA

Mtoto PRINCE JAMES KISILA, mwanafunzi wa Form One, (St. Francis) Tabora. Amepotea jana alfajiri akiwa safarini kutoka DOM kwenda shuleni. Aliachwa na basi la ABOOD waliposimama njiani.

Kwa yeyote atakayemuona:

Piga: 0715 372627 au 0756 984575

Tusaidiane kusambaza๐Ÿ™
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Mnaenda kwenye ziara badala ya kujenga hoja dhidi ya ccm mnahangaika na ajenda ya #NoReformsNoElection !!! Elezeni watu hoja zenu, wambieni watu mnachotaka kufanyaโ€ฆ msimamo wetu uko palepale na ndio msimamo wa wananchi Mnasema mkipata wabunge hata watatu mtazuia ccm bungeni

Madenge (@rollymsouth) 's Twitter Profile Photo

Nadhani tulipofikia tusiangalie nani alikuwa nani aliwahi kusema nini bali tusimame na walioamua kuipambania haki kulingana na kipindi tulichopo hata kama uko nyuma waliwahi kuwa katika upande sio sahihi, kuteleza kupo.

Young Africans SC (@youngafricanssc) 's Twitter Profile Photo

Engineer ๐Œ๐Ž๐”๐’๐’๐€ ๐๐€๐‹๐‹๐€ ๐‚๐Ž๐๐“๐„ is Green & Yellow๐Ÿ”ฐ Eng. Hersi Said #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko

Engineer ๐Œ๐Ž๐”๐’๐’๐€ ๐๐€๐‹๐‹๐€ ๐‚๐Ž๐๐“๐„ is Green & Yellow๐Ÿ”ฐ

<a href="/Caamil8/">Eng. Hersi Said</a> 

#TimuYaWananchi 
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

Watu wananitumia hii clip,wanasema wamemiss hizi SWAGGA mjengoni. Mimi nawakumbusha kuwa mpaka kufika hapo,kuna watu WALIKUFA na wengine VILEMA mpaka leo kwa kupambana ili NITANGAZWE! NB:Siko tayari tena kwa Ubunge wenye DAMU za watu.Hata kama NAKUBALIKAJE! #NoReformsNoElection

Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Mtoeni mtu huyu asiye na hatia mahabusu Ondoeni sheria yenu batili iliyo kinyume na katiba ya mashaidi wa siri Futeni mashitaka yenu ya uongo dhidi yake Acheni chama chake kifanye kazi zake Asema Bwana wa Majeshi If an and only if, you want to find peace

Mtoeni mtu huyu asiye na hatia mahabusu

Ondoeni sheria yenu batili iliyo kinyume na katiba ya mashaidi wa siri

Futeni mashitaka yenu ya uongo dhidi yake

Acheni chama chake kifanye kazi zake

Asema Bwana wa Majeshi

If an and only if, you want to find peace
SIR JEFFโšก๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

REFORMS will bring sanity REFORMS will bring accountability REFORMS will bring transparency REFORMS will bring justice REFORMS will bring rule of law REFORMS will fight corruption REFORMS will decentralize power REFORMS will strengthen democracy NO REFORMS, NO ELECTION.

Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

NI ZAMU YA VYOMBO VYA HABARI..? Waandishi wa habari nguli na maarufu wa radio na TV maarufu hapa Jijini Dar es Salaam wamefungiwa na Bodi ya ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kutangaza au kufanya kazi ya uandishi wa Habari kwa kile kinachoitwa "kushindwa kujisajili katika

NI ZAMU YA VYOMBO VYA HABARI..?

Waandishi wa habari nguli na maarufu wa radio na TV maarufu hapa Jijini Dar es Salaam wamefungiwa na Bodi ya ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB)  kutangaza au kufanya kazi ya uandishi wa Habari kwa kile kinachoitwa "kushindwa kujisajili katika
Madenge (@rollymsouth) 's Twitter Profile Photo

Me nilitegemea kuona serikali inawaza kupunguza matumizi yasiyo ya msingi na sio kuhangaika kuleta kodi kwa kundi linalojitafuta sababu ya ukosefu wa ajira..Sawa acha tulipe kodi zikalipe goli la maza na bilioni 1 za taifa stars wakishinda na bahasha za chawa,sisi tufe.

OG๐ŸคŽ (@msafwa_og) 's Twitter Profile Photo

Habari zenu wapendwaโค๏ธ Msafwa nimewaletea Brand yangu mpya ambayo nitakuwa nauza viatu vya Ngozi/leather kwa bei za jumla na rejareja Kike kwa kiume na rangi tofauti tofauti. Mwenyewe nimeiita #OG_BRANDS๐Ÿ’ซ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Naombeni support zenuโค๏ธ๐Ÿฅน๐Ÿ™๐Ÿพ Sample na maelezo follow OG_BRANDS๐Ÿ’ซ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿค

Habari zenu wapendwaโค๏ธ

Msafwa nimewaletea Brand yangu mpya ambayo nitakuwa nauza viatu vya Ngozi/leather kwa bei za jumla na rejareja 
Kike kwa kiume na rangi tofauti tofauti.

Mwenyewe nimeiita #OG_BRANDS๐Ÿ’ซ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 

Naombeni support zenuโค๏ธ๐Ÿฅน๐Ÿ™๐Ÿพ

Sample na maelezo follow <a href="/og_msafwa/">OG_BRANDS๐Ÿ’ซ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ</a> ๐Ÿค
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

๐ŸšจTAARIFA YA UTEKAJI.๐Ÿšจ Boss kuna ndugu yangu ametekwa siku ya alhamisi tarehe 31--7--2025 majira ya saa sita na dakika 20+ Mkoa wa IRINGA Maeneo ya MASHINE TATU NG'AMBO CAFE MOJA INAITWA TWIGA. Ilikuja gari aina ya TOYOTA CROWN NYEUPE walishuka maaskari wawili na na kwenye

๐ŸšจTAARIFA YA UTEKAJI.๐Ÿšจ

Boss kuna ndugu yangu ametekwa siku ya alhamisi tarehe 31--7--2025 majira ya saa sita na dakika 20+ Mkoa wa IRINGA Maeneo ya MASHINE TATU  NG'AMBO CAFE MOJA INAITWA TWIGA.

Ilikuja gari aina ya TOYOTA CROWN NYEUPE walishuka maaskari wawili na na kwenye
Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

Kuwa na roho nzuri ni utajiri wa thamani isiyo na kipimo. Jifungue kwa ajili ya kuwasaidia wengine, kwani riziki ya mtu mara nyingi hupitia kwa mtu mwingine. Kama wewe usingependa kukataliwa au kuachwa wakati wa uhitaji wako, basi nawe usimfanyie mwingine hivyo.

Miss Chelsea1221 (@misschelsea1221) 's Twitter Profile Photo

Naomba Mshow #Love kwa Repost๐Ÿ™๐Ÿ˜ ๐Ÿ‘‰Size S_______2XL ๐Ÿ‘‰Bei 27,000/= Wa.me/+255623346245 Au 0714336827 ๐Ÿ‘‰Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA

Naomba Mshow #Love kwa Repost๐Ÿ™๐Ÿ˜

๐Ÿ‘‰Size S_______2XL
๐Ÿ‘‰Bei   27,000/=

Wa.me/+255623346245
Au 0714336827

๐Ÿ‘‰Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA