AFANDE CIRO (@bwirem69738) 's Twitter Profile
AFANDE CIRO

@bwirem69738

Success is Not for the Lazy

ID: 1661750540643209216

calendar_today25-05-2023 15:06:50

3,3K Tweet

581 Followers

553 Following

Dr. Chris Cyrilo (@drcyrilo) 's Twitter Profile Photo

Mh. Rais Samia Suluhu Matumizi ya fedha za walipakodi haipaswi kuwa siri. Ikiwa kauli yako inamlenga aliyepiga picha barua za kumlipa fedha Lugumi, na ikiwa wewe unaona hilo ni tatizo, watu wataamini mpango huo ni wa kifisadi. Haiwezi kuwa tatizo kama mpango huo ni halali.

Dedan Wangwe๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@dedanwangwe) 's Twitter Profile Photo

Najua Bishop Gwajima, si mtu makini sana, ila leo nakubaliana nae kwa haya anayoyasema. Anasema; Mamlaka ya raisi kuwateua na kuwatengua wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama yapunguzwe Ili kuondoa wimbi la wao kutii amri haram kwa kuhofia kupoteza nafasi zao. Tuleni Popcorn ๐Ÿฟ

Najua Bishop Gwajima, si mtu makini sana, ila leo nakubaliana nae kwa haya anayoyasema.

Anasema;
Mamlaka ya raisi kuwateua na kuwatengua wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama yapunguzwe Ili kuondoa wimbi la wao kutii amri haram kwa kuhofia kupoteza nafasi zao.

Tuleni Popcorn ๐Ÿฟ
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Gwajima: UTEKAJI HAUKUBALIKI. Wakati spika wa BUNGE anakataa kujadili Utekaji Ndani ya bunge na kusema ni story ambazo hazina uthibitisho kwahiyo hazitakiwi kujadiliwa bungeni leo Mbunge wake kaja hadharani kukiri โ€œUTEKAJI HAUKUBALIKIโ€. Wakati Babu TALE mbunge wa Morogoro huko

Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. John Heche atakuwa mgeni rasmi katika kongamano la wasomi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Dar Es Salaam. Mhe. John Heche pamoja na mambo mengine ataeleza maazimio ya Kamati Kuu ya Chama kilichoketi kwa siku mbili Makao Makuu ya Chama tarehe 23

Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. <a href="/HecheJohn/">John Heche</a> atakuwa mgeni rasmi katika kongamano la wasomi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Dar Es Salaam.

Mhe. <a href="/HecheJohn/">John Heche</a> pamoja na mambo mengine ataeleza maazimio ya Kamati Kuu ya Chama kilichoketi kwa siku mbili Makao Makuu ya Chama tarehe 23
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Gwajima ANA KIJIJI.๐Ÿซต๐Ÿพ๐Ÿ˜‚ Livha ya yote yaliyotokea ila bado makanisa yake YANA NYOMI hatari. Sasa leteni USENGE mkahisi huyu ni sativa. TUTAKUWEPO๐Ÿซต๐Ÿพ๐Ÿ˜Ž

Gwajima ANA KIJIJI.๐Ÿซต๐Ÿพ๐Ÿ˜‚

Livha ya yote yaliyotokea ila bado makanisa yake YANA NYOMI hatari. Sasa leteni USENGE mkahisi huyu ni sativa.

TUTAKUWEPO๐Ÿซต๐Ÿพ๐Ÿ˜Ž
Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

Askofu Josephat Gwajima ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kawe, ametolea Mfano ikitokea Abdul (Mtoto wa Rais Samia) achukuliwe na Watu halafu kesho aokotwe akiwa hana Macho, tutajisikiaje? Ametolea mfano kile kilichofanyika kwa Mdude, kifanyike na kwa Mtoto wake au wa Waziri

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

โ€ผ๏ธ #EnforcedDisappearance ALERT #Tanzania โ€ผ๏ธ Anaitwa Mangโ€™era Mugore Alitekwa 09 Mei 2025 jijini Mwanza na hadi sasa Police Force TZ narudia binadamu hawezi kupotezwa kirahisi! Huyu kijana ana watoto wadogo na mke - familia inamtegemea Samia Suluhu huu ukatili wako huu This young man

โ€ผ๏ธ #EnforcedDisappearance ALERT #Tanzania โ€ผ๏ธ
Anaitwa Mangโ€™era Mugore
Alitekwa 09 Mei 2025 jijini Mwanza na hadi sasa
<a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> narudia binadamu hawezi kupotezwa kirahisi!
Huyu kijana ana watoto wadogo na mke - familia inamtegemea
<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> huu ukatili wako huu

This young man
AFANDE CIRO (@bwirem69738) 's Twitter Profile Photo

Kutoka 22:21 Usimwonee mgeni, wala kumtendea jeuri; kwa kuwa ninyi mlikuwa wageni katika nchi ya Misri. Thou shalt neither vex a stranger, nor oppress him: for ye were strangers in the land of Egypt.

Kutoka 22:21
Usimwonee mgeni, wala kumtendea jeuri; kwa kuwa ninyi mlikuwa wageni katika nchi ya Misri. 
Thou shalt neither vex a stranger, nor oppress him: for ye were strangers in the land of Egypt.
Ananilea Nkya (PhD) (@ananilean) 's Twitter Profile Photo

Je kama taifa tumefikaje hapa ambapo hata ile ibara ya 8 ya Katiba ya Jamhuri yetu inayosema wananchi ndio wenye mamlaka ya kuweka viongozi madarakani kupitia sanduku huru la kura haiheshimiwi tena hadi wananchi sasa wanadai #NoRefomNoEkection?

GreaterThinker๐Ÿ’Ž (@hopequotes__) 's Twitter Profile Photo

Na yeye kasema Hatokaa Kimya Amekataa kua CHAWA... Kama Wengine Mmeamua Kua MACHAWA sawa ila yeye Kaukataa UCHAWA.... ni MaCCM Vs MaCCM Tuchochee Kuni Kabisaa MOTO Ukoleee kabisaaaa Sujui Press ni Lini....... ๐Ÿซ  ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿซก

Na yeye kasema Hatokaa Kimya Amekataa kua CHAWA...

Kama Wengine Mmeamua Kua MACHAWA sawa ila yeye Kaukataa UCHAWA....

ni MaCCM Vs MaCCM

Tuchochee Kuni Kabisaa MOTO Ukoleee kabisaaaa 

Sujui Press ni Lini....... ๐Ÿซ 

๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿซก