CHASO DIT (@chasodit) 's Twitter Profile
CHASO DIT

@chasodit

@ChademaTz Students Organization at the Dar es Salaam Institute of Technology

ID: 1577223527341637632

linkhttps://en.m.wikipedia.org/wiki/Chadema calendar_today04-10-2022 09:07:13

12,12K Tweet

129 Followers

16 Following

Lucas Ngoto (@lucas_ngoto) 's Twitter Profile Photo

24.4.2025 police walinifikisha ununio baada kunitoa kisutu mahakamani na kuaza kunishambulia kama mwizi.Nilipigwa kulipa haki za watumishi,matumizi ya raslimal za nchi,tunalipa haki za vyombo vya maamuzi ambavyo haviko huru.hata walionipiga nimelipa gharama za haki zao.

24.4.2025 police  walinifikisha ununio baada kunitoa kisutu mahakamani na kuaza kunishambulia kama  mwizi.Nilipigwa kulipa haki za watumishi,matumizi ya raslimal za nchi,tunalipa haki za vyombo vya maamuzi ambavyo haviko huru.hata walionipiga nimelipa gharama za haki zao.
Clement A Manang (@clementmanang) 's Twitter Profile Photo

"Huyu ni Elizabeth kiongozi wetu wa CHADEMA. "Pamoja na wanawake wenzake polisi wali mdhalilisha kinyama. "Makala hili ujaliona? UWT hili amjliona? Mbona kwa Sigrada mlikuwa ACTIVE sana? "Kuna baadhi ya CDM wenzangu hamjaliona hili? Mbona kwa Sigrada kelele zilikuwa nyingi?

"Huyu ni Elizabeth kiongozi wetu wa CHADEMA.

"Pamoja na wanawake wenzake polisi wali mdhalilisha kinyama.

"Makala hili ujaliona? UWT hili amjliona? Mbona kwa Sigrada mlikuwa ACTIVE sana?

"Kuna baadhi ya CDM wenzangu hamjaliona hili? Mbona kwa Sigrada kelele zilikuwa nyingi?
Grace Shio (@graceshio03) 's Twitter Profile Photo

Hongera sana Paulina Mwaitalako kwa kuchaguliwa katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti BAWACHA Kanda ya Nyasa. Paulina Mwaitalako : kura 11 (68.1%) na Happiness Kwilabya : Kura 7 (31.9 %) BAWACHA imeshinda.

Hongera sana Paulina Mwaitalako kwa kuchaguliwa katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti BAWACHA Kanda ya Nyasa.

Paulina Mwaitalako : kura 11 (68.1%) na Happiness Kwilabya : Kura 7 (31.9 %)

BAWACHA imeshinda.
Edwin Odemba (@chiefodemba) 's Twitter Profile Photo

ā€œLeo nimeenda kumuona Lissu Gerezani Nimezuiwa, wao wanafikiri hivyo vitendo vitanikatisha tamaa wala wanajisumbua tuā€ Heche.

Zacharia Thomas Obad (@zacharia_obada) 's Twitter Profile Photo

Nimepata taarifa za ndani kwamba kuna mkakati wa kuniumiza. Kwamba siku wakinikamata watanichakaza sana. Nimejikabizi kwa Mungu. Niwakumbushe tu kwamba hakuna tone langu la damu litapotea bure. Police Force TZ

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Siku ya 19 sasa wanakushikilia Tundu Antiphas Lissu ila wanatetemeka na kuweweseka huku nje kwa woga Umeitikisa nchi, umeitikisa dunia na hawana namna zaidi ya kuhaha Kudai mabadiliko siyo uhaini Mabadiliko hayaepukiki #FreeTunduLissu #FreeTunduLissuNow #LissuSioMhaini #Tanzania

Siku ya 19 sasa wanakushikilia <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> ila wanatetemeka na kuweweseka huku nje kwa woga
Umeitikisa nchi, umeitikisa dunia na hawana namna zaidi ya kuhaha
Kudai mabadiliko siyo uhaini
Mabadiliko hayaepukiki
#FreeTunduLissu 
#FreeTunduLissuNow 
#LissuSioMhaini #Tanzania
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Afisa wa magereza ameeleza mahakama kwamba Tundu Lissu hayupo tayari kwa utaratibu wa kesi yake kuendeshwa mtandaoni (virtual). Lakini hakimu ameruhusu kesi kuendelea kusikilizwa bila mtuhumiwa kuridhia. Mawakili wa Serikali wapo 3. Jopo la mawakili upande wa utetezi wapo 19.

Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

Jeshi la Polisi linaonekana kujitahidi zaidi kuwazuia Watanzania kuhudhuria kusikiliza kesi ya Mwenyekiti Tundu Antiphas Lissu badala ya kulinda haki zao za kikatiba. Chama Cha Mapinduzi mnaogopa nini?Samia Suluhu This is only exposing you more.

LYENDA (@iamlyenda) 's Twitter Profile Photo

Hivi ndivyo Polisi wetu walivyozingira nyumba ya Makamu Mwenyekiti John Heche mapema leo. Chama changu kitakapoongoza serikali, nitakishauri tuache kuyatumia kisiasa majeshi yetu.

Hivi ndivyo Polisi wetu walivyozingira nyumba ya Makamu Mwenyekiti <a href="/HecheJohn/">John Heche</a> mapema leo. 
Chama changu kitakapoongoza serikali, nitakishauri tuache kuyatumia kisiasa majeshi yetu.
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

ā€¼ļøPOLICE DENY TRYING TO ENTER BY FORCE LISSU’S HOMEā€¼ļø Regional Commissioner of Dar Jumanne Muliro is incompetent and should resign! He now claims they were just providing security to the residence of Tundu Antiphas Lissu which of course is totally UNTRUE because they knocked and wanted

ā€¼ļøPOLICE DENY TRYING TO ENTER BY FORCE LISSU’S HOMEā€¼ļø
Regional Commissioner of Dar Jumanne Muliro is incompetent and should resign! He now claims they were just providing security to the residence of <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> which of course is totally UNTRUE because they knocked and wanted