CHASO IRINGA (@chasoiringa) 's Twitter Profile
CHASO IRINGA

@chasoiringa

Official account of Chadema Students Organisation Iringa Region. (@ChasoIringa)

CHASO - ni chanzo cha fikra bora.

ID: 1221100854712979462

linkhttp://Instagram.com/Chademainblood calendar_today25-01-2020 16:02:26

641 Tweet

4,4K Followers

586 Following

Paome Oloinyo (@parmundoro) 's Twitter Profile Photo

Vijana wa kike na kinamama wajitokeza kwa wingi katika mkutano wa Mlola, Tanga, ambapo mkutano huo ulihutubiwa na mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Kanda Mhe. Godbless E.J. Lema. #UshindiUnakuja

Vijana wa kike na kinamama wajitokeza kwa wingi katika mkutano wa Mlola, Tanga, ambapo mkutano huo ulihutubiwa na mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. <a href="/freemanmbowetz/">Freeman Mbowe</a> na Mwenyekiti wa Kanda Mhe. <a href="/godbless_lema/">Godbless E.J. Lema</a>.

#UshindiUnakuja
CHASO IRINGA (@chasoiringa) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amesema maandamano waliyopanga kufanya kesho Septemba 23, 2024 yatakuwepo kama ilivyopangwa huku ikisisitiza kuwa yatakuwa ya amani na maombolezo ya viongozi wao waliotoweka na kuuawa.

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amesema maandamano waliyopanga kufanya kesho Septemba 23, 2024 yatakuwepo kama ilivyopangwa huku ikisisitiza kuwa yatakuwa ya amani na maombolezo ya viongozi wao waliotoweka na kuuawa.
CHASO IRINGA (@chasoiringa) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Antiphas Lissu atazungumza na watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari leo Jumatano tarehe 25 Septemba 2024, saa kumi na nusu jioni, Makao Makuu ya Chadema, Mikocheni Dar es salaam. Vyombo vyote vya habari vinakaribishwa.

Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> atazungumza na watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari leo Jumatano tarehe 25 Septemba 2024, saa kumi na nusu jioni, Makao Makuu ya Chadema, Mikocheni Dar es salaam. Vyombo vyote vya habari vinakaribishwa.
CHASO IRINGA (@chasoiringa) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti Tundu Antiphas Lissu wakisalimiana leo kabla ya kuanza kwa kikao chama Kamati Kuu ya CHADEMA ambayo pamoja masuala mengine, itaketi na kusaili wagombea wa nafasi mbalimbali katika Kanda ya Kaskazini na Kanda ya Kati.

Mwenyekiti wa CHADEMA <a href="/freemanmbowetz/">Freeman Mbowe</a> na Makamu Mwenyekiti <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> wakisalimiana leo kabla ya kuanza kwa kikao chama Kamati Kuu ya CHADEMA ambayo pamoja masuala mengine, itaketi na kusaili wagombea wa nafasi mbalimbali katika Kanda ya Kaskazini na Kanda ya Kati.
CHASO IRINGA (@chasoiringa) 's Twitter Profile Photo

Kesho tarehe 16 Desemba 2024 Katibu Mkuu wa Chama Mhe. MNYIKA John John atazungumza na watanzania kupitia mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika saa tano asubuhi Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar Es Salaam. Waandishi wote wa habari mnakaribishwa.

Kesho tarehe 16 Desemba 2024 Katibu Mkuu wa Chama Mhe. <a href="/jjmnyika/">MNYIKA John John</a> atazungumza na watanzania kupitia mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika saa tano asubuhi Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar Es Salaam. 

Waandishi wote wa habari mnakaribishwa.