Big fish (@cylousj611) 's Twitter Profile
Big fish

@cylousj611

ID: 1726210726618947584

calendar_today19-11-2023 12:09:37

9,9K Tweet

4,4K Followers

4,4K Following

Dr Calipso (@nulphin) 's Twitter Profile Photo

Naomba Repost 100 tu Kila kitu si wanasema kafanya mama inakuaje Deni linakua la Taifa? DENI LA TRILION 107 ni la MAMA Piga Retweet.

Naomba Repost 100 tu 
Kila kitu si wanasema kafanya mama inakuaje Deni linakua la Taifa? 

DENI LA TRILION 107 ni la MAMA
Piga Retweet.
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Mnatuteka na kutupoteza na mkitaka watu wakae KIMYA. Hapana hilo kamwe halitawezekana. Round hii hadi MAWE YATAPIGA KELELE. Ni wakati kila mtanzania kutumia TALANTA yake kupinga haya yanayoendelea kwenye nchi. Mzizi wake ni kuwa na viongozi ambao sio chaguo la w/nchi.

Think Different (@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Mambo yameoza kabisa huko bandarini, ni kama DP World walitaka bandari kufanyia issue nyingine kama kuchukua mikopo, maana hakuna huduma imekuwa bora ni migogoro tu imeongezeka kwa sasa na watu kusumbuliwa na kodi, tozo kutokana na huduma mbaya ======= message ========== Mr