Dead Nigga Alive(DNA) (@deadniggaalive) 's Twitter Profile
Dead Nigga Alive(DNA)

@deadniggaalive

FUCK DE WORLD

#OUTLAWS

ID: 1712461930240385025

calendar_today12-10-2023 13:35:42

62,62K Tweet

1,1K Followers

1,1K Following

GabbY (@iamgabby_1) 's Twitter Profile Photo

Wengi wanapata pesa kwa njia zisizo halali na ipo wazi ila shida nikuanza kuflex na kutaka umaarufu wa mtandaoni tujue unapesa Wakati umepata kwa njia ambazo sio halali. Kitu ambacho kitasababisha ufuatiliwe vizuri na unyakwe. Mtandaoni hatujuani ila tunachukiana, kaa rada✌️..

Mzee wa Chuki 🤬 (@papiikhan98) 's Twitter Profile Photo

Sir Jeff anatapeli masela halafu akiulizwa anaishia kublock...sasa atumie IQ yake kubwa kujitoa kama ni kweli amekamatwa.🤝🖕

OMEra (@omerazt) 's Twitter Profile Photo

Yaani mtu yoyote anayebariki uchaguz wa mwaka huu, basi anahusika moja kwa moja na watu waliotekwa, na anabariki hayo yanayotokea, anakula na mboga mboga🚮🚮

OMEra (@omerazt) 's Twitter Profile Photo

Katika watu ambao mimi nina imani hawana haja ya kuongelea mfumo wa uchaguz kuwa ni mbaya basi ni ACT, ila bado nashangaa wanaubiri kulinda kura. Baba yenu zitto ameshakula hela then anawapeleka machinjoni hamtaamini

ally blessings (@donpimbo) 's Twitter Profile Photo

Kuna mshamba ashawah nipiga bit afu akashindwa cha kufanya 😂 kisa vita ya wenye hel Leo na yeye anamsema jef😂 Ukitoa kaunda ya kijani anabakiza kitobo tu Umaskini mbaya wanangu😁

Kuna mshamba ashawah nipiga bit afu akashindwa cha kufanya 😂 kisa vita ya wenye hel 
Leo na yeye anamsema jef😂

Ukitoa kaunda ya kijani anabakiza kitobo tu 

Umaskini mbaya wanangu😁
Mzee wa Chuki 🤬 (@papiikhan98) 's Twitter Profile Photo

Miungu wa Twitter wanatuachia laana kisa tumemsema Mhujumu Uchumi Sa Jeff....Mtu yupo Mbeya Mwakareli badala apambane na baridi ananichia laana mimi mtu nipo Rombo.😂😂😂🖕🖕🖕

Teacher On Duty (T.O.D)🌾 🇹🇿. (@official_t_o_d) 's Twitter Profile Photo

Kabla ya kuelekea uchaguzi mkuu mwezi October jobless tayari tumekumbukwa huku. Wajinga Kila siku wanazaliwa ,wanakua ,wanaishi na badae Hufariki. Huu mzunguko hauna Ukomo.

Kabla ya kuelekea uchaguzi mkuu mwezi October jobless tayari tumekumbukwa huku.

Wajinga Kila siku wanazaliwa ,wanakua ,wanaishi na badae  Hufariki.

Huu mzunguko hauna Ukomo.