Dr. Stergomena Lawrence Tax (@drtaxs) 's Twitter Profile
Dr. Stergomena Lawrence Tax

@drtaxs

Minister for Defence & National Service

ID: 3322762636

linkhttps://www.modans.go.tz calendar_today13-06-2015 09:36:04

3,3K Tweet

29,29K Followers

292 Following

WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA (@gcumod) 's Twitter Profile Photo

Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, ambaye ni Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Alphonce Felix Simbu, tarehe 21 Aprili, 2025 aliipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika medani ya michezo kwa kuibuka mshindi wa Pili katika mbio maarufu Duniani za Boston Marathon

Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, ambaye ni Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Alphonce Felix Simbu, tarehe 21 Aprili, 2025 aliipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika medani ya michezo kwa kuibuka mshindi wa Pili katika mbio maarufu Duniani za Boston Marathon
WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA (@gcumod) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 4 Mei 2025, ameweka jiwe la Msingi katika Mradi wa Ujenzi wa nyumba ya Mapadri wa Parokia ya Mtakatifu Kizito, Kijiji cha Kabila, Magu mkoani Mwanza.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 4 Mei 2025, ameweka jiwe la Msingi katika Mradi wa Ujenzi wa nyumba ya Mapadri wa Parokia ya Mtakatifu Kizito, Kijiji cha Kabila, Magu mkoani Mwanza.
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Habemus Papam! Pongezi za dhati kwa Kardinali Robert Francis Prevost, Papa Leo XIV kwa kuchaguliwa kuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani. Kwa niaba ya Serikali na Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninakutakia kila la kheri katika utumishi wako kwa Kanisa na Dunia

Habemus Papam!

Pongezi za dhati kwa Kardinali Robert Francis Prevost, Papa Leo XIV kwa kuchaguliwa kuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani. 

Kwa niaba ya Serikali na Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninakutakia kila la kheri katika utumishi wako kwa Kanisa na Dunia
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

On behalf of the Government and the people of the United Republic of Tanzania, I extend my congratulations to His Excellency Mr. Vladimir Vladimirovich Putin, President of the Russian Federation, on the occasion of Victory Day. This day symbolizes the heroism, resilience, and

On behalf of the Government and the people of the United Republic of Tanzania, I extend my congratulations to His Excellency Mr. Vladimir Vladimirovich Putin, President of the Russian Federation, on the occasion of Victory Day. 

This day symbolizes the heroism, resilience, and
Ambassador Hassani Iddi Mwamweta (@hassanimwamweta) 's Twitter Profile Photo

Kwa nafasi yangu ya Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Vatican mwenye Makazi Berlin, Ujerumani nimewasilisha salamu za pongezi na kheri kutoka kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Baba Mtakatifu Leo wa XIV. Kwenye salamu hizo,

Kwa nafasi yangu ya Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Vatican mwenye Makazi Berlin, Ujerumani nimewasilisha salamu za pongezi na kheri kutoka kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Baba Mtakatifu Leo wa XIV.

Kwenye salamu hizo,
Dr. Stergomena Lawrence Tax (@drtaxs) 's Twitter Profile Photo

Namshukuru Mhe Rais ⁦Samia Suluhu⁩ kwa kuendelea kuimarisha Ulinzi wa Nchi yetu, nalipongeza JWTZ kwa uzalendo na kazi kubwa nnayoifanya youtu.be/MH1OUHhWeeM?si…