#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile
#ElimikaWikiendi

@elimikawikiendi

#ElimikaWikiendi empowers youth through education. We provide platforms for youth to connect, learn and address key challenges that limit their potential

ID: 701453045880717312

calendar_today21-02-2016 17:06:53

146,146K Tweet

80,80K Followers

500 Following

m.s.a.k.i+ (@raphyrodrick) 's Twitter Profile Photo

#JeWajua Sudan ina piramidi nyingi zaidi kuliko nchi nyingine yoyote duniani – hata zaidi ya Misri. Kuna angalau piramidi 223 katika miji ya Sudan ya Al Kurru, Nuri, Gebel Barkal na Meroë. Kawaida zina urefu wa mita 20 hadi 30 na zimejengwa kwa miinuko mikali. #ElimikaWikiendi

#JeWajua

Sudan ina piramidi nyingi zaidi kuliko nchi nyingine yoyote duniani – hata zaidi ya Misri. Kuna angalau piramidi 223 katika miji ya Sudan ya Al Kurru, Nuri, Gebel Barkal na Meroë. Kawaida zina urefu wa mita 20 hadi 30 na zimejengwa kwa miinuko mikali.
#ElimikaWikiendi
m.s.a.k.i+ (@raphyrodrick) 's Twitter Profile Photo

#JeWajua Albert Einstein alikua na msemo mmoja unaoitwa "The Einstein Rule" uliokua unasema "If you can't explain it to a 6 years old child, you don't understand it yourself " akimaanisha kwamba, 'Kama umeshindwa kumuelezea mtoto wa miaka 6 jambo na akalielewa basi tambua

#JeWajua

Albert Einstein alikua na msemo mmoja unaoitwa "The Einstein Rule" uliokua unasema "If you can't explain it to a 6 years old child, you don't understand it yourself " akimaanisha kwamba,  'Kama umeshindwa kumuelezea mtoto wa miaka 6 jambo na akalielewa basi tambua
m.s.a.k.i+ (@raphyrodrick) 's Twitter Profile Photo

#JeWajua ⬛MAUZO (SALES) NI KAZI UNAYOTAKIWA KUIPENDA NA SIO KUIOGOPA. Katika skill unatakiwa kujifunza sana katika dunia ya leo ni Sales (Mauzo). Usiogope kabisa kazi za sales haswa katika ulimwengu wa leo ambao AI na Bots zinachukua nafasi kubwa za watu makazini haswa wale wa

#JeWajua

⬛MAUZO (SALES) NI KAZI UNAYOTAKIWA KUIPENDA NA SIO KUIOGOPA.

Katika skill unatakiwa kujifunza sana katika dunia ya leo ni Sales (Mauzo). Usiogope kabisa kazi za sales haswa katika ulimwengu wa leo ambao AI na Bots zinachukua nafasi kubwa za watu makazini haswa wale wa
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

“Baba ndani ya familia ni walinzi wanapopata elimu ya hedhi huwa msaada kupata vifaa vya kujisitiri na mazingira kuboresha mazingira salama.” allenkaiza_ #ElimikaWikiendi

“Baba ndani ya familia ni walinzi wanapopata elimu ya hedhi huwa msaada kupata vifaa vya kujisitiri na mazingira kuboresha mazingira salama.” <a href="/allen_kaiza/">allenkaiza_</a>

#ElimikaWikiendi
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

“Hedhi salama ni yale mazingira sahihi na salama kwa binti na mwanamke kupata sehemu nzuri yenye huduma ya taulo za kike, maji na mahala pa kuhifadhia.” Jennifer Kayombo🌙🕋 #ElimikaWikiendi

“Hedhi salama ni yale mazingira sahihi na salama kwa binti na mwanamke kupata sehemu nzuri yenye huduma ya taulo za kike, maji na mahala pa kuhifadhia.”
<a href="/JenniferKayombo/">Jennifer Kayombo🌙🕋</a> 

#ElimikaWikiendi
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

“Baadhi ya jamii kwa kuona aibu kipindi cha hedhi wasichana hutumia vifaa ambavyo vinaathiri afya zao za uzazi hili huwaathiri kupata maambukizi.” - Jennifer Kayombo🌙🕋 #ElimikaWikiendi

“Baadhi ya jamii kwa kuona aibu kipindi cha hedhi wasichana hutumia vifaa ambavyo vinaathiri afya zao za uzazi hili huwaathiri kupata maambukizi.” - <a href="/JenniferKayombo/">Jennifer Kayombo🌙🕋</a> 

#ElimikaWikiendi
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

“Wasichana wa vijijini wanapitia unyanyapaa kutoka kwa wavulana kipindi cha hedhi huwacheka na kukosa kujiamini hali inayoweza kupelekea kufikiria kuacha shule.” - godrick #ElimikaWikiendi

“Wasichana wa vijijini wanapitia unyanyapaa kutoka kwa wavulana kipindi cha hedhi huwacheka na kukosa kujiamini hali inayoweza kupelekea kufikiria kuacha shule.” - <a href="/drickmuller/">godrick</a> 

#ElimikaWikiendi
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

“Kwa sasa mfumo wa elimu unatoa nafasi ya kutosha kwa wanafunzi kujifunza kuhusiana na hedhi kutokana na mfumo wa pamoja kuhusu Afya ya Uzazi.” Eng. Aysha mkurugenzi Glaring Future Foundation #ElimikaWikiendi

“Kwa sasa mfumo wa elimu unatoa nafasi ya kutosha kwa wanafunzi kujifunza kuhusiana na hedhi kutokana na mfumo wa pamoja kuhusu Afya ya Uzazi.” <a href="/AyshaMsantu/">Eng. Aysha</a> mkurugenzi <a href="/GFF_Tanzania/">Glaring Future Foundation</a> 

#ElimikaWikiendi
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

“Umasikini ni kikwazo kinachopelekea wazazi husasani kuamua vipaumbele kati ya kutoa hela ya chakula au kuwapa mabinti fedha ya kununua taulo za kike.” - Jennifer Kayombo🌙🕋 #ElimikaWikiendi

“Umasikini ni kikwazo kinachopelekea wazazi husasani kuamua vipaumbele kati ya kutoa hela ya chakula au kuwapa mabinti fedha ya kununua taulo za kike.” - <a href="/JenniferKayombo/">Jennifer Kayombo🌙🕋</a> 

#ElimikaWikiendi
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

“Gharama za taulo za kike bado ni changamoto kubwa ya kufikia Usawa wa Kijinsia hususani mtoto wa kike kuweza kusoma na kumaliza elimu.” - Monica Patrick #ElimikaWikiendi

“Gharama za taulo za kike bado ni changamoto kubwa ya kufikia Usawa wa Kijinsia hususani mtoto wa kike kuweza kusoma na kumaliza elimu.” - <a href="/MonicaPatrick_/">Monica Patrick</a> 

#ElimikaWikiendi
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

“Kupelekea taulo za kike shuleni si kutatua changamoto ya ukosefu wa pedi ni muhimu sasa wazazi kuchukua jukumu hili msingi.” - allenkaiza_ #ElimikaWikiendi

“Kupelekea taulo za kike shuleni si kutatua changamoto ya ukosefu wa pedi ni muhimu sasa wazazi kuchukua jukumu hili msingi.” - <a href="/allen_kaiza/">allenkaiza_</a> 

#ElimikaWikiendi
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

“Serikali kupitia wizara ya elimu huwa inatenga bajeti ya taulo za kike shuleni na zinasambazwa ila inahitajika bajeti ya kutosha zaidi.” - allenkaiza_ #ElimikaWikiendi

“Serikali kupitia wizara ya elimu huwa inatenga bajeti ya taulo za kike shuleni na zinasambazwa ila inahitajika bajeti ya kutosha zaidi.” - <a href="/allen_kaiza/">allenkaiza_</a> 

#ElimikaWikiendi
James Massawe (@massawejk) 's Twitter Profile Photo

From joining #ElimikaWikiendi as a regular user of the #ElimikaWikiendi hashtag to now leading as Executive Director. What started as an online learning space is now a movement driving real change. I am honored to lead this next chapter, where young voices shape the future.

From joining <a href="/ElimikaWikiendi/">#ElimikaWikiendi</a> as a regular user of the #ElimikaWikiendi hashtag to now leading as Executive Director.

What started as an online learning space is now a movement driving real change.

I am honored to lead this next chapter, where young voices shape the future.
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Leo ni Siku ya Afrika! Tuitumie siku hii kutafakari upya kuhusu umoja wetu na kuenzi mchango wa vijana katika kuleta mabadiliko. Kuliko wakati mwingine wowote ule, sasa tunahitaji vijana kushika hatamu ya uongozi ili kuijenga Afrika tunayoitaka! #SikuYaAfrika #ElimikaWikiendi

Leo ni Siku ya Afrika!

Tuitumie siku hii kutafakari upya kuhusu umoja wetu na kuenzi mchango wa vijana katika kuleta mabadiliko.

Kuliko wakati mwingine wowote ule, sasa tunahitaji vijana kushika hatamu ya uongozi ili kuijenga Afrika tunayoitaka!

#SikuYaAfrika
#ElimikaWikiendi
MindyourMind (@mindyourmindtz) 's Twitter Profile Photo

Leo ni Siku ya Afrika! Tunasherehekea Afrika na vijana wake, nguvu ya mabadiliko. Katika safari ya kujenga bara lenye usawa na maendeleo, afya ya akili ya vijana wa Afrika haiwezi kupuuzwa. Ni wakati wa kuvunja unyanyapaa na kusimamia ustawi 💚 #MindyourMind #ElimikaWikiendi

Leo ni Siku ya Afrika!

Tunasherehekea Afrika na vijana wake, nguvu ya mabadiliko.

Katika safari ya kujenga bara lenye usawa na maendeleo, afya ya akili ya vijana wa Afrika haiwezi kupuuzwa.

Ni wakati wa kuvunja unyanyapaa na kusimamia ustawi 💚

#MindyourMind
#ElimikaWikiendi