๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡น ๐Ÿ‡ฟ (@esireid) 's Twitter Profile
๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡น ๐Ÿ‡ฟ

@esireid

Website n Mobile Apps Developer,Computer Scientist N a PURE #Mathematicianยถยฉ #JKUAT ALUMNI||#TeamArsenalยถ #HalaMadridยถ ยถ #YANGA $ #TajiriLaKihaya

ID: 625813906

calendar_today03-07-2012 19:16:14

200,200K Tweet

45,45K Followers

40,40K Following

๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡น ๐Ÿ‡ฟ (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Wewe kijana unae soma hapaโ€ฆ Ukifanikiwa kupata hela kwa mara ya kwanzaโ€ฆ wekeza kwenye biashara, si kununua gari au kujenga nyumba. Jenga nyumba yako kwa faida utakayopata kutoka kwa biashara yako.

๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡น ๐Ÿ‡ฟ (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Sheikh kishki amewahi kutoa Dua ya mchongo Kumuhusu AFANDE SELEโ€ฆ Watu walimtukana vibaya mno๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚ Leo khutbah yake inatambaa humuโ€ฆ Watu wale wale wanamsifu ndio Muislamu Mwenye akiliโ€ฆ ndio mwenye Elmu kubwa โ€ฆ kanyooka mno! Umejifunza nini???

๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡น ๐Ÿ‡ฟ (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Nasikiza GOODMORNING ya WASAFI nkielekea Ofisinโ€ฆ Ila niseme tu kwamba hawa jamaa UCHAWA umezidiโ€ฆ Yaani wanasema Kazi ya MBUNGE iwe anapewa Target kama kujenga Hospitali,Shule,barabara nk. Alafu anatafuta marafiki zake kutoka nje ya nchi- kama NORWAY na nchi

khalif kairo (@khalifkairo) 's Twitter Profile Photo

Meet the new kaiandkaro.com team From left to right, Mackenzie Marketing , Lucy sales, Jackie admin, Kairo founder , Keith Sales, Flo customer service , John head of showroom ops

Meet the new kaiandkaro.com team
From left to right, 
Mackenzie Marketing , Lucy sales, Jackie admin, Kairo founder , Keith Sales, Flo customer service , John head of showroom ops
Maverick Aoko (@aokootieno_) 's Twitter Profile Photo

PS Raymond Omollo is fucking Devolution PS Mbaika I'm tayad of whispering. He knows what has killed Were Sasa hii siku, walikuwa event. Ilikuwa wamalize, waende lodging Ile hotel ya Makau Mutua ndio Gafment officials wanadinyana It was on a Sunday. Mbaika's husband decided

Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

Tumetaarifiwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe. Amani Golugwa amekamatwa na Jeshi la Polisi usiku wa leo tarehe 13 Mei 2025 akiwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Mhe. Amani alikuwa anasafiri leo tarehe 13 Mei 2025, kuelekea nchini Ubeljiji kukiwakilisha chama

Tumetaarifiwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe. Amani Golugwa amekamatwa na Jeshi la Polisi usiku wa leo tarehe 13 Mei 2025 akiwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.

Mhe. Amani alikuwa anasafiri leo tarehe 13 Mei 2025, kuelekea nchini Ubeljiji kukiwakilisha chama
๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡น ๐Ÿ‡ฟ (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Nipo broโ€ฆ Sema kuna Project naifanya inahitaji utimamu wangu wa akili 100%. Ndio maana naingia kimachale humuโ€ฆ ila mwezi ujao nitarudi FULL TIME kama Kawaโ€ฆ