HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile
HakiRasilimali

@hakirasilimali

The leading civil societies coalition in Tanzania fighting for transparency and accountability in the extractive industry (mining, oil & gas).

ID: 779630824551571456

linkhttps://www.hakirasilimali.or.tz calendar_today24-09-2016 10:37:28

4,4K Tweet

10,10K Followers

397 Following

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Kumekuwa na migogoro kati ya wananchi na migodi kuhusu matumizi ya vyanzo vya maji, kwani wote wanategemea rasilimali hiyo kwa mahitaji yao ya kila siku." Epaphroditus Sabuni, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira #JukwaaLaUziduaji2025 HakiRasilimali

"Kumekuwa na migogoro kati ya wananchi na migodi kuhusu matumizi ya vyanzo vya maji, kwani wote wanategemea rasilimali hiyo kwa mahitaji yao ya kila siku."
Epaphroditus Sabuni, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira
#JukwaaLaUziduaji2025 
<a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"The conservation and protection of water sources requires a collective efforts, driven by strong political will, active community engagement, and responsible corporate practices." Epaphroditus Sabuni, Vice President's Office – Environment #JukwaaLaUziduaji2025 HakiRasilimali

"The conservation and protection of water sources requires a collective efforts, driven by strong political will, active community engagement, and responsible corporate practices."
Epaphroditus Sabuni, Vice President's Office – Environment
#JukwaaLaUziduaji2025 
<a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Hadi sasa,nchi yetu haijakumbwa na uhaba wa maji. Tunakadiriwa kuwa na takriban lita bilioni 126 za maji yanayofaa kwa matumizi ya binadamu." Domina Msonge, Wizara ya Maji #JukwaaLaUziduaji2025 HakiRasilimali

"Hadi sasa,nchi yetu haijakumbwa na uhaba wa maji. 
Tunakadiriwa kuwa na takriban lita bilioni 126 za maji yanayofaa kwa matumizi ya binadamu."
Domina Msonge, Wizara ya Maji
#JukwaaLaUziduaji2025 
<a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Kwa sasa tunatekeleza mpango wa kupeleka maji kutoka Ziwa Victoria hadi Dodoma, kama ilivyofanyika Tabora, kupitia mfumo wa kuhamisha maji kati ya mabonde unaoitwa inter-basin transfer." Domina Msonge, Wizara ya Maji. #JukwaaLaUziduaji2025 HakiRasilimali

"Kwa sasa tunatekeleza mpango wa kupeleka maji kutoka Ziwa Victoria hadi Dodoma, kama ilivyofanyika Tabora, kupitia mfumo wa kuhamisha maji kati ya mabonde unaoitwa inter-basin transfer."
Domina Msonge, Wizara ya Maji.
#JukwaaLaUziduaji2025 
<a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Sera ya maji inatambua kuwa sekta ya madini ni miongoni mwa watumiaji wakubwa wa rasilimali maji. Ikiwa haitadhibitiwa kimkakati, inaweza kuhatarisha vyanzo vya maji na kuchochea uhaba kwa jamii na mazingira." Domina Msonge, Wizara ya Maji #JukwaaLaUziduaji2025 HakiRasilimali

"Sera ya maji inatambua kuwa sekta ya madini ni miongoni mwa watumiaji wakubwa wa rasilimali maji. Ikiwa haitadhibitiwa kimkakati, inaweza kuhatarisha vyanzo vya maji na kuchochea uhaba kwa jamii na mazingira."
Domina Msonge, Wizara ya Maji
#JukwaaLaUziduaji2025 
<a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Changamoto ni kwamba jamii na makampuni ya uchimbaji mara nyingi haziweki utunzaji wa vyanzo vya maji kuwa kipaumbele katika miradi ya maendeleo. Hii inaonesha haja ya kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa kulinda rasilimali hii muhimu." #JukwaaLaUziduaji2025 HakiRasilimali

"Changamoto ni kwamba jamii na makampuni ya uchimbaji mara nyingi haziweki utunzaji wa vyanzo vya maji kuwa kipaumbele katika miradi ya maendeleo.
Hii inaonesha haja ya kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa kulinda rasilimali hii muhimu."
#JukwaaLaUziduaji2025
<a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

Tuna sheria, sera, na miongozo mizuri sana. Lakini leo nipo hapa kuwasilisha sauti za wanajamii. Kanda ya Ziwa sasa inaongezeka kwa kuwa na wagonjwa wa kansa kutokana na uchafuzi wa maji unaosababishwa na shughuli za uchimbaji mdogo wa madini. Ingawa jitihada nyingi zimeelekezwa

Tuna sheria, sera, na miongozo mizuri sana. Lakini leo nipo hapa kuwasilisha sauti za wanajamii. Kanda ya Ziwa sasa inaongezeka kwa kuwa na wagonjwa wa kansa kutokana na uchafuzi wa maji unaosababishwa na shughuli za uchimbaji mdogo wa madini. Ingawa jitihada nyingi zimeelekezwa
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

''Serikali inapaswa kuwekeza kikamilifu katika sekta ya maji na kuanzisha uhusiano wa moja kwa moja kati ya huduma ya maji na sekta ya uziduaji (extractive industries). Hili linaweza kufanikishwa kwa kutunga sheria mahsusi zitakazowezesha usimamizi na utoaji wa huduma ya maji

''Serikali inapaswa kuwekeza kikamilifu katika sekta ya maji na kuanzisha uhusiano wa moja kwa moja kati ya huduma ya maji na sekta ya uziduaji (extractive industries). Hili linaweza kufanikishwa kwa kutunga sheria mahsusi zitakazowezesha usimamizi na utoaji wa huduma ya maji
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

"Mwaka huu 2025 tunasherehekea miaka kumi tangu kuanzishwa kwa Jukwaa la Uziduaji – jukwaa huru la majadiliano linalowakutanisha wadau wote wa sekta ya madini, mafuta na gesi. Katika kipindi hiki, Jukwaa limejidhihirisha kuwa chombo muhimu cha kuwawezesha wananchi, hasa wale

"Mwaka huu 2025 tunasherehekea miaka kumi tangu kuanzishwa kwa Jukwaa la Uziduaji – jukwaa huru la majadiliano linalowakutanisha wadau wote wa sekta ya madini, mafuta na gesi. Katika kipindi hiki, Jukwaa limejidhihirisha kuwa chombo muhimu cha kuwawezesha wananchi, hasa wale
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

Toka kuanzishwa kwake, ni miaka 10 sasa, na kwa hakika Jukwaa hili la Uziduaji limekuwa ni sehemu muhimu sana ya kupata taarifa kamili kuhusu Sekta ya Madini, Mafuta na Gesi. Alice Swai- SWISSAID #JukwaaLaUziduaji2025

Toka kuanzishwa kwake, ni miaka 10 sasa, na kwa hakika Jukwaa hili la Uziduaji limekuwa ni sehemu muhimu sana ya kupata taarifa kamili kuhusu Sekta ya Madini, Mafuta na Gesi. 

Alice Swai- SWISSAID

#JukwaaLaUziduaji2025
Johnbest Mwahaja (@johniezebest) 's Twitter Profile Photo

Mr. Adam Anthony, Executive Director of HakiRasilimali, delivers the closing remarks at #JukwaaLaUziduaji2025, underscoring the imperative for collaborative efforts and sustained commitment to advancing equitable development. Cc: Adam Anthony | HakiRasilimali

Mr. Adam Anthony, Executive Director of HakiRasilimali, delivers the closing remarks at #JukwaaLaUziduaji2025, underscoring the imperative for collaborative efforts and sustained commitment to advancing equitable development.

Cc: <a href="/adamthony/">Adam Anthony</a> | <a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

Katika mapendezo yaliyosomwa mbele ya mgeni rasmi moja ya pendekezo ni la Kukuza na Kuhamasisha Teknolojia Endelevu kwa Wachimbaji Wadogo Pia wadau wameishauri Wizara husika, kuanzisha na kutekeleza mikakati ya kukuza matumizi ya teknolojia za kisasa na rafiki kwa mazingira,

Katika mapendezo yaliyosomwa mbele ya mgeni rasmi moja ya pendekezo ni  la Kukuza na Kuhamasisha Teknolojia Endelevu kwa Wachimbaji Wadogo Pia wadau wameishauri Wizara husika, kuanzisha na kutekeleza mikakati ya kukuza matumizi ya teknolojia za kisasa na rafiki kwa mazingira,
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

Kwenye Jukwaa hili, kumezungumziwa sana jinsi ya kuhakikisha sekta ya madini inafungamanishwa na sekta ya nyingine kwa lengo la kuongeza tija ya sekta kwa watanzania na kuchochea uchumi jumuishi kupitia kuongezeka kwa shughuli mbalimbali za kiuzalishaji katika uchumi. Nipende

Kwenye Jukwaa hili, kumezungumziwa sana jinsi ya kuhakikisha sekta ya madini inafungamanishwa na sekta ya nyingine kwa lengo la kuongeza tija ya sekta kwa watanzania na kuchochea uchumi jumuishi kupitia kuongezeka kwa shughuli mbalimbali za kiuzalishaji katika uchumi. Nipende
HakiRasilimali (@hakirasilimali) 's Twitter Profile Photo

Kupanua wigo wa vyanzo vya mapato katika sekta ya Madini ni pendekezo la kwanza kati ya mapendekezo muhimu yaliyosomwa mbele ya Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii wakati wa kuhitimisha siku tatu za Jukwaa La Uziduaji 2025, kupanua wigo sio tu kwa manufaa ya wachimbaji bali na

Kupanua wigo wa vyanzo vya mapato katika sekta ya Madini ni pendekezo la kwanza kati ya mapendekezo muhimu yaliyosomwa mbele ya Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii wakati wa kuhitimisha siku tatu za Jukwaa La Uziduaji 2025, kupanua wigo sio tu kwa manufaa ya wachimbaji bali na