Ulimwengu🇦🇷 (@hamisuniversal) 's Twitter Profile
Ulimwengu🇦🇷

@hamisuniversal

私を覚えてますか || @FcBarcelona 🇪🇸|| @yangasc1935 || BPA || Allah First 🙏🏾 || We live once ||#Messi Goat 🐐|| تابعني أتابعك||#EatShit

ID: 2772025985

linkhttp://Iswear.com calendar_today16-09-2014 08:07:10

205,205K Tweet

13,13K Followers

5,5K Following

Ulimwengu🇦🇷 (@hamisuniversal) 's Twitter Profile Photo

Martha Karua SC stay away from Tanzania, Kwa hayo uliyo yafanya 2007 unataka Kuyaleta huku. We can’t afford such loss. Hatuwezi kuona machafuko yanakuja nchini kwetu.

Muhaluro Jr (@muhaluro1) 's Twitter Profile Photo

Kenya ina kovu la harakati za kichochezi na ubinafsi za bibi Martha Karua SC Wakenya wachechukizwa na kitendo cha Martha Karua kutaka kusababisha machafuko kama alowahi kufanya kwao kupitia mgongo wa harakiri na haki. Wanatamani angefunzwa adabu, Amani sio jambo la mchezo wa

The Citizen Tanzania (@thecitizentz) 's Twitter Profile Photo

President Samia Suluhu Hassan has issued a stern warning to foreign activists attempting to interfere in Tanzania’s internal affairs, stating that if they have already been curtailed in their own countries, they should not seek to destabilise the peace in Tanzania. President

Kenyans.co.ke (@kenyans) 's Twitter Profile Photo

Tanzania remains the only peaceful and secure nation in the region and I will not allow activists from other countries to come here and destroy it - President Samia Suluhu

Tanzania remains the only peaceful and secure nation in the region and I will not allow activists from other countries to come here and destroy it - President Samia Suluhu
Wiseman 😎 (@bizydan) 's Twitter Profile Photo

TUNDU LISSU ANAHITAJI KUTIBIWA UGONJWA WA AKILI KWANZA. Kwanza ni jambo la kushukuru Mungu kwamba Tanzania tuna vyombo vya ulinzi na usalama vyenye ueledi ndio maana leo tumemuona Tundu Lissu mahakamani akiwa na afya njema na tabasamu kubwa. Hakuna dalili yoyote ya manyanyaso.

TUNDU LISSU ANAHITAJI KUTIBIWA UGONJWA WA AKILI KWANZA. 

Kwanza ni jambo la kushukuru Mungu kwamba Tanzania tuna vyombo vya ulinzi na usalama vyenye ueledi ndio maana leo tumemuona Tundu Lissu mahakamani akiwa na afya njema na tabasamu kubwa. Hakuna dalili yoyote ya manyanyaso.
Gogoryo King, NDC (@gogoryoking) 's Twitter Profile Photo

Atakua balozi mzuri sana wa Tanzania sasa. Na bila shaka ataelewa kwanini Tanzania imekua na amani kwa miaka 60+ mfululizo unlike nchi zote za ukanda wa maziwa makuu.

Atakua balozi mzuri sana wa Tanzania sasa. Na bila shaka ataelewa kwanini Tanzania imekua na amani kwa miaka 60+ mfululizo unlike nchi zote za ukanda wa maziwa makuu.
EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#EATVSAA1 Wanachama 158 wa Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema Mkoani Tanga wamejiondoa kwenye chama hicho kwa madai kwamba chama hicho kimepoteza muelekeo na hivi sasa kimekuwa chama cha matusi, kudharauliana na kukejeliana kwenye mitandao ya kijamii. #EastAfricaTV

Kipanga (@kipanga1986) 's Twitter Profile Photo

Ni zamu ya CHAUMMA sasa, Chadema wamekaribisha wanaharakati kwenye chama chao na haya ndio matakeo yake, tulipokua tunawambia malengo yao sio malengo ya wanaharakati walikuja na matusi Endeleeni kushirikiana na Maria Sarungi muendelee kupotea kwenye ramani ya siasa

Ni zamu ya CHAUMMA sasa, Chadema wamekaribisha wanaharakati kwenye chama chao na haya ndio matakeo yake, tulipokua tunawambia malengo yao sio malengo ya wanaharakati walikuja na matusi

Endeleeni kushirikiana na Maria Sarungi muendelee kupotea kwenye ramani ya siasa