Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile
Hilda Newton

@hildanewton21

Journalist/Activist/President Of Tanzania 2045

ID: 2673303382

calendar_today04-07-2014 21:16:48

289,289K Tweet

924,924K Followers

1,1K Following

Mbishi ⚖ (@bizy94) 's Twitter Profile Photo

Shangazi Maria Sarungi's Oslo speech is a MUST-READ book! 🔥 Exposed Magufuli & Samia Suluhu's dictatorship‼️Samia’s even WORSE! ‼️😱 Celebrated Tanzania’s beauty: Serengeti, Kilimanjaro, Zanzibar beaches. 🌄🏖️ Called out Maasai protests & citizen abductions, torture, killings.

Shangazi Maria Sarungi's Oslo speech is a MUST-READ book! 🔥 Exposed Magufuli & Samia Suluhu's dictatorship‼️Samia’s even WORSE! ‼️😱 Celebrated Tanzania’s beauty: Serengeti, Kilimanjaro, Zanzibar beaches. 🌄🏖️ Called out Maasai protests & citizen abductions, torture, killings.
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

#Pichani Anaitwa Kaswahili Juma ni Mwanachama wa CHADEMA anaishi Temeke. Kaswahili ametekwa na watu wasiojulikana akiwa safarini kutokea Kahama kuja Dar usiku wa kuamkia Mei 22, 2025 mpaka sasa haijulikani amepelekwa wapi? NB. Kaswahili ni mtu ambae huwa anaendesha mijadala

#Pichani 

Anaitwa Kaswahili Juma ni Mwanachama wa CHADEMA anaishi Temeke.

Kaswahili ametekwa na watu wasiojulikana akiwa safarini kutokea Kahama kuja Dar usiku wa kuamkia Mei 22, 2025 mpaka sasa haijulikani amepelekwa wapi?

NB. Kaswahili ni mtu ambae huwa anaendesha mijadala
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Mbunge kutoka Zanzibar anasema kenge wa ndani tushughulikiwe. Hii ni kutokana na kauli aliyoitoa Rais Samia juzi akiagiza Wanaharakati washughulikiwe,leo Wabunge wote wanapita humo humo kuonyesha wanamsapoti Rais wao Wapendwa tuchukue tahadhari, kuelekea Oktoba watapoteza wengi

Mbunge kutoka Zanzibar anasema kenge wa ndani tushughulikiwe.

Hii ni kutokana na kauli aliyoitoa Rais Samia juzi akiagiza Wanaharakati washughulikiwe,leo Wabunge wote wanapita humo humo kuonyesha wanamsapoti Rais wao

Wapendwa tuchukue tahadhari, kuelekea Oktoba watapoteza wengi
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

"Nimeambiwa kwamba Kijana Kaswahili ambaye ni Mwanachama wetu tangu tarehe 22 Mwezi wa Tano huu hajulikani alipo familia yake imeanza kumtafuta, tutakuwa kwenye hali hii Mpaka lini tunatekwa kama Kuku?"-; Mhe.John Heche

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Huyu ni mbunge wa viti maalum kutoka Mjini -Magharibi Zanzibar. Huyu anaamini yeye ni binadamu kuliko wengine, yeye anaamini Soka, Kipanya,Mdude, Ben saanane, Kanguye Azaory na wengine wote ni kenge na stahili yao ni kupotea na kutekwa. Tauhida anaamini kwamba hata kenge

Huyu ni mbunge wa viti maalum kutoka Mjini -Magharibi Zanzibar.

Huyu anaamini yeye ni binadamu kuliko wengine, yeye anaamini Soka, Kipanya,Mdude, Ben saanane, Kanguye Azaory na wengine wote ni kenge na stahili yao ni kupotea na kutekwa.

Tauhida anaamini kwamba hata kenge
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Huyu mbunge ni MZANZIBARI anatuita Watanganyia KENGE ndani ya bunge letu. Kwakuwa umetutukana acha na mm nikutukane mwanamke mwenye SHEPU kama MAVI, mgongo na MATAKO vimeungana kama KAUKAU. Upo hapo ulipo SHUKURU hiyo KUMA kama sofa ndio imekufikisha hapo. TUTOTELEE UCHAWA WAKO

Lumola Steven Kahumbi (@lumola_steven) 's Twitter Profile Photo

KENGE MWENYEWE HOVYO KABISA, WATU GANI HAWA? NA HII NI NCHI GANI? Kwanza huo mwili wake tu nafikiri utakuwa umenyonya medulla oblangata yote kabaki na fuvu tu ndio maana anaona binadamu wenzie ni Kenge. Dr. Tulia Ackson umeruhusu maneno haya yaingie kwenye hansard za Bunge?

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Majirani zetu Kenya tunaomba endeleeni kupambana na Idd Amini Mama mpaka ajute kuwakorofisha maana leo Bunge la Tanzania limeacha kujadili mambo ya nchi, likaanza kujadili vile Wakenya wanashughulika na Idd Amin Mama.

Majirani zetu Kenya tunaomba endeleeni kupambana na Idd Amini Mama mpaka ajute kuwakorofisha maana leo Bunge la Tanzania limeacha kujadili mambo ya nchi, likaanza kujadili vile Wakenya wanashughulika na Idd Amin Mama.
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Mbunge wa CCM kutoka Zanzibar anasema kwamba Martha Karua SC alivyokuja Tanzania vyombo vya usalama vilitakiwa kummaliza. Yani alitaka Martha Karua apotezwe kama walivowapoteza akina Deusdedith Soka. Ni aibu kubwa kwa Tanzania kuwa na Mbunge mwenye akili mbovu kama huyu.🚮🚮🚮

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Mimi nadhani ifike mahali huyu Covid aanze yeye kwanza, aache udhalilishaji maana anamdhalilisha sana mme wake wa ndoa yule Profesa Mkami. Akimaliza hapo ndo aje kuzungumza na Gen-Z wa Kenya.😤

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Majirani 🇰🇪 wanasema kama akili za Wabunge wetu ndo hizi na hawa ndo wanatunga sheria basi kama nchi tuna na shida kubwa sana. Leo Wabunge wa CCM wamejua kumdhalilisha "Mama yao" yani wao walidhan wanampamba kumbe ndo wamempaka kinyesi usoni kila anakokatiza anatoa harufu mbaya.

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Ndugu wananchi, Huyu Mbunge amesoma secondary Kati ya 1997-2013 Yani katumia miaka 16 badala ya 4 Huyu ndio anaita watu Kenge?😂😂😂

Ndugu wananchi,

Huyu Mbunge amesoma secondary Kati ya 1997-2013

Yani katumia miaka 16 badala ya 4

Huyu ndio anaita watu Kenge?😂😂😂