
Hilda Newton
@hildanewton21
Journalist/Activist/President Of Tanzania 2045
ID: 2673303382
04-07-2014 21:16:48
289,289K Tweet
924,924K Followers
1,1K Following




"Nimeambiwa kwamba Kijana Kaswahili ambaye ni Mwanachama wetu tangu tarehe 22 Mwezi wa Tano huu hajulikani alipo familia yake imeanza kumtafuta, tutakuwa kwenye hali hii Mpaka lini tunatekwa kama Kuku?"-; Mhe.John Heche




KENGE MWENYEWE HOVYO KABISA, WATU GANI HAWA? NA HII NI NCHI GANI? Kwanza huo mwili wake tu nafikiri utakuwa umenyonya medulla oblangata yote kabaki na fuvu tu ndio maana anaona binadamu wenzie ni Kenge. Dr. Tulia Ackson umeruhusu maneno haya yaingie kwenye hansard za Bunge?


Huyu ndo Shangazi Maria Sarungi Tsehai kiboko ya Madhulmati na vibaraka wao.


Mbunge wa CCM kutoka Zanzibar anasema kwamba Martha Karua SC alivyokuja Tanzania vyombo vya usalama vilitakiwa kummaliza. Yani alitaka Martha Karua apotezwe kama walivowapoteza akina Deusdedith Soka. Ni aibu kubwa kwa Tanzania kuwa na Mbunge mwenye akili mbovu kama huyu.🚮🚮🚮




Nawasogezea hii kutoka kwa Mbunge wa Kenya Edwin Sifuna Kesho mfuatilie Bunge la Kenya huenda mtajifunza kitu.😊


