MSIKA (@ilondo01) 's Twitter Profile
MSIKA

@ilondo01

PRESSURE

ID: 1455196763359432707

calendar_today01-11-2021 15:35:45

5,5K Tweet

164 Followers

619 Following

Spana & V.A.R Movement (@spana_konki) 's Twitter Profile Photo

Meme kadhaa 😀 1. Tuko Vizuri, Wanayataka Watayapata. 2. Na Mzigo ni huu. 3. I'm happy to see you, Tutafika. 4. We'll be fine, Msiogope.

Boniphace Chuzura (@bchuzura) 's Twitter Profile Photo

Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya walipata ugeni Genz wakamfikishia ujumbe Samia Suluhu juu ya kuzuiliwa wanaharakati wa Sheria kutoka Kenya na Ugandaa waliokuja kuhudhuria kesi ya Tundu Antiphas Lissu

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Hizi ndio taarifa za habari za kuangalia. Sio hizi taarifa za WAANDISHI wanaotegemea tuzo za “KALAMU YA WASENGE”. Uzuri wa sasa hata mkivibana vyombo vya habari vya ndani page zetu zipo zitapost na dunia inaona. Hakuna kulia lia tena, UOVU UTAONEKANA, na HAMNA CHA KUTUFANYA.

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Rapper wenu anaweza kuchanq hivi au ndiyo ana Ganda kwenye beat zile zile za producer wake . Nimetoka church nikaona ni tafute kitu inaweza ni bust nikaanza na hii verse ya mdogo wangu Mex

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Mwana akaona hii verse kama kafanya warm up tuu akarudi na verse lingine . Bila kusahau chorus belle kachapa na Mwenye ngoma wala hajui. Kweli M lab ficho la hazina.

Babu Bomba (@babubomba4) 's Twitter Profile Photo

Kuna upepo fans huwa tunapewa, na sisi kama wajinga tuna ufata.Nimeona post ya Dulla anasema Yule mwana wa Kenya ndiyo A list kaulizwa na Wabiro A list wanini alicho jibu Dulla kama kafuma niwa na mke wamtu nime cheka.

SONGA (@niitesonga) 's Twitter Profile Photo

Hii ngoma utakutana nayo kwenye album ya #HAKUNAMATAATAA, na unatumiwa album WhatsApp, email,telegram etc(utachagua) bei ya album ni tsh 10,000/= tu,namba ya kupata album 0656337757. #SamakiMwenyeKiuNdaniYaMaji