WHYMYCATISSAD (@influencerjr) 's Twitter Profile
WHYMYCATISSAD

@influencerjr

Only Person on X who doesn't Claim to be a Social Media Guru. Mwanasheria wangu @MiriamMkanaka

ID: 1109095587062915072

linkhttp://safarigateway.co.tz calendar_today22-03-2019 14:12:48

281,281K Tweet

302,302K Followers

2,2K Following

DevotaTweve (@twevedevota) 's Twitter Profile Photo

Tayari episode yetu ya Wanawake na Siasa iko hewani youtu.be/MMCJ51hkhMA Usikose kufuatilia kuzifahamu changamoto wanazopitia katika #SiasaZetu SiasaZetu

Daktari Wa Manesi πŸ’‰πŸ’Š (@mcinikawalamar) 's Twitter Profile Photo

Ushiriki wa wanawake katika kugombea nafasi mbali mbali za uongozi katika siasa ni wa kusuasua Je, ni kwa sababu hawajitokezi, au kuna milango imefungwa kimya kimya? Tazama episode ya SiasaZetu kwenye YouTube kisha tuambie maoni yako youtu.be/MMCJ51hkhMA #SiasaZetu

KIPEPE πŸ’Š (@kipepe123) 's Twitter Profile Photo

Nani ataibuka na ushindi? πŸ’Έ Beti sasa na PariPesa Africa Sports Betting ufurahie odds kubwa na ushindi wa haraka! Jisajili kwa link hii: paripesa.bet/kipepe Promo code: KIPEPE #PariPesaTanzania #BetAndWin

Nani ataibuka na ushindi?

πŸ’Έ Beti sasa na <a href="/paripesa/">PariPesa Africa Sports Betting</a> ufurahie odds kubwa na ushindi wa haraka!
Jisajili kwa link hii: paripesa.bet/kipepe

Promo code: KIPEPE

  #PariPesaTanzania #BetAndWin
lapexproperties (@lapexproperties) 's Twitter Profile Photo

πŸ“Kiwanja chako kimepangwa kwa matumizi gani? Tutumie live location ya kiwanja chako kwa simu, tutakuambia matumizi yake rasmi β€” iwe ni makazi, biashara au vingine. Gharama ni nafuu sana! πŸ“ž +255 672 826 826 πŸ“§ [email protected] Karibu Lapex!

πŸ“Kiwanja chako kimepangwa kwa matumizi gani?
Tutumie live location ya kiwanja chako kwa simu, tutakuambia matumizi yake rasmi β€” iwe ni makazi, biashara au vingine. Gharama ni nafuu sana!

πŸ“ž +255 672 826 826
πŸ“§ info@lapexproperties.co.tz

Karibu Lapex!
WHYMYCATISSAD (@influencerjr) 's Twitter Profile Photo

Kama tunaweza kuleta marefa kutoka nje na wakachezesha fea kwanini tusilete tume ya uchaguzi kutoka nje waje kusimamia uchaguzi uwe fea?πŸ˜…πŸ˜…

Mohamed hussein 15 (@hussein15mo) 's Twitter Profile Photo

The Last Dance of the Lions 🦁 Kwanza, nimshukuru sana Mwenyezi Mungu wa rehema kwa kutuwezesha kuanza ligi na kumaliza salama. Pili, uongozi chini ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Mohammed Dewji na makamu wake Murtaza Mangungu, benchi la ufundi, menejimenti, wanachama…

The Last Dance of the Lions 🦁

Kwanza, nimshukuru sana Mwenyezi Mungu wa rehema kwa kutuwezesha kuanza ligi na kumaliza salama.

Pili, uongozi chini ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Mohammed Dewji na makamu wake Murtaza Mangungu, benchi la ufundi, menejimenti, wanachama…
WHYMYCATISSAD (@influencerjr) 's Twitter Profile Photo

Simba na Yanga ni watani wa jadi sasa inashangaza na kuogepesha kuona mtu anatukana matusi mazito mazito kisa tu mambo ya mipira. Kwahiyo mnataka mtufunge nakuchana tuwe wanyonge tusiseme chochote? πŸ˜…

RaHeeM (@cowwbama) 's Twitter Profile Photo

Out na kila kitu wakuu, huyu binti ni mdogo sana tena sana, mambo yapo kama ivo Mimi nimekosa cha kumshauri kwa sasa na ana wakati mgumu hata iyo biashara kajipambania sana Mkataba wa fremu anayo, kodi kalipa miezi sita MIRIAMπŸ’œ Carol Ndosi Rajamu

Out na kila kitu wakuu, huyu binti ni mdogo sana tena sana, mambo yapo kama ivo
Mimi nimekosa cha kumshauri kwa sasa na ana wakati mgumu hata iyo biashara kajipambania sana
Mkataba wa fremu anayo, kodi kalipa miezi sita
<a href="/MiriamMkanaka/">MIRIAMπŸ’œ</a> <a href="/CarolNdosi/">Carol Ndosi</a> <a href="/DadaConso/">Rajamu</a>