Evarist Mapesa (@iammapesa) 's Twitter Profile
Evarist Mapesa

@iammapesa

Multimedia Journalist

ID: 872416397405671424

calendar_today07-06-2017 11:34:12

1,1K Tweet

560 Followers

2,2K Following

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Akili Mnemba #ArtificialIntelligence ipatiwe maagizo na binadamu ili isikiuke maadili, asema António Guterres kwenye ujumbe wake wa #EducationDay leo Januari 24. news.un.org/sw/story/2025/…

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Baada ya #M23 kuamuru wakimbizi wote kwenye kambi zilizoko #Goma #DRC kurejea makwao, mmoja wao amerejea #Sake na kukuta makazi yake yamebomolewa. Sasa ana ombi kwa Umoja wa Mataifa Ungana na Evarist Mapesa George Musubao

Evarist Mapesa (@iammapesa) 's Twitter Profile Photo

. Je mkimbiz huyo aliyerejea nyumbani amekuta hali gani? Basi ungana nami Evarist Mapesa katika ripoti hii iliyofanikishwa na mwandishi wa habari wa Umoja wa Mataifa huko Mashariki mwa DRC.

Veriafya (@veriafya) 's Twitter Profile Photo

Ulaji wa Mchele hauna faida yoyote kwa Afya bali huongeza hatari mbalimbali ikiwemo Maumivu ya Tumbo, Kuhara na Kutapika kutokana na kiini kiitwacho 'Lectin' ambacho huharibu kuta za tumbo na kuzuia ufyonzaji wa virutubisho. Pia Hatari ya Maambukizi kutokana na Wadudu ambao

Ulaji wa Mchele hauna faida yoyote kwa Afya bali huongeza hatari mbalimbali ikiwemo Maumivu ya Tumbo, Kuhara na Kutapika kutokana na kiini kiitwacho 'Lectin' ambacho huharibu kuta za tumbo na kuzuia ufyonzaji wa virutubisho. 

Pia Hatari ya Maambukizi kutokana na Wadudu ambao
Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

Kila dakika mbili mwanamke hufariki wakati wa ujauzito au kujifungua, si kwa sababu ya ugumu wa matibabu, bali kwa ukosefu wa uwekezaji. UNFPA inawataka viongozi kuwekeza katika wakunga na huduma za uzazi salama. Zaidi: unf.pa/tmw v UNFPA

Kila dakika mbili mwanamke hufariki wakati wa ujauzito au kujifungua, si kwa sababu ya ugumu wa matibabu, bali kwa ukosefu wa uwekezaji.

<a href="/UNFPA/">UNFPA</a> inawataka viongozi kuwekeza katika wakunga na huduma za uzazi salama. 

Zaidi: unf.pa/tmw v UNFPA
Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Kijana mwenzangu usidharau mafanikio yako hata kama ni kidogo kiasi gani. Kesho yako kubwa na ya ndoto zako inaanza kujengwa na kidogo ulichonacho sasa. Tena usiruhusu watu wadharau ulichonacho, kwani hawakuwepo wakati unatokwa jasho kukitafuta. Pambana amini kesho yako ni kubwa.

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Baada ya kukosa ajira ya alichosomea Chuo Kikuu, kijana mmoja nchini #Tanzania atumia fursa ya ufugaji wa 🐟🐠 samaki kwenye vizimba huko Ziwa Viktoria kama anavyosimulia Evarist Mapesa kutoka #Mwanza #Tanzania #SDGs

Evarist Mapesa (@iammapesa) 's Twitter Profile Photo

Vijana Mjini Mwanza wageukia Uvuvi wa samaki Kwa njia ya vizimba baada ya Msoto wa kukosa ajira youtu.be/sIoQXqgoLL4?si…

Veriafya (@veriafya) 's Twitter Profile Photo

Baadhi ya tafiti zimeonesha kuwa kutokana na maandalizi mabaya, baadhi ya lipstick zinaweza kuwa na kiwango kidogo cha Metali nzito kama Cadmium hivyo kuongeza hatari za kiafya hasa kwa watumiaji wa mara kwa mara. Cadmium huingia mwilini kupitia kumeza chembechembe za lipstick,

Baadhi ya tafiti zimeonesha kuwa kutokana na maandalizi mabaya, baadhi ya lipstick zinaweza kuwa na kiwango kidogo cha Metali nzito kama Cadmium hivyo kuongeza hatari za kiafya hasa kwa watumiaji wa mara kwa mara. 

Cadmium huingia mwilini kupitia kumeza chembechembe za lipstick,
Sokoine University of Agriculture (SUA) (@sokoineu) 's Twitter Profile Photo

Mtaalamu wa SUA katika Idara ya Wanyama, Viumbe Maji na Nyanda za Malisho akizungumza na Mwandishi wa Habari wa UN kuhusu ufugaji wa samaki

Prof. Mohamed Janabi (@profjanabi) 's Twitter Profile Photo

A Vision for a Healthier Africa: I am honored to share this documentary, which reflects my journey and commitment to strengthening healthcare systems across our continent. Through the voices of leaders and colleagues, it highlights the values that guide me; leadership,

Sekretarieti ya Ajira (@ajirapsrs) 's Twitter Profile Photo

Hongera sana. Tunawakaribisha katika Utumishi wa Umma, tunatarajia mtafanya kazi kwa weledi, huku mkitanguliza uzalendo. Watanzania wana matarajio makubwa katika utumishi wenu.

Hongera sana.
Tunawakaribisha katika Utumishi wa Umma, tunatarajia mtafanya kazi kwa weledi, huku mkitanguliza uzalendo. Watanzania wana matarajio makubwa katika utumishi wenu.
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Kutana na mwanaume aliyeamua kwenda kinyume na fikra za wenzake kuhusu kumsindikiza mke wake kliniki wakati wa ujauzito kama inavyoshauriwa na UNFPA Msimulizi wako ni Evarist Mapesa #SDGs

Batuli Actress (@batuli_actress) 's Twitter Profile Photo

Tumia Muda Wako Wa Mahusiano Yako Na MWENYEZI MUNGU Vizuri Sana, Tulia Na Ongeza Unyenyekevu Siku Baada Ya Siku, Omba, Weka Ahadi Na Ukipewa Timiza Ahadi Zako Bila Kuchelewa, Shukuru Sana Na Ondoa Lawama, Omba Samahani Unapokosea Na Wasamehe Wengine Hata Wasipoomba Msamaha…….✍🏽

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Ikiwa leo ni tamati ya #WorldBreastfeedingWeek Anold Kayanda anamulika akina mama wenye magonjwa sugu kama #diabetes wanafanya nini kuhakikisha wananyonyesha watoto wao. WHO Tanzania Shukrani sana kwa Evarist Mapesa wa Muhimbili National Hospital