Wajibu_Institute (@institutewajibu) 's Twitter Profile
Wajibu_Institute

@institutewajibu

Experts in:
• Public Financial Management
• Social Accountability
• Corporate Governance, and Leadership
| [email protected]

RTs are not endorsement

ID: 1054249446240870400

linkhttp://www.wajibu.or.tz calendar_today22-10-2018 05:53:49

1,1K Tweet

1,1K Followers

403 Following

Tax Justice Network Africa (@taxjusticeafric) 's Twitter Profile Photo

Attention African Business and Investigative Journalists! TJNA is pleased to invite applications from interested individuals to attend a short training course on Tax Justice for Journalists. Learn about tax justice, explore the complexities of international tax policies, and

Attention African Business and Investigative Journalists!

TJNA is pleased to invite applications from interested individuals to attend a short training course on Tax Justice for Journalists.

Learn about tax justice, explore the complexities of international tax policies, and
Wajibu_Institute (@institutewajibu) 's Twitter Profile Photo

On Friday, February 21, 2025, Wajibu and policy forum met with the Controller and Auditor General (CAG) to introduce their new EU in Tanzania -funded governance project, Empowering Citizenry Agency for Strengthened Public Governance and Sustainable Growth in Tanzania. The CAG welcomed

On Friday, February 21, 2025, Wajibu and <a href="/policy_F/">policy forum</a>  met with the Controller and Auditor General (CAG) to introduce their new <a href="/EUinTZ/">EU in Tanzania</a> -funded governance project, Empowering Citizenry Agency for Strengthened Public Governance and Sustainable Growth in Tanzania.

The CAG welcomed
Wajibu_Institute (@institutewajibu) 's Twitter Profile Photo

📢 Call for Journalists! WAJIBU and Policy Forum, with funding from the European Union, are implementing a two-year governance project (2025–2027) to enhance transparency, accountability, and citizen participation in public financial governance across Tanzania. As part of this

📢 Call for Journalists!
WAJIBU and Policy Forum, with funding from the European Union, are implementing a two-year governance project (2025–2027) to enhance transparency, accountability, and citizen participation in public financial governance across Tanzania. 

As part of this
Africa Transcribe Enterprises (@afritranscribe) 's Twitter Profile Photo

Join us at the University of Dar es Salaam on March 29, 2025, for an engaging discussion on youth empowerment and public financial accountability. Together, let's promote #YouthInclusion #Accountability #Transparency and #SustainableDevelopment! Wajibu_Institute HakiRasilimali

Join us at the University of Dar es Salaam on March 29, 2025, for an engaging discussion on youth empowerment and public financial accountability.

Together, let's promote #YouthInclusion #Accountability #Transparency and #SustainableDevelopment!

<a href="/InstituteWajibu/">Wajibu_Institute</a> <a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
Wajibu_Institute (@institutewajibu) 's Twitter Profile Photo

Tarehe 29 Machi 2025, Klabu ya Uwajibikaji ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ilifanya mjadala wa kipekee kuhusu nguvu za vijana katika kuimarisha uwajibikaji wa fedha za umma. Wanachama wa klabu hiyo walijadili kwa kina umuhimu wa kupambana na rushwa na kukuza uwazi na uwajibikaji

Tarehe 29 Machi 2025, Klabu ya Uwajibikaji ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ilifanya mjadala wa kipekee kuhusu nguvu za vijana katika kuimarisha uwajibikaji wa fedha za umma.

Wanachama wa klabu hiyo walijadili kwa kina umuhimu wa kupambana na rushwa na kukuza uwazi na uwajibikaji
Wajibu_Institute (@institutewajibu) 's Twitter Profile Photo

Jiunge nasi katika Mjadala Maalum na Wataalamu wa Uchumi, Alhamisi hii kuanzia Saa 1 jioni hadi 3 usiku, kupitia Xspaces ya JamiiForums, ambapo watachambua kwa kina sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL na Shirika la Umeme (TANESCO) na athari zake kwa taifa. Kujiunga bofya:

Jiunge nasi katika Mjadala Maalum na Wataalamu wa Uchumi, Alhamisi hii kuanzia Saa 1 jioni hadi 3 usiku, kupitia Xspaces ya JamiiForums, ambapo watachambua kwa kina sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL na Shirika la Umeme (TANESCO) na athari zake kwa taifa.
Kujiunga bofya:
Wajibu_Institute (@institutewajibu) 's Twitter Profile Photo

Kupitia mjadala wetu katika chuo cha UDSM tulijadili nafasi ya vijana katika uwajibikaji wa fedha za umma, lakini bado kuna changamoto kubwa zinazorudisha nyuma ushiriki wao: ❌ Ukosefu wa taarifa sahihi kuhusu uwajibikaji wa fedha za umma ❌ Kutokushirikishwa katika maamuzi

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Mradi wa #RaiaMakini ni wa wananchi. Ni jukwaa la mabadiliko chanya katika usimamizi wa rasilimali za umma kwa ajili ya maendeleo ya taifa. Kwa ushirikiano wa AZAKI,Serikali, Media na Wananchi, tunaweza kuleta mageuzi yenye tija na usawa nchini. policy forum Wajibu_Institute

Kamala Dickson (@itskamala) 's Twitter Profile Photo

Wajibu_Institute and policy forum they are conducting : "Empowering Citizenry Agency for Strengthened Public Financial Governance and Sustainable Growth in Tanzania", “ Raia Makini Project” (mtu anayejielewa, mshiriki, mfuatiliaji, muwajibikaji, na mchukua hatua ). #RaiaMakini

Kamala Dickson (@itskamala) 's Twitter Profile Photo

#RaiaMakini Project inalenga Kuzalisha na kusambaza taarifa kwa lugha rahisi kuhusu usimamizi wa fedha za umma, kwa ajili ya kuwawezesha wananchi na wadau wasio wa serikali kushiriki kwenye mijadala ya na midahalo ya sera, na kushawishi mageuzi ya sheria na kuimarisha wa mifumo.

Wajibu_Institute (@institutewajibu) 's Twitter Profile Photo

"Empowering Citizenry Agency for Strengthened Public Financial Governance and Sustainable Growth in Tanzania", Kwa kifupi tunauita “ Raia Makini Project” (mtu anayejielewa, mshiriki, mfuatiliaji, muwajibikaji, na mchukua hatua ). policy forum #RaiaMakini

"Empowering Citizenry Agency for Strengthened Public Financial Governance and Sustainable Growth in Tanzania", Kwa kifupi tunauita “ Raia Makini Project” (mtu anayejielewa, mshiriki, mfuatiliaji, muwajibikaji, na mchukua hatua ). <a href="/policy_F/">policy forum</a> #RaiaMakini
Wajibu_Institute (@institutewajibu) 's Twitter Profile Photo

Mradi Wa #RaiaMakini utaimarisha ushirikiano kati ya AZAKI, vyombo vya habari na wananchi kwa kushirikiana na viongozi/wafanya maamuzi kupitia majukwaa rasmi ya majadiliano katika ngazi ya kitaifa na kiwilaya. Hili litaleta fursa zaidi kwa wananchi kushiriki katika maamuzi na

Mradi Wa #RaiaMakini utaimarisha ushirikiano kati ya AZAKI, vyombo vya habari na wananchi kwa kushirikiana na viongozi/wafanya maamuzi kupitia majukwaa rasmi ya majadiliano katika ngazi ya kitaifa na kiwilaya. Hili litaleta fursa zaidi kwa wananchi kushiriki katika maamuzi na
policy forum (@policy_f) 's Twitter Profile Photo

WAJIBU na Policy Forum imefanya kikao kazi cha kwanza na wadau wa Mradi wa #RaiaMakini unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya. Kupitia kikao kazi wadau wameweza kupata taarifa za ripoti ya tathmini ya awali kama sehemu muhimu ya utekelezaji wa mradi. Wajibu_Institute EU in Tanzania

WAJIBU na Policy Forum imefanya kikao kazi cha kwanza na wadau wa Mradi wa #RaiaMakini unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya. Kupitia kikao kazi wadau wameweza kupata taarifa za ripoti ya tathmini ya awali kama sehemu muhimu ya utekelezaji wa mradi.  <a href="/InstituteWajibu/">Wajibu_Institute</a> <a href="/EUinTZ/">EU in Tanzania</a>
Wajibu_Institute (@institutewajibu) 's Twitter Profile Photo

WAJIBU na Policy Forum kupitia mradi wa Raia Makini uliofadhiliwa na Umoja wa Ulaya, utawawezesha wadau wa mradi kuandaa na kusambaza taarifa za usimamizi wa fedha za umma kwa lugha rahisi ili kuhamasisha uwazi na uwajibikaji wa Serikali.

WAJIBU na Policy Forum kupitia mradi wa Raia Makini uliofadhiliwa na  Umoja wa Ulaya, utawawezesha wadau wa mradi kuandaa na kusambaza taarifa za usimamizi wa fedha za umma kwa lugha rahisi ili kuhamasisha uwazi na uwajibikaji wa Serikali.
Wajibu_Institute (@institutewajibu) 's Twitter Profile Photo

Kupitia mradi wa #RaiaMakini, AZAKI 16 zinajengewa uwezo kuimarisha ujuzi wao katika usimamizi wa rasilimali za ndani, ufuatiliaji wa fedha za umma, utekelezaji wa mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na mapambano dhidi ya rushwa.

Kupitia mradi wa #RaiaMakini, AZAKI 16 zinajengewa uwezo kuimarisha ujuzi wao katika usimamizi wa rasilimali za ndani, ufuatiliaji wa fedha za umma, utekelezaji wa mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na mapambano dhidi ya rushwa.