
Irene Madeje Mlola
@irenemlola
ID: 3387379227
22-07-2015 14:57:01
883 Tweet
828 Followers
623 Following

Which sub sector of Agriculture has the highest percentage of women? Poultry/ livestock Lucas E. Malembo Juma Ngomuo #AGRF2023



π or π ? Registration is now open for limited slots! π forms.gle/xDksBmsdRTjeHeβ¦ #WomeninAgriculture #SignUpNow Blandina Kilama Khadija O. Kayanda Sokoine University of Agriculture (SUA) Wizara ya Kilimo Irene Madeje Mlola Dr Tausi Mbaga kida Lulu Ng'wanakilala lulu silas



Mkurugenzi wa mamlaka ya udhibiti wa Nafaka na Mazao mchanganyiko COPRA Tanzania bi. Irene Madeje Mlola akiwa kwenye kikao kazi na wadau wa tasnia ya mazao ya bustani wakiongozwa na TAHATanzania amesema COPRA itashirikiana na wadau katika kuchochea biashara ya kikanda ya mazao ya bustani.


Waziri wa kilimo Mh. Hussein M Bashe anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Tawi la benki ya maendeleo ya kilimo Tanzania Agricultural Development Bank kanda ya Magharibi. Hafla ya uzinduzi itafanyika kesho Februari 23, 2024 mjini Tabora. #TADB πΉπΏ


Nashukuru kwa nafasi ya kujibu maswali ya wahariri kutoka vyombo vya habari mbali mbali nchini. Nimeweza kutoa taarifa ya mambo kadhaa yakiwemo usalama wa chakula, yaliyojiri kwenye ziara tuliyoambatana na Mhe. Rais Samia Suluhu nchini Norway, soko la zao la mahindi n.kβ¦.




Mkutano huo umefanyika kwa ushirikiano wa mamlaka ya udhibiti wa nafaka na mazao mchanganyiko @copra_tz kupitia Mkurugenzi wa mamlaka Irene Madeje(Irene Madeje Mlola) ambae amesema Copra itaendelea na dhamira yake ya kusimamia udhibiti wa ubora wa zao hilo kushirikiana na wadau.



EAGC in partnership with TradeMark Africa, AGRA - Sustainably Growing Africaβs Food Systems. has today kicked-off a 2-day Eastern & Southern Africa Public-Private Policy Dialogue & Grain Trade B2B Forum in Tanzania providing for a productive dialogue & collaboration among key stakeholders in staple foods value chain


"We must deliberate on policy bottlenecks to staples export trade, explore viable solutions to advance our sector & establish harmonised approaches to facilitate food trade across borders.ββ remarked by Irene Madeje Mlola on behalf of Hon. Hussein Mohamed Bashe, Minister of Agriculture


Msikilize Mkurugenzi Mkuu wa #COPRA, Bi. Irene Madeje Mlola akizungumzia kuhusu Plaza Kidijitali kwenye #MtaaWaNafaka kuelekea Maonesho ya Kimataifa ya #NaneNane2024 kuanzia tarehe 1 - 8 Agosti, 2024 Jijini Dodoma. Watakuwepo TMX, Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Tume ya Maendeleo ya Ushirika - TCDC na Vodacom Tanzania.



