Ismail Jussa (@ismailjussa) 's Twitter Profile
Ismail Jussa

@ismailjussa

+259 | Proudly Zanzibari | Vice Chairman (Zanzibar) @ACTWazalendo

ID: 165413815

linkhttps://ismailjussa.wordpress.com calendar_today11-07-2010 14:02:42

17,17K Tweet

134,134K Followers

1,1K Following

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Leo najiunga rasmi na Chama cha ACT Wazalendo lengo hasa ni kuhakikisha tunapata utawala wa sheria, na uchaguzi huru na wa haki, wananchi wenzangu nimeona umuhimu wa kuchangia nguvu katika Operesheni ya ACT Wazalendo ya 'Linda Demokrasia' inayolenga kurejesha haki, uwazi na

"Leo najiunga rasmi na Chama cha ACT Wazalendo lengo hasa ni kuhakikisha tunapata utawala wa sheria, na uchaguzi huru na wa haki, wananchi wenzangu nimeona umuhimu wa kuchangia nguvu katika Operesheni ya ACT Wazalendo ya 'Linda Demokrasia' inayolenga kurejesha haki, uwazi na
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Ndugu zangu tatizo kubwa la nchi yetu ni kutokuwa na utawala wa kizalendo unaojali maslahi ya umma, watawala wetu hawajali haki katika mambo mengi ya msingi na wala hawazingatii sheria, athari za utawala wa namna hiyo ni kubwa na zinagusa kila kipengele cha maisha yetu, zinagusa

"Ndugu zangu tatizo kubwa la nchi yetu ni kutokuwa na utawala wa kizalendo unaojali maslahi ya umma, watawala wetu hawajali haki katika mambo mengi ya msingi na wala hawazingatii sheria, athari za utawala wa namna hiyo ni kubwa na zinagusa kila kipengele cha maisha yetu, zinagusa
Uhondo TV (@uhondotv) 's Twitter Profile Photo

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda amejiunga chama cha ACTWazalendo . Viongozi Wakuu ACT wamempokea Shekhe Ponda, leo June 05,2025 katika makao makuu ya Chama hicho Magomeni Jijini Dar es aalaam.

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda amejiunga chama cha <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> .

Viongozi Wakuu ACT wamempokea Shekhe Ponda, leo June 05,2025 katika makao makuu ya Chama hicho Magomeni Jijini Dar es aalaam.
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Mimi Elisante Ngoma, Katibu Mwenezi Taifa wa Chama cha NCCR Mageuzi ninatangaza rasmi kujiondoa NCCR Mageuzi na kujiunga na ACT Wazalendo kuanzia leo tarehe 9 Juni 2025, ninachukua fursa hii kukishukuru chama changu cha NCCR Mageuzi kwa heshima kubwa niliyopata ya kushika nafasi

"Mimi Elisante Ngoma, Katibu Mwenezi Taifa wa Chama cha NCCR Mageuzi ninatangaza rasmi kujiondoa NCCR Mageuzi na kujiunga na ACT Wazalendo kuanzia leo tarehe 9 Juni 2025, ninachukua fursa hii kukishukuru chama changu cha NCCR Mageuzi kwa heshima kubwa niliyopata ya kushika nafasi
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Ziko sababu lukuki zilizonifanya mimi (Elisante Ngoma, niliyekuwa Mwenezi Taifa wa NCCR Mageuzi kutangaza kujiunga na ACT Wazalendo), miongoni mwa sababu hizo ni pamoja na: (i) Chama changu NCCR Mageuzi kimepoteza dira ya kupambana dira ya kupambana na CCM, wakati umefika sasa

"Ziko sababu lukuki zilizonifanya mimi (Elisante Ngoma, niliyekuwa Mwenezi Taifa wa NCCR Mageuzi kutangaza kujiunga na ACT Wazalendo), miongoni mwa sababu hizo ni pamoja na:

(i) Chama changu NCCR Mageuzi kimepoteza dira ya kupambana dira ya kupambana na CCM, wakati umefika sasa
MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mwenezi Taifa wa Chama cha NCCR Mageuzi, Elisante Ngoma amekihama Chama hicho na kujiunga na ACT Wazalendo. Elisante amepokelewa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu leo tarehe 9 Juni 2025 katika Ukumbi wa Juma Duni Haji, Makao Makuu ya Chama hicho Magomeni, Dar es

Katibu Mwenezi Taifa wa Chama cha NCCR Mageuzi, Elisante Ngoma amekihama Chama hicho na kujiunga na ACT Wazalendo. Elisante amepokelewa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu leo tarehe 9 Juni 2025 katika Ukumbi wa Juma Duni Haji, Makao Makuu ya Chama hicho Magomeni, Dar es
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

KATIBU MWENEZI NCCR MAGEUZI AJIUNGA ACT WAZALENDO Katibu Mwenezi Taifa wa Chama cha NCCR Mageuzi, Ndugu Elisante Ngoma amekihama Chama hicho na kujiunga na ACTWazalendo. Elisante amepokelewa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ndugu Ado Shaibu leo tarehe 9 Juni 2025 katika Ukumbi

KATIBU MWENEZI NCCR MAGEUZI AJIUNGA ACT WAZALENDO

Katibu Mwenezi Taifa wa Chama cha NCCR Mageuzi, Ndugu Elisante Ngoma amekihama Chama hicho na kujiunga na <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>. Elisante amepokelewa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a> leo tarehe 9 Juni 2025 katika Ukumbi
MwanzoTvPlus (@mwanzotvplus) 's Twitter Profile Photo

#TANZANIA:KATIBU MWENEZI TAIFA WA NCCR MAGEUZI ATIMUKIA ACT WAZALENDO Katibu Mwenezi Taifa wa Chama cha NCCR Mageuzi, Ndugu Elisante Ngoma amekihama Chama hicho na kujiunga na chama cha ACTWazalendo hii leo, ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ndugu Ado Shaibu

#TANZANIA:KATIBU MWENEZI TAIFA WA NCCR MAGEUZI ATIMUKIA ACT WAZALENDO
Katibu Mwenezi Taifa wa Chama cha NCCR Mageuzi, Ndugu Elisante Ngoma amekihama Chama hicho na kujiunga na chama cha <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>  hii leo, ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ndugu  <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

"Ninajiunga na ACTWazalendo ili kutoa mchango wangu katika kuiondosha CCM madarakani. Utawala wa CCM hausikii tena sauti za watu, haujali tena mateso ya wanyonge, utawala uliojaa kiburi na maamuzi yasiyo na mashiko." Mwanachama ACT Elisante Ngoma

"Ninajiunga na <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> ili kutoa mchango wangu katika kuiondosha CCM madarakani. Utawala wa CCM hausikii tena sauti za watu, haujali tena mateso ya wanyonge, utawala uliojaa kiburi na maamuzi yasiyo na mashiko."

Mwanachama ACT
Elisante Ngoma
MwanaHabari (@mwanahabarinews) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mwenezi Taifa wa Chama cha NCCR Mageuzi, Ndugu Elisante Ngoma amekihama Chama hicho na kujiunga na ACTWazalendo. Elisante amepokelewa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu leo tarehe 9 Juni 2025 Makao Makuu ya Chama hicho Magomeni, Dar es salaam.

Katibu Mwenezi Taifa wa Chama cha NCCR Mageuzi, Ndugu Elisante Ngoma amekihama Chama hicho na kujiunga na <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>. Elisante amepokelewa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>  leo tarehe 9 Juni 2025 Makao Makuu ya Chama hicho Magomeni, Dar es salaam.
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Joto la Uchaguzi Mkuu linazidi kupanda Nchini, huku Hamahama ya Wanasiasa ikiendelea ACT-Wazalendo imeendelea kuvuna wanachama wapya kila leo. Kwenye #KasriLa Salim Kikeke leo Tutakuwa na Katibu Mkuu wa ACTWazalendo Ndugu Ado Shaibu akitueleza nini Siri ya Mafanikio yao.

Joto la Uchaguzi Mkuu linazidi kupanda Nchini, huku Hamahama ya Wanasiasa ikiendelea ACT-Wazalendo imeendelea kuvuna wanachama wapya kila leo.

Kwenye #KasriLa <a href="/Salym/">Salim Kikeke</a> leo Tutakuwa na Katibu Mkuu wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a> akitueleza nini Siri ya Mafanikio yao.
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo ACTWazalendo Ado Shaibu Ado Shaibu amesema kuwa hawapingi harakati za CHADEMA kwakuwa Ndio njia waliyochagua. #hapaninyumbani #kasrilakikeke #crowndigital