Janeth Rithe (@janerithe) 's Twitter Profile
Janeth Rithe

@janerithe

National Chairperson of the Women's Wing @ACTwazalendo

ID: 1025069839340195840

calendar_today02-08-2018 17:24:29

5,5K Tweet

4,4K Followers

240 Following

Janeth Rithe (@janerithe) 's Twitter Profile Photo

Watu hawakutaki Samia Suluhu kwa nini mwenge umeweka nembo yako? kwanza huu moto mngeweka makumbusho ya Taifa anayetaka aje huko aangalie huko unakozunguka hauna Faida yoyote zaidi ya wahuni kula hela za kodi zetu.

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACTWazalendo, Ndugu Juma Said Sanani amechangia Tsh 250,000/= kwa ajili ya Mkutano Mkuu Maalum. Ahsante sana Ndugu Sanani. Tunaendelea kupokea michango. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Mjumbe wa Kamati Kuu ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu Juma Said Sanani amechangia Tsh 250,000/= kwa ajili ya Mkutano Mkuu Maalum. Ahsante sana Ndugu Sanani.

Tunaendelea kupokea michango. 

Oktoba #LindaKura 
#MuhuniHasusiwi
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi wa Jambo TV, Ndugu John Marwa amechangia Tsh 500,000/= kwa ajili ya Mkutano Mkuu Maalum. Ahsante sana Ndugu Marwa. Tunaendelea kupokea michango. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Mkurugenzi wa <a href="/Jambotv_/">Jambo TV</a>, Ndugu John Marwa amechangia Tsh 500,000/= kwa ajili ya Mkutano Mkuu Maalum. Ahsante sana Ndugu Marwa.

Tunaendelea kupokea michango. 

Oktoba #LindaKura 
#MuhuniHasusiwi
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Picha KC Dorothy Semu akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACTWazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Picha

KC <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Hatimaye aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa mkoani Simiyu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Luhaga Mpina ameonekana kwenye vikao na viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ACTWazalendo huku duru za kisiasa zikieleza kuwa chama hicho kimeridhia mwanasiasa huyo kujiunga nacho ili

Hatimaye aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa mkoani Simiyu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Luhaga Mpina ameonekana kwenye vikao na viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> huku duru za kisiasa zikieleza kuwa chama hicho kimeridhia mwanasiasa huyo kujiunga nacho ili
Janeth Rithe (@janerithe) 's Twitter Profile Photo

Picha KC Dorothy Semu akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACTWazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Picha

KC <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
Husna Sungura (@husnasungura) 's Twitter Profile Photo

Picha KC Dorothy Semu akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACTWazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Picha

KC <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi