
Мосес джаокоо
@jaokoomoses
Policy Analysis || Geostrategic affairs| Environmental services I Divine Providence.
ID: 753913023010578432
15-07-2016 11:24:06
52,52K Tweet
27,27K Followers
2,2K Following




Royal Ambassador Ndo naona jomba sai😂😂guy amekula pesa sana😂


"Tanzania belongs to its people and not to those who terrorize them." Maria Sarungi Tsehai calls for accountability against the Hassan regime, exposing their chilling pattern of abductions amongst those speaking out.



Royal Ambassador When replying please quote reference number and date 😂😂

Mbunge wa CCM kutoka Zanzibar anasema kwamba Martha Karua SC alivyokuja Tanzania vyombo vya usalama vilitakiwa kummaliza. Yani alitaka Martha Karua apotezwe kama walivowapoteza akina Deusdedith Soka. Ni aibu kubwa kwa Tanzania kuwa na Mbunge mwenye akili mbovu kama huyu.🚮🚮🚮

Iko bonge la tatizo katika jumuiya State Department for EAC 🇰🇪 East African Community Msemaji Mkuu wa Serikali Samia Suluhu


Royal Ambassador State Department for EAC 🇰🇪 East African Community Msemaji Mkuu wa Serikali Samia Suluhu I realized Tanzania is still in their "KANU" era where questioning a leader was treasonable