Jennifer Kayombo🌙🕋 (@jenniferkayombo) 's Twitter Profile
Jennifer Kayombo🌙🕋

@jenniferkayombo

If you argue against reality, you will suffer| Dada Mkuu-Story Telling Program |Season 1|Episode 3👇🏾|

ID: 4654400595

linkhttps://youtu.be/SriIQMSTxms calendar_today30-12-2015 14:04:10

11,11K Tweet

12,12K Followers

1,1K Following

Holy (@yose_hoza) 's Twitter Profile Photo

Jennifer Kayombo🌙🕋 #LisheBora hii ajenda inakabiliwa na changamoto ya umasikini unaozizunguka jamii zetu ila linawezekana kutatuliwa kwa mkakati wa pamoja wa kitaifa #ElimikaWikiendi

Holy (@yose_hoza) 's Twitter Profile Photo

Uwezeshaji wanawake kwa kuwajengea uwezo wa kuzalisha bidhaa ni matokeo chanya endelevu kwenye kuwakwamua kiuchumi #ElimikaWikiendi

Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Vijana mwaka huu mkatie nia, mkipata nafasi mgombee nafasi za ubunge na udiwani kwa wingi hadi watu washangae. Mkagombee tu. Wala msiwe na majuto na hofu ya kushindwa. Tunapaswa kuwa sehemu ya kuamua hatima yetu, watoto wetu na vizazi vijavyo.

Jennifer Kayombo🌙🕋 (@jenniferkayombo) 's Twitter Profile Photo

On this day, I want to remind Women to embrace our uniqueness, celebrate our achievements, and remember that we are never alone in this journey. We are stronger together, and by supporting one another, we can create a brighter future for all women.🎉🫶🏾🙏🏾💜 #IWD2025

On this day, I want to remind Women to embrace our uniqueness, celebrate our achievements, and remember that we are never alone in this journey. We are stronger together, and by supporting one another, we can create a brighter future for all women.🎉🫶🏾🙏🏾💜

#IWD2025
Jennifer Kayombo🌙🕋 (@jenniferkayombo) 's Twitter Profile Photo

Wauzaji wa nguo za kike na kiume. 📍Dodoma ( SWASWA complex supermarket) ☎️ Piga/Whatsap - +255 768 180 480 🚚 Mkoani tuna tuma Instagram 👇🏾👇🏾 instagram.com/reel/DHtPPx3t7…

Wauzaji wa nguo za kike na kiume.
📍Dodoma  ( SWASWA complex supermarket)
☎️ Piga/Whatsap - +255 768 180 480
🚚 Mkoani tuna tuma

Instagram 👇🏾👇🏾

instagram.com/reel/DHtPPx3t7…
Dada Mkuu Initiative (@dadamkuu255) 's Twitter Profile Photo

“Tumerudi — tukiwa na kusudi, ari, na mwamko mpya. Baada ya kipindi kirefu cha ukimya, Dada Mkuu Initiative imesajiliwa rasmi kama NGO, tayari kuendelea na dhamira yetu ya kweli na Maono mapana zaidi katika kushiriki kuleta mabadiliko chanya katika jamii”💪🌍

“Tumerudi — tukiwa na kusudi, ari, na mwamko mpya. Baada ya kipindi kirefu cha ukimya, Dada Mkuu Initiative imesajiliwa rasmi kama NGO, tayari kuendelea na dhamira yetu ya kweli na Maono mapana zaidi katika kushiriki kuleta mabadiliko chanya katika jamii”💪🌍
Jennifer Kayombo🌙🕋 (@jenniferkayombo) 's Twitter Profile Photo

Mtoto wa kike ana ndoto, lakini ndoto hizo hukatishwa kila mwezi kwa sababu ya kukosa pedi. Dada Mkuu Initiative 👉 Changia leo — kuwa sehemu ya mabadiliko! 📍Lipa Namba: 15890533 (Glaring Foundation) 📱Voda: 0749338333 (Dada Mkuu Initiative) #ChangiaPedi #HedhiSioAibu

Mtoto wa kike ana ndoto, lakini ndoto hizo hukatishwa kila mwezi kwa sababu ya kukosa pedi. <a href="/DadaMkuu255/">Dada Mkuu Initiative</a> 

👉 Changia leo — kuwa sehemu ya mabadiliko!  

📍Lipa Namba: 15890533 (Glaring Foundation)  
📱Voda: 0749338333 (Dada Mkuu Initiative)

#ChangiaPedi  #HedhiSioAibu
Dada Mkuu Initiative (@dadamkuu255) 's Twitter Profile Photo

Kila ifikapo tarehe 28/5 huwa tunaadhimisha siku ya hedhi dunia, kwa ushirikiano na ofisi ya Mkuu wa Wilaya tumetembelea shuleMSUNJILE Kongwa , Kata ya Sejeli kwa ajili ya kutoa elimu ya usafi wa hedhi na kugawa pedi 600 kwa watoto wa kike wanaotoka kaya maskini, #HedhiSioAibu

Kila ifikapo tarehe 28/5 huwa tunaadhimisha siku ya hedhi dunia, kwa ushirikiano na ofisi ya Mkuu wa Wilaya tumetembelea  shuleMSUNJILE Kongwa , Kata ya Sejeli kwa ajili ya kutoa elimu ya usafi wa hedhi na kugawa pedi 600 kwa watoto wa kike wanaotoka kaya maskini,
#HedhiSioAibu
Esther Of This Generation (@carynkhan7) 's Twitter Profile Photo

Happy Menstruation Hygiene Day. Tunapoadhimisha siku hii ya hedhi salama tuendelee kukumbushana kuwa hedhi sio hali ya aibu wala usiri na #HedhiSalama ni haki ya kila msichana na Mwanamke. Together for a #PeriodFriendlyWorld #MHDay2025

Happy Menstruation Hygiene Day.

Tunapoadhimisha siku hii ya hedhi salama tuendelee kukumbushana kuwa hedhi sio hali ya aibu wala usiri na #HedhiSalama ni haki ya kila msichana na Mwanamke.
Together for a #PeriodFriendlyWorld 
#MHDay2025
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Wasichana wanaokosa taulo za kike wakati wa hedhi hupitia aibu na hofu hali inayowaathiri kisaikolojia. Ni muhimu kuondoa tozo na kuweka bajeti endelevu ya pedi ili kuwawezesha mabinti kusoma bila vikwazo. Jennifer Kayombo🌙🕋 alipozungumza kwenye #ElimikaWikiendi Spaces.

Wasichana wanaokosa taulo za kike wakati wa hedhi hupitia aibu na hofu hali inayowaathiri kisaikolojia.

Ni muhimu kuondoa tozo na kuweka bajeti endelevu ya pedi ili kuwawezesha mabinti kusoma bila vikwazo.

<a href="/JenniferKayombo/">Jennifer Kayombo🌙🕋</a> alipozungumza kwenye #ElimikaWikiendi Spaces.
Jennifer Kayombo🌙🕋 (@jenniferkayombo) 's Twitter Profile Photo

Honored to moderate a powerful session on GBV & Mental Health*during the Tanzania Youth Development Forum. Eye-opening insights, brave voices, and a call to action for safer, more supportive spaces for youth. 🧠💜🇹🇿 #TYDF2025 #EndGBV #MentalHealthMatters #YouthVoices

Honored to moderate a powerful session on GBV &amp; Mental Health*during the Tanzania Youth Development Forum.
Eye-opening insights, brave voices, and a call to action for safer, more supportive spaces for youth. 🧠💜🇹🇿  
#TYDF2025 #EndGBV #MentalHealthMatters #YouthVoices