JOSSY🏳 (@jmbish2) 's Twitter Profile
JOSSY🏳

@jmbish2

FBO

ID: 1484224826948599811

calendar_today20-01-2022 18:02:47

11,11K Tweet

9,9K Followers

9,9K Following

JOSSY🏳 (@jmbish2) 's Twitter Profile Photo

Ili Tuheshimiane Fanya Hivi, nenda kwa following zako hapo, ukikuta mtu hajakufollow back UNFOLLOW nae😂 Kama nimimi usiniufollow nisanue nikufollow🙏, wanajikuta mbroo

JOSSY🏳 (@jmbish2) 's Twitter Profile Photo

Nimejaribu style zote leo, lkn nmeishia kuikubar kifo cha mende, hii ni hatarii ! Nilikuwa nasikia tu Ukiwa na kiba100 style zingine Hazikuhusu, Nimejionea mwenyewe leo.

JOSSY🏳 (@jmbish2) 's Twitter Profile Photo

Nimekuja dar, nina wiki sahv nimekula dem, Sahiv kanitumia sms et bby hongera sahv wewe ni baba kijacho😂 Et wiki moja tu inatosha kumpa mimba na ikaonekana kwa UPT au naibiwa 🙌🙌 Dar ni Nyoko Zenyu Naondoka sirud tena kmmk.

JOSSY🏳 (@jmbish2) 's Twitter Profile Photo

Hawa ndio waliiba kura zote na kuengua wenyeviti, nakuanza kupita bila kupingwa,, Tulisha sema ipo Siku Tutaongea lugha moja.

Hawa ndio waliiba kura zote na kuengua wenyeviti, nakuanza kupita bila kupingwa,, 

Tulisha sema ipo Siku Tutaongea lugha moja.
JOSSY🏳 (@jmbish2) 's Twitter Profile Photo

Mwenye Picha ya msigwa ile akiwa analia aniazime basi, nataka nitengenezee bangi Kumbe kaliwa Zakichwa na Masisiem walimdanganya kumpa jimbo la iringa mjiniu😂😂

Mwenye Picha ya msigwa ile akiwa analia aniazime basi, nataka nitengenezee bangi

Kumbe kaliwa Zakichwa na Masisiem walimdanganya kumpa jimbo la iringa mjiniu😂😂
JOSSY🏳 (@jmbish2) 's Twitter Profile Photo

Acha nikubali tu, nikirudi mkoani kwetu, Nawaahidi Sirudi tena Dar, kmmk zenu Wiki moja tu nimesha oneshwa ushenz wenu Itoshe kusema kila mtu wa Dar ni Tapeli Hadi wachungaji🙌🙌

JOSSY🏳 (@jmbish2) 's Twitter Profile Photo

Za chini Chini, Sisiem nao wamesha anza harakati za kufanya reforms, Naanza kuamin CHADEMA nyie ni Lidude likubwa✌✌ #NoElectoralReformNoElection iko Patam

Za chini Chini, Sisiem nao wamesha anza harakati za kufanya reforms,
Naanza kuamin CHADEMA nyie ni Lidude likubwa✌✌
#NoElectoralReformNoElection  iko Patam
#NIPENI_MAUA_YANGU💐 (@roma_mkatoliki) 's Twitter Profile Photo

Haya yanayoendelea sasahivi kwenye Gavoo na chama tawala yanayo ashiria kama kuna kampasuko…… Najua huku kwenye upinzani atatokea tu mtu na kuwashawishi wapinzani kuwa…. 🗣️Unajua sahivi hawa watawala washapoteana hawa, si unaona wanavyo paraganyana, sahivi wepesi hawa,

JOSSY🏳 (@jmbish2) 's Twitter Profile Photo

Chukulia X zako walioolewa jinsi walivo wepesi Ukitaka Kuwala😂 Vip wife wako? Kama wewe ulimtongoza ukampata Je wengine watamkosa WANAWAKE 🙌🙌