john zabron πŸ€„ (@johnzabron10) 's Twitter Profile
john zabron πŸ€„

@johnzabron10

HOTTO
OJUELEGBAH🈴️
MANCHESTER UNITED ❀
28.August.2019πŸ€„
25.May.2020🌍 πŸ’°

ID: 1605640568599678984

calendar_today21-12-2022 19:05:51

13,13K Tweet

3,3K Followers

3,3K Following

john zabron πŸ€„ (@johnzabron10) 's Twitter Profile Photo

Changamoto za maisha zinatufanya sisi kuwa poteza tunao wapenda pengine pesa,kazi,kutotimiza mahitaji yao kwa wakati au hata kuwa buzzy katika utaftaji lakini pia MUNGU hakutuacha nyuma akatupatia wale tunao stahili kuwanao sio wale tunao wataka

Malkia Nyuki πŸ‘‘ (@nyuki_malkia) 's Twitter Profile Photo

WANAUME MJIFUNZE HAYA 1. Hakuna mwanamke atakayekupenda sana kama mama yako mzazi So usipende kutafuta huruma kwa wanawake wataishia kukudharau na kukuona upo weak sana Usiwekeze kila kitu kwa mwanamke wako akikupiga tukio unaweza kufa kama sio kuwa chizi 2. Hakuna

ProsperNow. (@prossoff) 's Twitter Profile Photo

Mimi 1. Silazimishi mahusiano 2. Sitongozi wala kufuata mwanamke kama haja show interest. 3. When I see some green light sikurupuki kuonyesha uhitaji. 4. I'm not desparate na chuma zinazo set standards high lakini sili kila kitu. 5. Sinunui papuchi.

ProsperNow. (@prossoff) 's Twitter Profile Photo

CHEATING 02. Mwanamke wako anavumiliwa na kusamehewa kwa. 1. Kupika vibaya 2. Kuzidisha chumvi. 3. Kulimbikiza uchafu. Lakini sio. 1. Ku cheat na 2. Kukudharau. Kusamehe makosa mawili ya mwisho ni upumbavu.