Imebidi nikatafute full video YouTube.. Brother K kumbe hadi Nauli ya Kuja Msibani alitumiwa na bado kaja Kuwapiga Ndugu Rambirambi 😂😂
Anakwambia kwa Mahesabu haya bado mimi nawadai ila nawasamehee🙌
Kuna Mama anauza nguo ameleta hapa kwetu sasa ananionesha afu anamuuliza Mama mwenye nyumba wangu "Huyu ni mpangaji wako" mwenye nyumba akajibu "Hapana ni mwanangu huyo" eeeeish nimejisikia vizuri sana hii nyumba mimi kuhama ni mpaka niingie kwangu.🫶☺️
Kuna dada hivi Hajawai niambia kama ana watoto wawili mi namjua mmoja kumbe alishaga olewa zamani ana binti mkubwa Anaishi kwao alafu akaachika akaolewa na Jamaangu mmoja wakapata mtoto Wa Kiume ana (6years) wameachana last month then last week kaenda kutolewa posa na
"Mimi kama kiongozi wa Show, Dj piga ngoma yake aondoke"
Mtu kama huyu ndo angekuwa yupo XXL Clouds Fm au The Switch pale Wasafi au hata The Throne pale Crown Fm ingekuwaje?
Si angepiga wasanii vibao huyu