Anold Kayanda
@kayandaanold
Multimedia producer at the United Nations HQ-New York, USA. Former BBC Journalist, Ex Clouds FM Top 20 main Anchor.
ID: 1285268410893565952
https://news.un.org/sw/ 20-07-2020 17:41:04
585 Tweet
556 Followers
66 Following
๐๐๐๐๐๐๐๐๐ na Anold Kayanda ๐#Sudan Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Antรณnio Guterres asema wamejizatiti kusaka suluhu ya vita ๐Mafuriko, vita, uhaba wa chakula vyafurusha raia #DRC Le HCR en RDC ๐Mkutano wa UN ECOSOC President kuhusu vijana wang'oa nanga #SDGs #ECOSOCYouth
๐๐๐๐๐๐๐๐๐ na Anold Kayanda ๐Kauli ya Pierre Peron wa UN Humanitarian kuhusu mahitaji ya raia #DRC waliorejea nyumbani ๐Ripoti ya #UNMISS UNMISS yaonesha ๐ la 51% la walioathiriwa vibaya na mzozo #SouthSudan ๐Huko #Gaza UNRWA na wenyeji wakarabati mtambo wa ๐ฐ๐ฆ
.United Nations yaomboleza ๐๐ถ๐ณ๐ผ ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ฃ๐ฎ๐ฝ๐ฎ ๐๐ฟ๐ฎ๐ป๐ฐ๐ถ๐ Apostolica Sedes Vacans Papa Francis na Umoja wa Mataifa walikuwa chanda na pete Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, amefariki dunia leo Jumatatu Aprili 21 katika makazi yake huko Vatican, Roma nchini Italia, akiwa na umri wa miaka 88.
Karibu sana kiongozi. Una mchango mkubwa katika kutekeleza Malengo ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo endelevu.
๐ ๐จ๐๐ง๐๐ฆ๐๐ฅ๐ na Anold Kayanda ๐ฏMratibu wa OCHA Ukraine Matthias Schmale alaani shambulizi la #Russia nchini #Ukraine #NOTARGET ๐ฏ Kukatwa ufadhili kwahatarisha utoaji chanjo๐#Immunizationweek ๐ฏ Leo ni #GirlsInICTDay Kauli ya ๐ ๐ฎ๐ฟ๐๐ฎ๐ป๐ป ๐ ๐๐ฎ๐ป๐ด๐ถ kutoka #Kenya
Leo tunaangazia siku ya Kimataifa ya Usalama na Afya Kazini, na juhudi za Umoja wa Mataifa za kusaidia wakulima Sudan Kusini kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.Makala tunasalia na usalama kazini na mashinani inatoka nchini #Kenya Msomaji Anold Kayanda news.un.org/sw/audio/2025/โฆ
Kwa nini leo Aprili 29, 2025 Umoja wa Mataifa umeshusha bendera zote na kuipandisha bendera yake nusu mlingoti? #PopeFrancis
Ni kwa vipi TANLAP inasaidia makundi maalum kwenye kupata haki za kisheria โ๏ธ#Tanzania ? Anold Kayanda wa Umoja wa Mataifa amezungumza na Mkurugenzi Mtendaji ๐๐ต๐ฟ๐ถ๐๐๐ถ๐ป๐ฎ ๐๐ฎ๐บ๐ถ๐น๐ถ ๐ฅ๐๐ต๐ถ๐ป๐ฑ๐ฎ United Nations CSW #CSW69
๐ ๐จ๐๐ง๐๐ฆ๐๐ฅ๐ na Anold Kayanda ๐Makubaliano yapitishwa #WHA78 kukabili #pandemic World Health Organization (WHO) ๐Huko #Gaza misafara ya misaada yaanza kuingia UN Humanitarian ๐Ukata kukata misaada ya chakula kwa wahitaji #DRC WFP DRC
Jarida na Anold Kayanda ๐๏ธKauli kuhusu mashambulizi ya #Russia nchini #Ukraine ๐๏ธMradi wa Operesheni Rejea Shuleni UNICEF Kenya ๐๏ธWalinda amani wa #UN huko UNMISS kuelekea #Pkday ๐๏ธWakimbizi wa #Rwanda warejea nyumbani kutoka #DRC Le HCR en RDC news.un.org/sw/audio/2025/โฆ
Ni kwa vipi UNICEF en RDC inasaidia watoto ku rejea shuleni mashariki mwa #DRC licha ya ghasia zinazoendelea? Ungana na Anold Kayanda katika simulizi hii ya mwanafunzi wa darasa la 6 jimboni Kivu Kaskazini.
Je wajua kuwa #Mishemishe ni neno limeshasanifiwa? Ungana na mchambuzi wetu kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa - BAKITA
Hii leo jaridani Anold Kayanda anamulika ๐Huko #Nice #UNOC3 ๐Mradi wa FAO Afrique centrale huko Sao Tome na Principe ๐Jinsi UN Environment Programme in Tanzania inasongesha #ClimateAction ๐Vijana na hifadhi ya mazingira #Kenya news.un.org/sw/audio/2025/โฆ
Muhtasari na Anold Kayanda ๐Wanaofurushwa makwao wazidi kuongezeka UNHCR, the UN Refugee Agency ๐Mtoto mwenye umri wa miaka 12 #SierraLeone aponda kokota kukimu familia UNICEF Sierra Leone #EndChildLabour ๐Njaa yatikisa maeneo yenye vita #SouthSudan UNICEF South Sudan WFP South Sudan FAO in South Sudan
MUHTASARI na Anold Kayanda ๐Sakata la #IranVsIsrael Kauli ya Rafael Mariano Grossi Mkuu wa IAEA - International Atomic Energy Agency โ๏ธ ๐Idadi ya waliouawa #Gaza wakisaka misaada UN Human Rights ๐Wakimbizi watakaosaka hifadhi nchi nyingine mwakani kuongezeka UNHCR, the UN Refugee Agency
๐New York Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antรณnio Guterres ahutubia mkutano wa mwaka wa Amnesty International ๐Amepongeza shirika hilo kwa kusimama kidete kutetea haki ๐Azungumzia matamanio ya watoto #Gaza ya kwenda "mbinguni" kwani huko wanasema kuna chakula. Anold Kayanda ๐๐๐๐ ๐๐ฆ๐ค๐๐
MUHTASARI na Anold Kayanda ๐Dalili za baa la njaa #Gaza #IPC Vigezo 2 kati ya 3 viko dhahiri ๐Mkutano wa maspika wa mabunge IPUparliament ๐Huko #Brazil wanajadili tabianchi na afya #Climate #health PAHO/WHO
MUHTASARI na Anold Kayanda ๐ Njaa #Sudan kutoka UN Women Sudan na UNICEF Sudan - ุงูููููุณู ูู ุงูุณูุฏุงู ๐Kutoka #LLDC3 kauli ya Antรณnio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ๐Hatma ya #plastictreaty kutoka #Geneva kwa Inger Andersen Mkuu wa UN Environment Programme
Ikiwa leo ni tamati ya #WorldBreastfeedingWeek Anold Kayanda anamulika akina mama wenye magonjwa sugu kama #diabetes wanafanya nini kuhakikisha wananyonyesha watoto wao. WHO Tanzania Shukrani sana kwa Evarist Mapesa wa Muhimbili National Hospital