Mthesalonike wa KIANDA📌 (@kiandawa14) 's Twitter Profile
Mthesalonike wa KIANDA📌

@kiandawa14

A writer, Analyst of different literary Works and Inspirational speaker📚Mkulima wa Sumbawanga and professional Jobless📌

ManCity//YANGA⚽ fan✊

ID: 1651982491815641089

calendar_today28-04-2023 16:11:51

47,47K Tweet

3,3K Followers

3,3K Following

Msomi Khan 🇹🇿 (@msomikhan18) 's Twitter Profile Photo

Ukitaka kupata Ajira haraka Jenga CV yako iwe Ndefu Ukurasa Mmoja hautoshi Uwe na Uwezo wa Kujieleza Punctuality and Confidence Only.

Miss Chelsea1221 (@misschelsea1221) 's Twitter Profile Photo

Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍 👉Size S_______2XL 👉Bei 27,000/= Wa.me/+255623346245 Au 0714336827 👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA

Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍

👉Size S_______2XL
👉Bei   27,000/=

Wa.me/+255623346245
Au 0714336827

👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
𝗪𝗮𝗺𝗰𝗵𝗼𝗻𝗴𝗼 (@goldenmvrs) 's Twitter Profile Photo

JAMBAZI: Wewe Mama Unaitwa Nani? MAMA: Mimi Naitwa Asha JAMBAZI: Unabahati Jina Lako Kama La Marehemu Mama Yangu Hivyo Sikuuwi Na Wewe Baba Unaitwa Nani? BABA: Mimi Athuman Lakini Kazini Wamezoea Kuniita Asha Kama Marehemu Mama Yako..!😂

Ambele Young (@ambele_young) 's Twitter Profile Photo

Siku hizi unakuta kwenye daladala kuna mmama anakuangalia sana, ukimchunguza vizuri unakuta ni class mate wako wa O Level 🤣🤣🤣🤣

Wakupaa°° (@savasec) 's Twitter Profile Photo

Boss wako amekupa million 10 uende ukamuwekee kwenye Account yake Bank ili ziende moja kwa moja kwenye mfuko wa kusaidia watoto yatima!!.. Ukiwa Njiani unapigiwa simu kuwa Boss wako amefariki.. Je utachukua uamzi gani mwana wa Mungu..🤗🤗

Toto la kihaya (@toto_la_kihaya) 's Twitter Profile Photo

Nimewamiss sana wapenzi wangu After lunch tunyanyuane 😋 Wekeni handle tufuatane 🥂 🫂👇 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. Muda wa kujichotea followers 🫰

Qualty Excellenty (@qualtye93170) 's Twitter Profile Photo

Nahitaji girlfriend flani ivi mzuri Mwenye mdomo wa maneno ya kufarij Mpole kiasi asiwe zube Awe anajua thamani ya ela !! anamjua na hofu ya MUNGU/ALLAH !! anavaa mavazi ya heshima !!mafia na mkatili mbele ya wapumbavu !! na akili timamu na zakupambana kufikia malengo #HPYGRFND

Nahitaji girlfriend flani ivi
mzuri
Mwenye mdomo wa maneno ya kufarij
Mpole kiasi asiwe zube
Awe anajua thamani ya ela
!! anamjua na hofu ya MUNGU/ALLAH
!! anavaa mavazi ya heshima 
!!mafia na mkatili mbele ya wapumbavu 
!! na akili timamu na zakupambana
kufikia malengo
#HPYGRFND