Heri mniite kienyo lakini kueka artificial nails is so backward...like we all know your nails can't be that long so what is the point😂😂...plus now you are limited huwezi fanya some shit aiii slavery that I can't board na najua wajuaji watasema ni pesa za nails sinanga
George Ruto is a distractor,hawa ni wale machopi wa highschool walikuwa wanasoma mkiwa mmelala afu mkianza kusoma anatoka gazeti ama shujaaz
Hizo stori za mat ni za kuzubaisha some idle yuts mtaa wakati babake and his cabinet are looting millions daily
Mtoto mjinga kama babake🚮