
Kumbusho Dawson Kagine
@kumbushodawson
Democracy must be built through open societies which shares information. When there is information there is enlightenment.
ID: 720477770279710720
14-04-2016 05:04:21
54,54K Tweet
194,194K Followers
1,1K Following

Kaka acha kufanya hizi spinning zako Tafadhali acha hii Mara Moja Olaigwanani-Olengurumwa, Adv Mungu hadhiakiwi watu waliopotea ni wengi na wanaopotea wengi ni wakosoaji wa Serekali. Na pia unafaahamu Serekali inajukumu la kulinda Raia. WAKATI UNAKUJA TUTAWAHESABU KWA KAULI ZENU HIZI.








Mzozo waibuka Askari Magereza wakimzuia Mhe. Tundu Antiphas Lissu kuzungumza na Mawakili wake. "Hili ni la kufunguliwa kesi, hatuwezi tukachezeana namna hii." Mhe. Tundu Antiphas Lissu




Kwamba Brenda Rupia Jonas amezuiwa kusafiri mpaka wa Namanga kwa kuwa anatuhumiwa kutoa taarifa za uongo na uchochezi? Tuhuma hizo angeitwa, angelikuja tu. Kwanini aviziwe? Pasipoti kwanini kapokonywa? Afisa wa CDM, #LeonardMagere mmemzuia Airport na kumnyang’anya pasipoti. Uchochezi?




