@lukosi77
#YNWA & #Nguvu Moja.
ID: 1417506064573124608
calendar_today20-07-2021 15:26:19
2,2K Tweet
2,2K Followers
2,2K Following
5 hours ago
🔥The 9th Round of Easy Loan, Earn $40 Reward is in progress❗️ ⏰ Promotion Period: January 15th - Feburary 15th, 2025 👉 Register now and check more details at gate.io/campaigns/358
9 months ago
Hii sijui kama ina comeback Spana & V.A.R Movement
8 months ago
Eehe. Mwenyezi Mungu utuongoze na kutuepusha na majanga kwamaana pekee yetu hatuwezi,..🙏
Kabla ya kulala Tanesco walikata umeme nilianza kusikitika ila baada ya kukumbuka kuna ndugu zetu wanalala chini ya kifusi,Giza Nene,Joto Kali,Hewa Hafifu. Hata nguvu ya kulalamika ikaisha. Tuzidi kuwaombea ndugu zetu watoke salama...🙏
Ee Mwenyezi Mungu weka mkono wako,pekee yetu hatuwezi...🙏
Nilipokuwa naangalia mpira ni kwa shabiki wa Yanga ukishangilia anakufukuza. Saiv ndio nashangilia barabarani...🤣🤣
Usiseme kitu wewe Retweet tu ifike mbali
WANALUNYASI njooni tuwacheke AMPHIBIA huku 😂😂😂😂😂
Sahihi kabisa mkuu Retweet iwafikie utopoloooo😂😂
Niite chagu Dua inaweza ikageuka kwa kuandika tofauti utashangaa Yanga anakula chuma 2...🤣🤣
Kituuuuuuu...
Waaaah. Kipa karuka kama Churaa...🤣🤣🤣
Dakika 90,no shot on target...Hii Yanga au Utopolo...🤣🤣🤣
Manchester united na Yanga wameoa Single mother..🤣🤣
7 months ago
Aliyekuwa farasi wa vita sasa hivi anajibu kistaarabu sana attacks za wana....🤣🙌.
5 months ago
Swali ni moja tu: kwanini timu ilizuiwa. Basi.
Uwanjani hatuendi, points 3 tunabaki nazo na tarehe ikipangwa mtacheza kama kawa sisi ndo Simba Taifa kubwa
UBAYA UBWELA KAZINI
3 months ago