Richard Mabala (@mabalamakengeza) 's Twitter Profile
Richard Mabala

@mabalamakengeza

ID: 4916344677

calendar_today15-02-2016 23:32:31

63,63K Tweet

302,302K Followers

1,1K Following

MalisaGJ (@malisagj_) 's Twitter Profile Photo

Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche mishahara ya wabunge JPM aliacha 12.8M lakini ikaongezwa hadi 19M. Yani mbunge wako analipwa milioni 20 kasoro moja. Pia John Heche alieleza kwamba posho zimeongezwa kutoka 360,000/= kwa siku hadi 620,000/= kwa siku. Hapo ni

Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, <a href="/HecheJohn/">John Heche</a> mishahara ya wabunge JPM aliacha 12.8M lakini ikaongezwa hadi 19M. Yani mbunge wako analipwa milioni 20 kasoro moja. Pia <a href="/HecheJohn/">John Heche</a> alieleza kwamba posho zimeongezwa kutoka 360,000/= kwa siku hadi 620,000/= kwa siku. Hapo ni
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Wako wapi watu wema? Yako wapi makanisa na misikiti. Wako wapi viongozi wastaafu… Inakuwaje kukemea utekaji na mauaji kwenye Nchi hii ni kosa? Kila mtu asimame ahesabiwe. Waovu wanataka kuzidi watu wema nguvu, mimi katika hili nasimama na Askofu Gwajima.

Richard Mabala (@mabalamakengeza) 's Twitter Profile Photo

Naomba nikumbushwe utaratibu wa kuwachukulia hatua watu ambao wanasadikiwa wamevunja sheria? Je wanapaswa kufikishwa mahakaman nk. Na utaratibu wa kumdeport mtu unakuwaje Gerson Msigwa

Richard Mabala (@mabalamakengeza) 's Twitter Profile Photo

Kupanda boti za Zanzibar, hasa DSM, ni aibu tupu. Msukumano, matusi, uchafu, mashine za zamani. Miaka yote hii, boti zinaongezeka, hali ndiyo hii. Umbali wa kilomita moja kuja SGR, naomba bandari waende kujifunza huko. Yatudhalilisha na kuwafukuzwa watalii pia.

Kris DĂĽrrschmidt (@volgarr) 's Twitter Profile Photo

Acyn Sorry, there is footage of the ENTIRE incident and the false narrative spin will not work. Clearly in the wrong. He did say who he was. He never lunged but was pushed as soon as he started speaking. Uh oh.

(---) Onesmo Mushi (@edutalktz) 's Twitter Profile Photo

Kwenye hii gharama ya kuhudumia deni, tusisahau pia gharama inayoongezeka kutokana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola. Zaidi ya asilimia 60% ya deni letu ni deni la nje linalohudumiwa kwa dola. Sio muda mrefu Mwigulu Nchemba alituambia kushuka kwa shilingi dhidi

Kwenye hii gharama ya kuhudumia deni, tusisahau pia gharama inayoongezeka kutokana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola. Zaidi ya asilimia 60% ya deni letu ni deni la nje linalohudumiwa kwa dola. 

Sio muda mrefu Mwigulu Nchemba alituambia kushuka kwa shilingi dhidi
Kamala Dickson (@itskamala) 's Twitter Profile Photo

Ukifuatilia National Conversations za miaka 1960-1990 Utagundua Taifa lilikuwa na Mijadala serious, Vijana wa vyuo Enzi hizo waliweza Kumwita Rais Nyerere aliitikia wito a kujibu hoja zao, Kwa Miaka ya karibuni ungethubutu linakukuta, haizalishi Utaifa na Uzalendo inaua UONGOZI

Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

WE DON’T NEED PAINKILLERS — WE NEED A COMPLETE CURE FOR THE DISEASE. Abductions are real, and the abductors exist; some of them have already been cited in the matter of Mdude Mpaluka Nyagali. Those who have survived enforced disappearance through God’s grace are living proof.

WE DON’T NEED PAINKILLERS — WE NEED A COMPLETE CURE FOR THE DISEASE.

Abductions are real, and the abductors exist; some of them have already been cited in the matter of Mdude Mpaluka Nyagali.

Those who have survived enforced disappearance through God’s grace are living proof.
Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

THE HABEAS CORPUS CASE FOR OUR BROTHER MDUDE MPALUKA NYAGALI is on 30th June 2025. Let us show up to vindicate the law. This is a message to my friend Mdude, and may it reach you by any means—even in a dream... DO NOT GIVE UP — we will fight for you to our last drop. This is

THE HABEAS CORPUS CASE FOR OUR BROTHER MDUDE MPALUKA NYAGALI is on 30th June 2025.

Let us show up to vindicate the law. This is a message to my friend Mdude, and may it reach you by any means—even in a dream...

DO NOT GIVE UP — we will fight for you to our last drop.

This is