Binamu Wa Pili 🆇 (@marakiungu) 's Twitter Profile
Binamu Wa Pili 🆇

@marakiungu

★God's Plan ★ FOOTBALL addicted★ Man Utd, Real Madrid & Simba SC fan
#WAGMI ✊ DLS2025 Player 🎮 || Every moment, a memory. Grateful 📸 ❤️ || HERE WE GO! 🇹🇿

ID: 1304354638091649025

calendar_today11-09-2020 09:42:51

173,173K Tweet

11,11K Followers

8,8K Following

Jessie J🌺 (@mrs_pappi) 's Twitter Profile Photo

Kwa dhati napenda kuwashukuru mno wana X kwa support yenu kwenye BIASHARA yangu ya VIWANJA .. mnaoRT,Like,Comment na KUNUNUA mmeupiga mwingi na kunifanya niongoze kwa mauzo mwezi Feb na March (1st on the List)..Sijawahi promote IG wala Fb wala X ila ni nguvu zenu Asanteni👏

Kwa dhati napenda kuwashukuru mno wana X kwa support yenu kwenye BIASHARA yangu ya VIWANJA .. mnaoRT,Like,Comment na KUNUNUA mmeupiga mwingi na kunifanya niongoze kwa mauzo mwezi Feb na March (1st on the List)..Sijawahi promote IG wala Fb wala X ila ni nguvu zenu 
Asanteni👏
Moshi Jnr (@moshijnr) 's Twitter Profile Photo

🚨| UPDATE: PACÓME ZOUZOUA - Licha ya klabu ya CR Belouizdad kuingia katika mchakato kwa nguvu ili kupata saini ya Kiungo Pacóme Zouzoua kutoka Yanga SC - Kiungo Pacóme Zouzoua ameipa kipaumbele zaidi Yanga SC kusaini mkataba mpya kutokana ofa yao na vipengele vya kimkataba.

🚨| UPDATE: PACÓME ZOUZOUA

- Licha ya klabu ya CR Belouizdad kuingia katika mchakato kwa nguvu ili kupata saini ya Kiungo Pacóme Zouzoua kutoka Yanga SC

- Kiungo Pacóme Zouzoua ameipa kipaumbele zaidi Yanga SC kusaini mkataba mpya kutokana ofa yao na vipengele vya kimkataba.
Binamu Wa Pili 🆇 (@marakiungu) 's Twitter Profile Photo

Rodri alipewa Ballon d'Or sababu ya EURO, ila hawa vijana watakusanya kila kitu yaani kuanzia Mashindano ya Vilabu yote mpaka timu ya Taifa. Lakini cha ajabu tunaweza tusiwaone hata kwenye TOP 3 ya Ballon d'Or.

Rodri alipewa Ballon d'Or sababu ya EURO, ila hawa vijana watakusanya kila kitu yaani kuanzia Mashindano ya Vilabu yote mpaka timu ya Taifa.

Lakini cha ajabu tunaweza tusiwaone hata kwenye TOP 3 ya Ballon d'Or.
K I M J O H 🇧🇪 (@kimjoh_jr) 's Twitter Profile Photo

X accounts for sale with followers 319k Instagram accounts for sale with followers 105k 125k Tiktok accounts for sale with followers 9k 10k 15k 24k 50k 80k 129k 530k Facebook page for sale with followers 110k Kama unauza au unahitaji accounts kama hizo nicheki DM

Shivo📈 (@adonis_034) 's Twitter Profile Photo

nilichogundua watu wanao taka forex wana ibiwa na kupenda kupagawa na maofisi na wakumbusha izo ofisi wanao lipankodi ma broker sio pesa za hao watu mtapigwa sana😂

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi wetu wa mawasialiano na uenezi Bi Brenda Rupia, anashikiliwa na jeshi la polisi Mkoa wa Arusha. Chama kinafuatilia na tutatoa taarifa rasmi.

Mkurugenzi wetu wa mawasialiano na uenezi Bi Brenda Rupia, anashikiliwa na jeshi la polisi Mkoa wa Arusha.

Chama kinafuatilia na tutatoa taarifa rasmi.