
Isihaka Mchinjita
@mchinjitair
Makamu Mwenyekiti ACT-Wazalendo Bara | Vice Chairman ACT-Wazalendo Tanzania Mainland & Shadow Prime Minister. | #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #TheFutureIsPurple
ID: 795984893276778496
https://www.actwazalendo.or.tz/ 08-11-2016 13:42:42
21,21K Tweet
4,4K Followers
178 Following


Mwenyekiti wa ACTWazalendo, Ndugu Othman Masoud Othman amelaani kauli ya Mbunge Maryam Omar Said ya kutaka Mh. Martha Karua SC apigwe. Asema Mbunge huyo hakushinda kihalali—alitangazwa na kura 36 tu dhidi ya zaidi ya 5000 za mgombea wa ACT. “Hana uchungu na wananchi, ndiyo maana anatamka

Mwenyekiti wa ACTWazalendo Othman Masoud Othman amekemea kauli ya Mbunge Maryam O. Said ya kutaka Martha Karua SC apigwe, akisema hakuchaguliwa kihalali—alitangazwa na kura 36 tu dhidi ya 5000 za mgombea wa ACT. “Hana uchungu na wananchi,” alisema. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

Leo saa 4 asubuhi Mwenyekiti wa chama taifa ndugu Othman Masoud Othman amefanya mkutano wa hadhara jimbo la Tarime Vijijini. #Taifalawote #Maslahiyawote



Rorya 📌 Asanteni Rorya kwa kumpokea Mwenyekiti wenu, mmepa heshima yake , mmekiheshimisha chama chenu. Asanteni sana ACTWazalendo


Mwenyekiti Othman Masoud Othman ni nyota inayong’ara sana. Umekuwa unatoa matumaini kila unapopita badala ya hofu. Hakika Mwaka 2025 Nchi hii inaenda kupata uongozi tulioutamani, tuliousubiria na tunaoutaka. Nakupongeza kwa Kazi nzuri na kubwa. Unatu inspire kwa kweli. ACTWazalendo


Jana tarehe 28 Mei 2025, Chama chetu cha ACTWazalendo kimevuna wanachama wapya 210 kutoka CCM, katika Kata ya Kyang'ombe Jimbo la Rorya Mkoani Mara.


Jana Mei 28, 2025, ACTWazalendo imepata wanachama wapya 210 katika Kata ya Kyang'ombe, Jimbo la Rorya, kufuatia hotuba ya Mwenyekiti wa Taifa Othman Masoud Othman. Ziara yake Kanda ya Ziwa inakamilika leo kwa kikao na mkutano wa hadhara Jimbo la Magu, Mwanza. #MuhuniHasusiwi

Leo Mei 29, 2025 Waziri Kivuli wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Ndugu Janeth Rithe amealaani ukatili dhidi ya raia wa Afrika Mashariki nchini Tanzania! Hii ni baada ya matukio ya hivi karibuni ya kuzuiwa Uwanja wa Ndege bila sababu Kiongozi wa


Alkhamis ya Mei 29, 2025 nimekamilisha ziara yangu ya kikazi katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa ya Tanzania Bara. Nichukue fursa hii kuwashukuru kwa dhati Viongozi wetu wa Chama cha ACTWazalendo wa ngazi zote wakiongozwa na Katibu Mkuu wetu, Ndugu Ado Shaibu, Viongozi wa Serikali


Dorothy Semu Aomba Ridhaa ya ACT Kugombea Urais KC Dorothy Semu ametangaza rasmi kuomba ridhaa ya Chama ili kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza na wanachama na wanahabari, KC amesema dhamira yake inaongozwa na haja ya uongozi



Leo Mei 31, 2025 Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita amekutana na watiania wa ubunge na diwani Tanga Mjini. Huu ni mwendelezo wa Operesheni Linda Demokrasia. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia


Leo Mei 31, 2025 Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita amekutana na watiania wa ubunge na diwani Tanga Mjini. Huu ni mwendelezo wa Operesheni Linda Demokrasia. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia


"Tutakabiliana ipasavyo na wahuni wanaovuruga uchaguzi" Mtia nia wa Ubunge Jimbo la Kivule Wakili Msomi Peter Madeleka

Leo Mei 31, 2025 Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Bara, Mhe ISIHAKA MCHINJITA amekutana na watiania wa ubunge na diwani pamoja na Kamati ya Uongozi ya majimbo ya mkoa wa Tanga ukiwa ni mwendelezo wa Operesheni Linda Demokrasia na maandalizi ya kushinda viti vingi October/2025.
