Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile
Mwl Wa Wataalam

@millambo_

I Teach Biz Owners, Entrepreneurs, Coaches and Consultants how to Build Expert Business & Sell High Ticket Offers

ID: 3254515853

linkhttps://www.youtube.com/@SwahiliQuest calendar_today14-05-2015 19:04:24

35,35K Tweet

26,26K Followers

889 Following

Paul. A. Bomani (@paulbomani1) 's Twitter Profile Photo

Mwl Wa Wataalam Kuna raia wanatakiwa wapewe dunia yao. Mtu haamini kama kuna MUNGU Hamuamini mtu yoyote na mbaya zaidi mpaka yeye mwenyewe hajiamini🙌🙌

Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

Kama bado hujaoa, achana na mpango wa kuomba watu michango. Jitegemee kila kitu, ita watu wa karibu tu. Usisumbue watu bila sababu.

Magarigesi forum (@barakahumphrey9) 's Twitter Profile Photo

Mwl Wa Wataalam Exactly... Sherehe ya Kufurahia Umoja wenu...haupaswi kuwa na ulazima wa kuchangisha... Kama utachangisha...usilazimishe mtu kutoa au kuhudhuria awe ametoa kiasi fulani...Jenga Uchumi wako mzuri alafu Oa bila mausumbufu ya michango...

Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

Wakati huo kabisa la mabilioni linajengwa na jamaa, pale Kenya ikulu linajengwa na raisi. Africa tuna vipaumbele vyetu. Vya kipekee sana. Siku moja nitakaunta kitabu Cha how Europe underdeveloped Africa. Nije na how Africa underdeveloped Africa.

Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

Kama una nia kweli ya kumsaidia mtu kutatua tatizo hakikisha analipia huduma zako. Apate uchungu kiasi. 1. Itamfanya awe serious na mafunzo 2. Itamfanya awe serious kuchukua hatua Ukitoa bure: wote mnapoteza. Wewe unapoteza muda maana hatachukua hatua. 😎🫵

Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

Dini kwa kiasi kikubwa ni utapeli mwalimu. Watu wanapenda sana kuchanganya imani na dini. Na hapo ndo manabii wanapopatia mpenyo.

Muleba nyakatwaga (@jmagobe06) 's Twitter Profile Photo

Mwl Wa Wataalam Watu wanapenda sana ile addiction ya ofisi nzima kusema hamna pesa siku 4 baada ya kupokea salary. Yaani unaona watu wanafurahia kabisa aiseeeeee. Ukikaa kwenye kundi la namn hii inabidi upate nguvu ya ziada kujinasua

Hustler👣 (@mrkongajr) 's Twitter Profile Photo

Kule Instagram Kutoka Kwenye Page Ya Mwl Wa Wataalam Kuna Post Inayohusu Haters. HATERS KWENYE KUPUSH CONTENT. Kuna Faida Ya Uwepo Ya Haters Katika Kupush Content Na Kukuza Brand. Kuna Ujumbe Kwenye Hili.

Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

Kwa kweli hizi M2 - M3 ni kuishia kusomesha, kubadili usafiri na mboga tu. Kukusanya ukwasi inahitaji mbinu za tofauti sana.

Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

Utajuaje kama umeandikiwa Umasikini? 🤔 Ukiwa na pesa mkononi unapata mahitaji ya lazima kama yote ambayo ulivyokuwa bloku ulikuwa huna. Utanunua kila kitu isipokuwa kitu cha kukusaidia kuzalisha hiyo pesa. Kama una qualify hapa, rat race ni milele daima. 😎🫵

Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

Ushauri 1 wa sales wa kukubadilishia maisha. Kabla kujauza: Gundua matatizo ya mteja. Unda suluhu. Muoneshe anavyopoteza na namna ya kutoka. Kisha pita hivi, kama ana akili atajua pa kukupata.

Mwl Wa Wataalam (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

Bro, How much do you care? Una mpango wa customer satisfaction and retention? Kwanini wakupe feedback? Why should they care? Wakupe feedback kama muuzaji au mtoa huduma na rafiki? Get a plan bro, watatoa tu.