Mirembe National Mental Health Hospital (@mirembe_hosptz) 's Twitter Profile
Mirembe National Mental Health Hospital

@mirembe_hosptz

Government Specialized Mental Health Hospital in Tanzania

ID: 1688834533427208192

linkhttp://www.mnmh.or.tz calendar_today08-08-2023 08:48:51

746 Tweet

1,1K Followers

117 Following

Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 (@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

MIREMBE YAZINDUA KAMPENI KITAIFA“ AFYA YA AKILI NI AFYA” Na WAF, Dodoma Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali Bi. Ziada Sellah amezindua rasmi Kampeni ya kitaifa ya Afya ya Akili ni Afya, yenye lengo la kuongeza uelewa juu ya afya ya akili nchini ili kuhakikisha kila mwananchi ana

MIREMBE YAZINDUA KAMPENI KITAIFA“ AFYA YA AKILI NI AFYA”

Na WAF, Dodoma

Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali Bi. Ziada Sellah amezindua rasmi Kampeni ya kitaifa ya Afya  ya Akili ni Afya, yenye lengo la kuongeza uelewa juu ya afya ya akili  nchini ili kuhakikisha kila mwananchi ana
Mirembe National Mental Health Hospital (@mirembe_hosptz) 's Twitter Profile Photo

KAMPENI YA KITAIFA YA AFYA YA AKILI NI AFYA KUTIMUA VUMBI MKOANI IRINGA Kampeni ya kitaifa ya Afya ya Akili ni Afya imeaanza rasmi Chuo Kikuu cha Iringa ambapo Mkurugenzi Mtendaji wa MNMH Paul Lawala na wataalamu mbalimbali kutoka Mirembe National Mental Health Hospital wameweka kambi Iringa

KAMPENI YA KITAIFA YA AFYA YA AKILI NI AFYA KUTIMUA VUMBI  MKOANI IRINGA
Kampeni ya kitaifa ya Afya ya Akili  ni Afya imeaanza rasmi  Chuo Kikuu cha Iringa ambapo  Mkurugenzi Mtendaji wa MNMH  <a href="/Plawala2023/">Paul Lawala</a> na wataalamu  mbalimbali kutoka  <a href="/Mirembe_hosptz/">Mirembe National Mental Health Hospital</a> wameweka  kambi Iringa
Mirembe National Mental Health Hospital (@mirembe_hosptz) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi Mtendaji wa MNMH, Dkt. Paul Lawala, amevitaka vyuo vikuu kuwa mabalozi wa afya ya akili, akizungumza UoI & RuCU wakati wa kampeni ya Afya ya Akili ni Afya Mkoani Iringa. 🎖️ UoI yatunukiwa tuzo ya mchango wa kitaaluma! #AfyaYaAkiliNiAfya #MentalHealthAwarenessMonth

Mkurugenzi Mtendaji wa MNMH, Dkt. Paul Lawala, amevitaka vyuo vikuu kuwa mabalozi wa afya ya akili, akizungumza UoI &amp; RuCU wakati wa kampeni ya Afya ya Akili ni Afya Mkoani Iringa.
🎖️ UoI yatunukiwa tuzo ya mchango wa kitaaluma!
#AfyaYaAkiliNiAfya #MentalHealthAwarenessMonth
Mirembe National Mental Health Hospital (@mirembe_hosptz) 's Twitter Profile Photo

Tuzo hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa MNMH, Dkt. Paul Lawala, wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya "Afya ya Akili ni Afya" kwa mkoa wa Iringa, uliofanyika chuoni hapo.Tunapongeza UoI kwa kuwa chachu ya mabadiliko katika afya ya akili nchini! #AfyaYaAkiliNiAfya

Tuzo hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa MNMH, Dkt. <a href="/Plawala2023/">Paul Lawala</a>, wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya "Afya ya Akili ni Afya" kwa mkoa wa Iringa, uliofanyika chuoni hapo.Tunapongeza UoI kwa kuwa chachu ya mabadiliko katika afya ya akili nchini!
#AfyaYaAkiliNiAfya
Mirembe National Mental Health Hospital (@mirembe_hosptz) 's Twitter Profile Photo

Afya ya akili ni sehemu ya maisha yako. Usinyamaze ukiumia kimoyomoyo. Ni sawa kusema “sijisikii vizuri,” ni ujasiri kuomba msaada. Kujieleza si udhaifu — ni hatua ya uponyaji. Jikubali, Jijali. Zungumza. #AfyaYaAkiliNiAfya #JikubaliJijali

Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 (@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

KAMPENI YA KITAIFA YA AFYA YA AKILI YAENDELEA KWA KISHINDO JIJINI DODOMA Majid Abdulkarim, Dodoma Hospitali Bingwa ya Taifa ya Magonjwa ya Akili ya Mirembe imehimiza umuhimu wa kufanya mazoezi ya mwili na kula mlo kamili kama njia ya msingi ya kulinda na kuimarisha afya ya

KAMPENI YA KITAIFA YA AFYA YA AKILI YAENDELEA KWA KISHINDO JIJINI DODOMA

Majid Abdulkarim, Dodoma

Hospitali Bingwa ya Taifa ya Magonjwa ya Akili ya Mirembe imehimiza umuhimu wa kufanya mazoezi ya mwili na kula mlo kamili kama njia ya msingi ya kulinda na kuimarisha afya ya
Mirembe National Mental Health Hospital (@mirembe_hosptz) 's Twitter Profile Photo

ZOEZI LA USIMAMIZI SHIRIKISHI WA HUDUMA ZA KIFAMASIA TABIBU WODINI LAFANYIKA MNMH Leo limefanyika zoezi la Usimamizi Shirikishi wa huduma za kifamasia kwa wagonjwa waliolazwa wodini. Zoezi hili limeendeshwa na wataalamu kutoka Wizara ya Afya kwa kushirikiana na (CSSC).

ZOEZI LA USIMAMIZI SHIRIKISHI WA HUDUMA ZA KIFAMASIA TABIBU WODINI LAFANYIKA MNMH

Leo limefanyika zoezi la Usimamizi Shirikishi wa huduma za kifamasia kwa wagonjwa waliolazwa wodini. Zoezi hili limeendeshwa na wataalamu kutoka Wizara ya Afya kwa kushirikiana na (CSSC).
Mirembe National Mental Health Hospital (@mirembe_hosptz) 's Twitter Profile Photo

Leo, tunawashukuru wahudumu wetu wa dharura – madaktari, wauguzi, wahudumu wa magari ya wagonjwa, na timu nzima ya EMD – kwa moyo wao wa kujitolea kuokoa maisha kila siku. Afya ya Akili ni Afya – Jikubali, Jijali. #MirembeEmergencyServices #AfyaYaAkiliNiAfya #EMSday2025

Mirembe National Mental Health Hospital (@mirembe_hosptz) 's Twitter Profile Photo

Mirembe National Mental Health Hospital inashiriki kama mtoa mada maalum kwenye Mental Health Summit iliyoandaliwa na WAYDS Tunahamisha nguvu kwa jamii – kuzuia kabla ya kuuguza. Tunaamini taifa lenye afya bora ya akili linawezekana! Afya ya Akili ni Afya – Jikubali, Jijali. #AfyaYaAkiliNiAfya

<a href="/Mirembe_hosptz/">Mirembe National Mental Health Hospital</a> inashiriki kama mtoa mada maalum kwenye Mental Health Summit iliyoandaliwa na WAYDS
Tunahamisha nguvu kwa jamii – kuzuia kabla ya kuuguza. Tunaamini taifa lenye afya bora ya akili linawezekana!
Afya ya Akili ni Afya – Jikubali, Jijali.
#AfyaYaAkiliNiAfya
Mirembe National Mental Health Hospital (@mirembe_hosptz) 's Twitter Profile Photo

Kipaumbele chetu ni kuokoa maisha ya kila mmoja. Karibu upate huduma bora, za haraka na kwa weledi katika kitengo cha dharura. Huduma zetu zipo tayari muda wote kwa ajili yako. Afya ya Akili ni Afya – Jikubali, Jijali #HudumaZaDharura Tazama hapa 👇🏾👇🏾 youtu.be/YU3fRMUvW98?fe…

Mirembe National Mental Health Hospital (@mirembe_hosptz) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Afya Mhe. Jennista Mhagama leo Jumatatu Amesoma Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa Fedha 2025/2026. Fuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 @mirembe_hospitaltz #AfyaYaAkiliNiAfya #JikubaliJijali

Waziri wa Afya Mhe. Jennista Mhagama leo Jumatatu Amesoma Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa Fedha 2025/2026. 

Fuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii 
<a href="/wizara_afyatz/">Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿</a> 
@mirembe_hospitaltz 

#AfyaYaAkiliNiAfya
#JikubaliJijali