Idd Mkanza (@mkanzaidd) 's Twitter Profile
Idd Mkanza

@mkanzaidd

JUVICUF -National Secretary General,Tutor, Optimistic & Diplomatic,Political analyst,MP candidate 2020 Same East Constituency.

ID: 1189760562495918081

linkhttp://cuf.go.tz calendar_today31-10-2019 04:27:36

1,1K Tweet

360 Followers

585 Following

MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

KIONGOZI Mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe ameitaja idadi ya wafuasi waliohama kutoka kwenye Chama cha Wananchi (CUF), na kuhamia Chama hicho ni 5127. Tangu kuhamia kwa Maftaha Nachuma aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CUF- Bara.

Ado Shaibu (@adoshaibu) 's Twitter Profile Photo

Kukamatwa na kushikiliwa kwa Mwenezi wa Chadema Brenda Rupia Jonas ni mwendelezo wa Jeshi la Polisi kuacha wajibu wake wa kulinda maslahi ya umma na kujivika kazi ya kulinda maslahi ya CCM kwa kuwashughulikia wapinzani. Ukweli huu ni lazima usemwe na kuwekwa bayana!

Kukamatwa na kushikiliwa kwa Mwenezi wa Chadema <a href="/BrendaRupia/">Brenda Rupia Jonas</a> ni mwendelezo wa Jeshi la Polisi kuacha wajibu wake wa kulinda maslahi ya umma na kujivika kazi ya kulinda maslahi ya CCM kwa kuwashughulikia wapinzani. Ukweli huu ni lazima usemwe na kuwekwa bayana!
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Dorothy Semu Isihaka Mchinjita Naibu Mwenezi Taifa, Ndugu shangwe Ayo; Mtia nia ubunge Jimbo la Segerea, Ndugu Emmanuel L. Mvula; na Naibu Waziri Kivuli wa TEHAMA, Ndugu NTOBI wakizungumza na wakazi wa Jimbo la Segerea Jijini Dar es salaam. Oktoba Linda kura #MuhuniHasusiwi

<a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> <a href="/MchinjitaIR/">Isihaka Mchinjita</a> Naibu Mwenezi Taifa, Ndugu <a href="/ayo_shangwe/">shangwe Ayo</a>; Mtia nia ubunge Jimbo la Segerea, Ndugu <a href="/Immamvula/">Emmanuel L. Mvula</a>; na Naibu Waziri Kivuli wa TEHAMA, Ndugu <a href="/Ntobi_/">NTOBI</a> wakizungumza na wakazi wa Jimbo la Segerea Jijini Dar es salaam.

Oktoba <a href="/LindaKura/">Linda kura</a>
#MuhuniHasusiwi
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Tumeshuhudia huku Lindi na Mtwara karibu kila 'mlaza debe' yaani wanunuzi wa Korosho wa Kangomba, wameamua kuchukua fomu kugombea ubunge kupitia CCM. Hawa hawatatetea wakulima. ACTWazalendo itahakikisha Mkulima wa Korosho anapata faida ya jasho lake. Hapatakuwa na kukopeshwa

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Mafwele! Mwachie Mdude Mdude Nyagali Unaye na mmemshikilia sehemu ambapo anateseka sana - tutaendelea kufuatilia bila nyie kuelewa tunajuaje! Watu wengi mko nao ndani ya mfumo wamekerwa na mnachofanya! Samia Suluhu hii damu haiwezi kwenda bure hata tone moja Mwambie Abdul

Mafwele! Mwachie Mdude <a href="/mdudenyagali/">Mdude Nyagali</a> 
Unaye na mmemshikilia sehemu ambapo anateseka sana - tutaendelea kufuatilia bila nyie kuelewa tunajuaje! 
Watu wengi mko nao ndani ya mfumo wamekerwa na mnachofanya!
<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> hii damu haiwezi kwenda bure hata tone moja
Mwambie Abdul
Husna Sungura (@husnasungura) 's Twitter Profile Photo

KCM Zitto MwamiRuyagwa Kabwe na Mwanachama wa ACTWazalendo, Ndugu Maftaha Nachuma wakihutubia Mkutano wa Hadhara uliofanyika Jimbo la Mtwara Mjini. Mkutano huu ni sehemu ya Operesheni Majimaji yenye madhumuni ya kuhamasisha watu kupiga kura na kulina kura. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

KCM <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> na Mwanachama wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu Maftaha Nachuma wakihutubia Mkutano wa Hadhara uliofanyika Jimbo la Mtwara Mjini. Mkutano huu ni sehemu ya Operesheni Majimaji yenye madhumuni ya kuhamasisha watu kupiga kura na kulina kura.  Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Ziara yetu ya Operesheni Maji Maji imetufikisha Lindi Mjini jana. Tulikwenda Kata ya Tandangongoro katika Manispaa ya Lindi kuzungumza na wananchi. Tulizungumza kuhusu namna CCM imechelewesha maendeleo ya Mradi wa LNG - Lindi pamoja na kushajiisha Oktoba, #LindaKura kwa umma.

Ziara yetu ya Operesheni Maji Maji imetufikisha Lindi Mjini jana. Tulikwenda Kata ya Tandangongoro katika Manispaa ya Lindi kuzungumza na wananchi. Tulizungumza kuhusu namna CCM imechelewesha maendeleo ya Mradi wa LNG - Lindi pamoja na kushajiisha Oktoba, #LindaKura kwa umma.
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

DISPATCHES FROM MAJI MAJI TOUR - DAY 12 Lindi LNG Project: Stalled by CCM Incompetence Tandangogoro, Lindi July 14, 2025 Thirteen years ago, I wrote about Lindi in a Raia Mwema article after visiting Sri Lanka, where I witnessed remarkable economic transformation post-civil

DISPATCHES FROM MAJI MAJI TOUR - DAY 12
Lindi LNG Project: Stalled by CCM Incompetence

Tandangogoro, Lindi
July 14, 2025

Thirteen years ago, I wrote about Lindi in a Raia Mwema article after visiting Sri Lanka, where I witnessed remarkable economic transformation post-civil
Husna Sungura (@husnasungura) 's Twitter Profile Photo

"Haijawahi kutokea duniani kote, kukawa na takataka iliyopata hadhi kuitwa Serikali kisha takataka hiyo ikatengeneza sheria safi za kuleta Serikali isiyotakataka." Makamu Mwenyekiti Bara Isihaka Mchinjita Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ⁦ACTWazalendo

Idd Mkanza (@mkanzaidd) 's Twitter Profile Photo

Leo Julai 15, 2025 KC Mstaafu, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe yuko Jimbo la Rufiji, Mkoa wa Kichama Mwambao. Ni Operesheni Majimaji. Operesheni yenye madhumuni ya kushajiisha watu kujitokeza kupiga kura na kulinda kura zao. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

Leo Julai 15, 2025 KC Mstaafu, Ndugu <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> yuko Jimbo la Rufiji, Mkoa wa Kichama Mwambao.

Ni Operesheni Majimaji. Operesheni yenye madhumuni ya kushajiisha watu kujitokeza kupiga kura na kulinda kura zao.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
Abdul Nondo 🇹🇿 (@abdulnondo2) 's Twitter Profile Photo

Leo tarehe 15/Julai /2025 nimechukua fomu kuomba ridhaa kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini.Ikumbukwe sio mara yangu ya kwanza, mwaka 2020 Julai niliomba ridhaa ya kugombea ingawa kura hazikutosha.Nimekabidhiwa fomu na Katibu wa Jimbo la Kigoma Mjini ndug.Iddi Adam Sumvya.

Leo tarehe 15/Julai /2025 nimechukua fomu kuomba ridhaa kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini.Ikumbukwe sio mara yangu ya kwanza, mwaka 2020 Julai niliomba ridhaa ya kugombea ingawa kura hazikutosha.Nimekabidhiwa fomu na Katibu wa Jimbo la Kigoma Mjini ndug.Iddi Adam Sumvya.