Mpale Mpoki (@mpalempoki) 's Twitter Profile
Mpale Mpoki

@mpalempoki

ID: 1250747483736682496

calendar_today16-04-2020 11:27:34

2,2K Tweet

2,2K Followers

892 Following

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Jaji aliyesitisha shughuli za CDM, ndiye aliyeharibu kesi ya uraia pacha.. akatunyima ushindi. Tunataka Katiba Mpya ili Majaji waajiriwe na umma.. tuondokane na hawa makada wa kisamvu.

Mpale Mpoki (@mpalempoki) 's Twitter Profile Photo

Katiba toka 1977 imefanyiwa marekisho mara 14 na mara zote marekebisho yamefanywa si kwa faida ya mtanzania wa kawaida (Bi. Mkora), ila kwa ajili ya consolidation of power na positions of power. Mara moja walipoweka bill of rights ndio ilikuwa kwa faida ya Bi Mkora Maria Sarungi Tsehai

Mpale Mpoki (@mpalempoki) 's Twitter Profile Photo

Isiwe ni sababu ya kukataa international observers. Kwa hali yotote ile Ni muhimu tuwe na international observers kwani mandate yao ni kuona kuwa uchaguzi ni free, fair, transparent, credible and verifiable. Ruhusa na vibali vitolewe timely.

LHRC (@humanrightstz) 's Twitter Profile Photo

Historic Ruling by the Court of Appeal declaring Section 4 of the Basic Rights and Duties Enforcement Act as amended by Act No.3/2020 unconstitutional. It is a win to acess to justice actors.

Historic Ruling by the Court of Appeal declaring Section 4 of the Basic Rights and Duties Enforcement Act as amended by Act No.3/2020 unconstitutional. It is a win to acess to justice actors.
Mpale Mpoki (@mpalempoki) 's Twitter Profile Photo

Mgawanyo wa madaraka ni chombo muhimu kuelekea na kufikia dhana ya kikatiba ya utawala wa sheria. Utawala wa sheria ndio msingi mkuu wa utawala, demokrasia na uwajibikaji katika utendaji wa kila siku. Ili utawala wa sheria uwe na maana kuwe na uhuru wa mahakama Maria Sarungi Tsehai

Mpale Mpoki (@mpalempoki) 's Twitter Profile Photo

Mgawanyo wa madaraka. anayepima utendaji wa mbunge ni yule aliyemchagua na wale anaowawakilisha. Hawa ndio waajiri wakuu wa Mbunge. Kama Mbunge akienda Chama kingine na wananchi wakiona anafaa kwenye uchaguzi ulio huru na haki utashi wa wananchi utatawala.