
Eng Mohamed Mtambo
@mtambomj_1
Mtambo Engineering limited 🇹🇿.MOJUM Investments🇿🇲. Shadow minister of Infrastructure - ACT WAZALENDO🇹🇿
ID: 432414984
http://www.mtamboengineeringtzltd.co.tz 09-12-2011 11:11:16
899 Tweet
861 Followers
178 Following

Bwana Hipolitus Kaninga, Mwenyekiti wa zamani wa CHADEMA Jimbo la Nkasi Kusini na Mgombea ubunge wa jimbo hilo ameingia ACTWazalendo pamoja na mamia ya wanachama kutoka Kata ya Kabwe. #Miezi10 #WanachamaMilioni10


Sehemu ya Hotuba yangu nikiwa Babati Mjini kwenye Mkutano wa hadhara wa Kiongozi wa Chama, Dorothy Semu . Niliwaeleza jukwaa sahihi la kuleta mageuzi ni ACT Wazalendo. Vijana wote wote njooni tuungane. Usipitwe na usajili huu wa #Miezi10 #WanachamaMilioni10


"Kauli ya kutaka kulipia barabara ya mabasi ya mwendokasi Dar es salaam inapaswa kupingwa mara moja. Barabara ya mwendokasi ni mali ya umma na haitakiwi kuwa biashara ya kuwanufaisha wachache. Waziri Kivuli wa Miundombinu Eng Mohamed Mtambo #TaifaLaWote #MaslahiYaWote ACTWazalendo




KULIPIA BARABARA YA MWENDOKASI . Pamoja na yaliyoainishwa na ACTWazalendo juzi, Wasemaji wa Kisekta tunawaongezea kua Haitowezekana kudhibiti msongamano kwenye hiyo lane. Hivyo ni KUUA zana ya mwendokasi. “BRT is an operation on exclusive right-of-way, with no access for others ”


TAHADHARI : UWANJA MPYA DODOMA UNAOJENGWA KWA BIL 328.6 Tshs. Kujengwa kwa mfumo wa “design and build contract” Kichaka cha ubadhilifu na kupoteza control ya mradi.Huzaa “Potential comflict of interest”.Mkandarasi analipwa na ana design mwenyewe on process! Wasemaji wa Kisekta


Mabango haya ni kwa ajili ya WATANZANIA WOTE.Kuyaandika KINGEREZA ni kuwakosesha WATANZANIA WENGI nafasi ya kujua kinachoendelea .Yaandikwe na kwa KISWAHILI na Yaongezwe taarifa kama GHARAMA,VIPIMO na MUDA wa kukamilishwa Mradi. “Transparency” ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta


BARABARA YA LAMI WAKATI HUU WA JOTO KALI, Lami hudhoofika na hivyo ACTWazalendo Inakukumbusha yafuatayo : 1.Barabara hukosa Mkamatano na kua laini hivyo muda wote endesha kwa tahadhari. 2.Mara zote hakiki upepo wa tairi zako uko vizuri. 3.Mara zote hakiki coolants kwenye chombo


UJENZI MWENDO KASI G.MBOTO ACTWazalendo Tunaitaka Serikali kusimamia Wafanyakazi Kufanya kazi kwenye mavazi yote ya kulinda afya zao (FULL PPE).Pia layer za juu (leveling,Binder Surface & Seal) Ziwekwe Kwa Pamoja na Base course Kuepuka Upunjaji wa Lami na madhara mengine mengi.


WIMBI LA WAKANDARASI WA KIGENI. ACTWazalendo Inaitaka Serikali kuangalia zaidi Wakandarasi Wazawa kwenye Miradi.Sheria za manunuzi na kanuni Pingamizi za thamani za Miradi kwa wakandarasi WAZAWA Ziondolewe kabisa.WATANZANIA WAKIPEWA NAFASI WANAWEZA FANYA YAFANYWAYO NA WAGENI.


BARABARA KUBONYEA NI CHANZO KIKUBWA CHA AJALI NCHINI. Sababu zake ni pamoja na KUPITISHA MAGARI YENYE UZITO MKUBWA kuliko uwezo wa barabara.ACTWazalendo Inaitaka Serikali kuongeza usimamizi kwenye MIZANI.Pia kuboresha mazingira ya Reli ili mizigo yenye uzito zaid itumie RELI.


KUCHELEWA UJENZI WA SGR PORT LINK ni KUJISAHAU ama UZEMBE?Mabehewa 260+ ya mizigo yamefika zaidi ya mwezi sasa.Chakushangaza Ujenzi w Port Link HAUJAKAMILIKA.ACTWazalendo Inaitaka Serikali kuhimiza ujenzi huo ili Kupunzia Mzigo Barabara zetu.Tumelipa gharama kubwa sana kwny SGR.


MWANAMKE 🙏🏽 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🫡🫡. Uhandisi ni UDADISI,UBUNIFU na UTATUZI WA MATATIZO,Kwenye hayo MWENYEWE NI MWANAMKE. ACTWazalendo -IDARA YA MIUNDOMBINU, Inajivunia WANAWAKE WOTE ndani ya Chama Chetu. “YOU MAKE US PROUD” “HAPPY WOMEN’S DAY”💃🏻💐🌺


SAKATA LA UNUNUZI WA UMEME KUTOKA NCHINI ETHIOPIA.Leo nilipata nafac ya kutoa maoni yangu kipitia VOA Swahili

SAKATA LA BARABARA ZA MWENDO KASI ni Kuwavuraga Wananchi.Ujenzi huchukua miaka,Inakuaje ikikamilika HAKUNA MABASI ? Hoja za KUPITISHA MALORI au KULIPIWA zinatoka wapi ? ACTWazalendo Inaitaka Serikali kuja na majibu ya Kwanini Mbagala mpaka ss hakuna Huduma ya DART ?
