Mudrìck (@mudrick02) 's Twitter Profile
Mudrìck

@mudrick02

Alhamdulillah🙏

ID: 1572858022908633088

calendar_today22-09-2022 07:59:27

10,10K Tweet

2,2K Followers

381 Following

M E C K I E🇹🇿 (@mee_nicodemus) 's Twitter Profile Photo

Baadhi ya Mashabiki wa Barca tuliojitokeza kupeleka sadaka yetu ya shukrani pale katika Parokia ya Mtakatifu Paulo, baada ya usajili wa Rashford.

Baadhi ya Mashabiki wa Barca tuliojitokeza kupeleka sadaka yetu ya shukrani pale katika Parokia ya Mtakatifu Paulo, baada ya usajili wa Rashford.
𝐌𝐚𝐱𝐦𝐢𝐥𝐢𝐚𝐧 (@_cfcmax) 's Twitter Profile Photo

Dakika 90 Ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa ni ndefu sana iwapo Simba akiwa Ndani, Utopolo mtaeleza siku ya ufunguzi. Feisali atakuwepooooo.😂😎

Dakika 90 Ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa ni ndefu sana iwapo Simba akiwa Ndani, Utopolo mtaeleza siku ya ufunguzi.

Feisali atakuwepooooo.😂😎
Bracusz👣Cadabra 🇹🇿 (@bracuszcadabra) 's Twitter Profile Photo

🛑Feisal Salum Abdallah kwenda Simba SC haijawahi kuwa tatizo upande wa mchezaji tangu dirisha lililopita Shida ni Ile 500K USD wanayohitaji Azam FC Nakiri zipo jitihada za kuishawishi familia ya Bakhressa wakubali pungufu ya hiyo NB:Jambo Moja linaleta ugumu ila sintolitaja

🛑Feisal Salum Abdallah kwenda Simba SC haijawahi kuwa tatizo upande wa mchezaji tangu dirisha lililopita

Shida ni Ile 500K USD wanayohitaji Azam FC 

Nakiri zipo jitihada za kuishawishi familia ya Bakhressa wakubali pungufu ya hiyo 

NB:Jambo Moja linaleta ugumu ila sintolitaja
FELIX JASON (@iamfelixtz) 's Twitter Profile Photo

🚨💣 UPDATES 👇 ➡️ JS Kabylie 🇩🇿 ipo kwenye nafasi nzuri ya kumpata Jean Ahoua (23) 🇨🇮 kutoka Simba 🇹🇿 Positive talks underway, no problem on player side. ⏳ Now, It’s up to Simba 🦁

🚨💣 UPDATES 👇

➡️ JS Kabylie 🇩🇿 ipo kwenye nafasi nzuri ya kumpata Jean Ahoua (23)  🇨🇮 kutoka Simba 🇹🇿

Positive talks underway, no problem on player side. 

⏳ Now, It’s up to Simba 🦁
Simba Sports Club (@simbasctanzania) 's Twitter Profile Photo

Kutoka kina kirefu cha Bahari ya Hindi, sanduku la Usajili 2025/26 limewafikia Watu wa Republic (kitengo cha Habari na Mawasiliano Msimbazi). Mabibi na mabwana sasa tuko tayari kushusha Simba hatari wa kula maadui wa nchi kavu 🐅🦅🍦👮‍♂️🍇🐕🦍 na majini / matopeni 🐸 📲 Lipia

Shaffih  Dauda (@shaffihdauda1) 's Twitter Profile Photo

Leo nina mzuka tu kuharibu biashara za watu , Anyway ipo hivi 1.Feisal ndiye kiungo bora kwa sasa Nchini hapo tukubaliane hakuna kabisa ubishi 2.Kuelekea msimu wa 2025/26 Feisal anastahili kuwa mchezaji anayelipwa pesa ndefu nchini , hapo pia hakuna ubishi 3.Watu wapo nje ya

Leo nina mzuka tu kuharibu biashara za watu , Anyway ipo hivi 

1.Feisal ndiye kiungo bora kwa sasa Nchini hapo tukubaliane hakuna kabisa ubishi 

2.Kuelekea msimu wa 2025/26 Feisal anastahili kuwa mchezaji anayelipwa pesa ndefu nchini , hapo pia hakuna ubishi

3.Watu wapo nje ya
#TeamPixelTz 🇬 (@thinker24hr) 's Twitter Profile Photo

📱Google Pixel 6 Pro ⚙️256Gb 💳BEI 550,000/= Tsh Free : Cover, Protector + 🔌 NB: Exchange na Top-Up✅ 📞0628139218 | 📞0747689218 📍Dar es salaam | Mikoani tunasafirisha 🚌

📱Google Pixel 6 Pro
⚙️256Gb
 💳BEI 550,000/= Tsh

Free : Cover, Protector + 🔌

NB: Exchange na Top-Up✅
📞0628139218 | 📞0747689218 
📍Dar es salaam | Mikoani tunasafirisha 🚌
Bracusz👣Cadabra 🇹🇿 (@bracuszcadabra) 's Twitter Profile Photo

🚨Simba SC wamekamiisha usajili wa kiungo mshambuliaji Mohamed Bajaber(22) kutoka Police FC ya nchini Kenya Kwa mujibu wa taarifa za awali tayari ameondolewa kikosi Cha Kenya michuano ya CHAN ili ajiunge na Simba SC kwa ajili ya Pre Season nchini Misri

🚨Simba SC wamekamiisha usajili wa kiungo mshambuliaji Mohamed Bajaber(22) kutoka Police FC ya nchini Kenya 

Kwa mujibu wa taarifa za awali tayari ameondolewa kikosi Cha Kenya michuano ya CHAN ili ajiunge na Simba SC kwa ajili ya Pre Season nchini Misri