Muhimbili Orthopaedic Institute(MOI) (@muhimbiliortho1) 's Twitter Profile
Muhimbili Orthopaedic Institute(MOI)

@muhimbiliortho1

Super Specialized serv. in Orthopaedics, Trauma and Neurosurgery (Total Hip&Knee Replacement /Brain Surgery /ACL/Spine Surgery /Paed. Orthopaedics, Paed.N/Surg)

ID: 955138540043689984

linkhttp://www.moi.ac.tz calendar_today21-01-2018 18:02:28

90 Tweet

2,2K Followers

426 Following

#JamiiNaAfya (@hudumazaafya) 's Twitter Profile Photo

Matege makali au ya upande mmoja yanahitaji matibabu ya upasuaji hasa kwa watoto wenye miaka 4 na kuendelea. Huduma ya upasuaji kutibu matege inapatikana katika taasisi ya mifupa (MOI) Muhimbili Orthopaedic Institute(MOI) #JamiiNaAfya

Matege makali au ya upande mmoja yanahitaji matibabu ya upasuaji hasa kwa watoto wenye miaka 4 na kuendelea.

Huduma ya upasuaji kutibu matege inapatikana katika taasisi ya mifupa (MOI) <a href="/MuhimbiliOrtho1/">Muhimbili Orthopaedic Institute(MOI)</a> 

#JamiiNaAfya
taasisiyamifupa_MOI (@taasisiyamifupa) 's Twitter Profile Photo

TAARIFA KWA UMMA. Ufafunuzi kuhusu habari iliyochapishwa na gazeti la Mwananchi Newspapers la leo tarehe 31/07/2018 ukurasa wa 3 lenye kichwa cha habari "Mwanafunzi UDSM aliyenusurika ajali ya ambulance apoteza kumbukumbu".

TAARIFA KWA UMMA.
Ufafunuzi kuhusu habari iliyochapishwa na gazeti la <a href="/MwananchiNews/">Mwananchi Newspapers</a> la leo tarehe 31/07/2018 ukurasa wa 3 lenye kichwa cha habari "Mwanafunzi UDSM aliyenusurika ajali ya ambulance apoteza kumbukumbu".
taasisiyamifupa_MOI (@taasisiyamifupa) 's Twitter Profile Photo

Mama Doroth Rugaba (70) alifanyiwa upasuaji mkubwa wa Mgongo hapa MOI baada ya kupoteza matumaini na kuteseka kwa maumivu makali na kuzunguka katika hospitali nyingi toka mwaka 2001 na kuambiwa tatizo lake halitibiki hapa nchini.

Mama Doroth Rugaba (70) alifanyiwa upasuaji mkubwa wa Mgongo  hapa MOI baada ya kupoteza  matumaini na kuteseka kwa maumivu makali na kuzunguka katika hospitali nyingi toka mwaka 2001 na kuambiwa tatizo lake halitibiki hapa nchini.
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila (@mamcmloganzila) 's Twitter Profile Photo

Una tatizo la USAHA MASIKIONI? Jibu hili hapa youtu.be/ixBJeKd2GrE via YouTube Msikilize Daktari Bingwa wa Pua, Masikio na Koo Dr. Godlove Mfuko kutoka Hospitali ya Rufaa Mloganzila ( MAMC)

taasisiyamifupa_MOI (@taasisiyamifupa) 's Twitter Profile Photo

Kongamano la Kimataifa la Madaktari bingwa wa upasuaji wa Ubongo, Mgongo,Mishipa ya Fahamu na Mafunzo ya Uangalizi maalum: Tanzania Tarehe 5-9 November katika ukumbi wa mikutano MOI. @umwalimu Faustine Ndugulile

Kongamano la Kimataifa la Madaktari bingwa wa upasuaji wa Ubongo, Mgongo,Mishipa ya Fahamu na Mafunzo ya Uangalizi maalum: Tanzania
Tarehe 5-9 November katika ukumbi wa mikutano MOI.  @umwalimu <a href="/DocFaustine/">Faustine Ndugulile</a>
taasisiyamifupa_MOI (@taasisiyamifupa) 's Twitter Profile Photo

Madaktari Bingwa wa MOI kwa kushirikiana na madaktari bingwa wa hospitali ya Zydus Hospitals ya India wamefanya upasuaji mgumu wa kupandikiza Nyonga bandia na upasuaji wa Mgongo kwa mbinu za kisasa zaidi.

Madaktari Bingwa wa MOI kwa kushirikiana na madaktari bingwa wa hospitali ya <a href="/ZydusHospitals/">Zydus Hospitals</a> ya India wamefanya upasuaji mgumu wa kupandikiza Nyonga bandia na upasuaji wa Mgongo kwa mbinu za kisasa zaidi.
Seif Kabelele (@seifkabelele) 's Twitter Profile Photo

MUHAS, CUHAS & KCMC have teamed up, under a consortium to enhance the academic environment in #Tanzania to attract and retain the best early-career faculty by mentoring them to use innovative competency-based skills development and collaborate to build their research portfolios.

MUHAS, CUHAS &amp; KCMC have teamed up, under a consortium to enhance the academic environment in #Tanzania to attract and retain the best early-career faculty by mentoring them to use innovative competency-based skills development and collaborate to build their research portfolios.
NHIF Tanzania (@nhiftz) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu na Mkurugenzi Mkuu wa NHIF Bw. Bernard Konga wakitoa mrejesho kwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa wa hatua zilizofikiwa katika kuwafikia wananchi wote na bima ya afya @umwalimu Faustine Ndugulile @TZ_MsemajiMkuu Bernard Konga Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu na Mkurugenzi Mkuu wa NHIF Bw. Bernard Konga wakitoa mrejesho kwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa wa hatua zilizofikiwa katika kuwafikia wananchi wote na bima ya afya @umwalimu <a href="/DocFaustine/">Faustine Ndugulile</a> @TZ_MsemajiMkuu <a href="/KongaBernard/">Bernard Konga</a> <a href="/wizara_afyatz/">Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿</a>
Haki Ngowi (@hakingowi) 's Twitter Profile Photo

Makamu wa Rais Samia Suluhu akipata maelezo ya baadhi ya vifaa vya kisasa vya upasuaji vinavyoweza kuona mishipa na kuisoma kutoka kwa Dk Karima Khaled wakati wa hafla ya kupokea vifaa vya chumba cha upasuaji wa watoto vilivyotolewa na Ubalozi wa Kuwait kwa Taasisi ya Mifupa(MOI)

Makamu wa Rais Samia Suluhu akipata maelezo ya baadhi ya vifaa vya kisasa vya upasuaji vinavyoweza kuona mishipa na kuisoma kutoka kwa Dk Karima Khaled wakati wa hafla ya kupokea vifaa vya chumba cha upasuaji wa watoto vilivyotolewa na Ubalozi wa Kuwait kwa Taasisi ya Mifupa(MOI)
Haki Ngowi (@hakingowi) 's Twitter Profile Photo

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile wakati wa hafla ya kupokea vifaa vya chumba cha upasuaji wa watoto vilivyotolewa na Ubalozi wa Kuwait kwa Taasisi ya Mifupa (MOI)

Makamu wa Rais  Samia Suluhu Hassan akizungumza na Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. <a href="/DocFaustine/">Faustine Ndugulile</a> wakati wa hafla ya kupokea vifaa vya chumba cha upasuaji wa watoto vilivyotolewa na Ubalozi wa Kuwait kwa Taasisi ya Mifupa (MOI)
Dr. Norman Jonas (@normanjonasmd) 's Twitter Profile Photo

LIFESTYLE can be your best MEDICINE to enhance your wellbeing, Think about... ✔️more exercise ✔️quality sleep ✔️plant based nutrition ✔️Emotional contentment with meaningful relationships.