Nape Moses Nnauye (@nnauye_nape) 's Twitter Profile
Nape Moses Nnauye

@nnauye_nape

Mbunge Jimbo la Mtama{SIMBA WA VITA}. A LEADER SHOULD BE AN AGENT OF CHANGE. β€œThe most important shot in golf is the next one.”

ID: 3435205457

calendar_today22-08-2015 08:13:53

5,5K Tweet

1,0M Followers

7,7K Following

Nape Moses Nnauye (@nnauye_nape) 's Twitter Profile Photo

Dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

Dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nape Moses Nnauye (@nnauye_nape) 's Twitter Profile Photo

Mkumbushe mwanao kuwa maneno mabaya dhidi yake hayatamuua. Akumbuke tu kuyageuza yawe mawe atakayoyatumia kujengea ngome imara zaidi…

Mkumbushe mwanao kuwa maneno mabaya dhidi yake hayatamuua. Akumbuke tu kuyageuza yawe mawe atakayoyatumia kujengea ngome imara zaidi…
Nape Moses Nnauye (@nnauye_nape) 's Twitter Profile Photo

Pamoja na mengi aliyofanya Uncle Charles Hilary ni pamoja na kuasisi na kujenga DARAJA MUHIMU LINALOUNGANISHA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR NA WANAHABARI… Charles kaondoka naamini DARAJA HILI LITALINDWA NA KUDUMISHWA! RIP kaka!😭

Pamoja na mengi aliyofanya Uncle Charles Hilary ni pamoja na kuasisi na kujenga DARAJA MUHIMU LINALOUNGANISHA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR NA WANAHABARI… Charles kaondoka naamini DARAJA HILI LITALINDWA NA KUDUMISHWA! RIP kaka!😭
Nape Moses Nnauye (@nnauye_nape) 's Twitter Profile Photo

Nimeshiriki kuandaa, kusoma na kutekeleza ILANI nyingi za Uchaguzi za CCM, NIKIRI hii ya 2025/30 NI MOJA YA ILANI BORA KABISA. Pamoja na mambo mengine, Maendeleo Vijijini, Uchumi wa Kidigitali lakini Katiba Mpya ndani ya Ilani. Proudly CCMπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽

Nimeshiriki kuandaa, kusoma na kutekeleza ILANI nyingi za Uchaguzi za CCM, NIKIRI hii ya 2025/30 NI MOJA YA ILANI BORA KABISA. Pamoja na mambo mengine, Maendeleo Vijijini, Uchumi wa Kidigitali lakini Katiba Mpya ndani ya Ilani. Proudly CCMπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽
Nape Moses Nnauye (@nnauye_nape) 's Twitter Profile Photo

CCM inajua kulea..πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽

CCM inajua kulea..πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽
Nape Moses Nnauye (@nnauye_nape) 's Twitter Profile Photo

Nimeishi kijijini Bukumbi. Nimetumia kivuko cha Kigongo Feri kwa miaka kadhaa. Kukamilika kwa daraja hili, kumeweka Sura ya kuvutia sana kwenye KITABU cha Rais Samia. Hongera sana Samia Suluhu ! Kwa hakika kila zama na Kitabu chake, kitabu chako kinapendezaπŸ‘πŸΎβœ…

Nimeishi kijijini Bukumbi. Nimetumia kivuko cha Kigongo Feri kwa miaka kadhaa. Kukamilika kwa daraja hili, kumeweka Sura ya kuvutia sana kwenye KITABU cha Rais Samia. Hongera sana <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> ! Kwa hakika kila zama na Kitabu chake, kitabu chako kinapendezaπŸ‘πŸΎβœ…
Nape Moses Nnauye (@nnauye_nape) 's Twitter Profile Photo

Kila zama na kitabu chake! A book well written!!πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎβœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…

Kila zama na kitabu chake! A book well written!!πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎβœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…
Nape Moses Nnauye (@nnauye_nape) 's Twitter Profile Photo

Kaka,HONGERA SANA kwa kuhitimisha utumishi wako Ruangwa SALAMA na MAFANIKIO makubwa.Umeacha alama nyingi, zitadumu!HONGERA SANA kwa kuhitimisha miaka 10 kama Waziri Mkuu.Wanakusini umetuwakilisha vyema,Salama,bila kashfa(hulka yetu) na kwa mafanikio.Umekamilisha kazi kwa heshima.

Kaka,HONGERA SANA kwa kuhitimisha utumishi wako Ruangwa SALAMA na MAFANIKIO makubwa.Umeacha alama nyingi, zitadumu!HONGERA SANA kwa kuhitimisha miaka 10 kama Waziri Mkuu.Wanakusini umetuwakilisha vyema,Salama,bila kashfa(hulka yetu) na kwa mafanikio.Umekamilisha kazi kwa heshima.
Nape Moses Nnauye (@nnauye_nape) 's Twitter Profile Photo

Kaka,HONGERA SANA kwa kuhitimisha utumishi wako Ruangwa SALAMA na MAFANIKIO makubwa.Umeacha alama nyingi, zitadumu!HONGERA SANA kwa kuhitimisha miaka 10 kama Waziri Mkuu.Wanakusini umetuwakilisha vyema,Salama,bila kashfa(hulka yetu) na kwa mafanikio.Umekamilisha kazi kwa heshima.

Kaka,HONGERA SANA kwa kuhitimisha utumishi wako Ruangwa SALAMA na MAFANIKIO makubwa.Umeacha alama nyingi, zitadumu!HONGERA SANA kwa kuhitimisha miaka 10 kama Waziri Mkuu.Wanakusini umetuwakilisha vyema,Salama,bila kashfa(hulka yetu) na kwa mafanikio.Umekamilisha kazi kwa heshima.