NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile
NTOBI

@ntobi_

Concerned Citizen || Ngokolo Ward Councilor 2015-2020 || Banker || Activist || UDSM Alumni || Chairman of CHADEMA Shinyanga Region || WhatsApp +255 715 956595

ID: 570745497

linkhttp://chadema.or.tz/ calendar_today04-05-2012 08:57:32

25,25K Tweet

78,78K Followers

2,2K Following

Land Dwellers (@land_dwellers) 's Twitter Profile Photo

Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Shinyanga, Emmanuel Ntobi pamoja na Glory Tausi hii leo Juni 03, 2025 wamehamia Chama cha ACT Wazalendo, ambapo wamekaribishwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu.

Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Shinyanga, Emmanuel Ntobi pamoja na Glory Tausi hii leo Juni 03, 2025 wamehamia Chama cha ACT Wazalendo, ambapo wamekaribishwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu.
Taifa Daily (@taifadaily) 's Twitter Profile Photo

Former CHADEMA member Emmanuel Ntobi NTOBI has officially joined ACT-Wazalendo. He was welcomed into the party today, June 3, 2025, by ACT-Wazalendo Secretary General Ado Shaibu Ado Shaibu during a brief ceremony held at the party’s headquarters in Magomeni, Dar es Salaam.

Former CHADEMA member Emmanuel Ntobi <a href="/Ntobi_/">NTOBI</a>  has officially joined ACT-Wazalendo. He was welcomed into the party today, June 3, 2025, by ACT-Wazalendo Secretary General Ado Shaibu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>  during a brief ceremony held at the party’s headquarters in Magomeni, Dar es Salaam.
Swahili Times (@swahilitimes) 's Twitter Profile Photo

"Inaonekana ACT kuna ukomavu, kuna utulivu wa kisiasa, jambo ambalo limetuvutia. Kuna demokrasia ya kweli ndani ya ACT kwa sababu watu wanabadilishana [nafasi za uongozi]." - Emmanuel Ntobi, aliyewahi kuwa Mwenyekiti CHADEMA Mkoa wa Shinyanga

"Inaonekana ACT kuna ukomavu, kuna utulivu wa kisiasa, jambo ambalo limetuvutia. Kuna demokrasia ya kweli ndani ya ACT kwa sababu watu wanabadilishana [nafasi za uongozi]." - Emmanuel Ntobi, aliyewahi kuwa Mwenyekiti CHADEMA Mkoa wa Shinyanga
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Leo Juni 03, 2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga, Ndugu NTOBI na miongoni wa waanzilishi wa CHADEMA Digital Glory Tausi(Glory Tausi) wamejiunga ACTWazalendo. Wawili hao wamepokelewa na Katibu Mkuu Ado Shaibu. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

Leo Juni 03, 2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga, Ndugu <a href="/Ntobi_/">NTOBI</a> na miongoni wa waanzilishi wa CHADEMA Digital Glory Tausi(<a href="/IzzetTausi/">Glory Tausi</a>) wamejiunga <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>.

Wawili hao wamepokelewa na Katibu Mkuu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>.

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
Julius Joseph Massabo. (@juliusmassabo) 's Twitter Profile Photo

For over two decades, @Zittokabwe has been a catalyst for change and an inspiration for many young people to join politics. Those of us who’ve had the opportunity to work with him have learned a lot he has been a mentor, a leader, and a role model. 1/2

For over two decades, @Zittokabwe has been a catalyst for change and an inspiration for many young people to join politics.

Those of us who’ve had the opportunity to work with him have learned a lot he has been a mentor, a leader, and a role model. 1/2
Ismail Jussa (@ismailjussa) 's Twitter Profile Photo

Karibuni sana ACTWazalendo ndugu zetu NTOBI na Glory Tausi tuendeleze mapambano ya kuing'oa CCM madarakani na kuleta mabadiliko wanayoyataka wananchi. Karibuni tujenge #TaifaLaWote #MaslahiYaWote.

Karibuni sana <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> ndugu zetu <a href="/Ntobi_/">NTOBI</a> na <a href="/IzzetTausi/">Glory Tausi</a> tuendeleze mapambano ya kuing'oa CCM madarakani na kuleta mabadiliko wanayoyataka wananchi. Karibuni tujenge #TaifaLaWote #MaslahiYaWote.
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

NTOBI nimekusikiliza kwa utulivu sana. Yaani masaa machache toka ujiunge na ACTWazalendo umenyonya MAARIFA. Ulikuwa so composed. Statemanlike. Umeonyesha uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati na kuisoma ramani ya siasa zetu. Utafika mbali sana. Karibu sana.

<a href="/Ntobi_/">NTOBI</a> nimekusikiliza kwa utulivu sana. Yaani masaa machache toka ujiunge na <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> umenyonya MAARIFA. Ulikuwa so composed. Statemanlike. Umeonyesha uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati na kuisoma ramani ya siasa zetu. Utafika mbali sana. Karibu sana.
NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe , KC Mstaafu. Ninakushukuru kwa dhati kwa kunikaribisha kwa moyo mkunjufu ndani ya chama cha ACT Wazalendo. Ukarimu wako na maneno yako ya kutia moyo yamenitia hamasa kubwa kuungana nanyi katika harakati za kujenga Tanzania yenye usawa, haki, na maendeleo kwa

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Kama wewe ni mwanasiasa unayetaka kufanya siasa na unaona jukwaa ulilopo linakunyima fursa hiyo au jukwaa uliloamua kuhamia linakupa mashaka na mazonge, usisite kufanya uamuzi sahihi. Karibu ACTWazalendo Jukwaa sahihi la kufanya siasa zenye kuangaza masuala yanayohusu watu.

Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Niwapongeze Makamanda NTOBI na Glory Tausi kwauamuzi wao wa kutafuta jukwaa lingine la kufanyia siasa baada ya kuona vita vya ndani ni vigumu. Ninawatakia safari njema, Sisi tunaendelea na ujenzi wa chama tukiamini kesho yetu chadema itarejea kwenye mstari tu.

Niwapongeze Makamanda <a href="/Ntobi_/">NTOBI</a> na Glory Tausi kwauamuzi wao wa kutafuta jukwaa lingine la kufanyia siasa baada ya kuona vita vya ndani ni vigumu.  Ninawatakia safari njema, Sisi tunaendelea na ujenzi wa chama tukiamini kesho yetu chadema itarejea kwenye mstari tu.